Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Hapo ipi sahihi?Kila nikiconect wananiambia " Engine local socket bind"
Msaada mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ipi sahihi?Kila nikiconect wananiambia " Engine local socket bind"
Msaada mkuu
Mkuu ipi sahihi kati ya hizi?1.DOWNLOAD HIYO ATTACHMENT (IF KAMA BADO ) YA THROID DROID VPN ILIYOPOSTIA KWENYE UZI HUU
2.UKISHAMALIZA. INSTALL , OPEN , THEN KWENYE DASHBOARD /HOME SCREEN YA HIYO APK KUNA PART YA SIGN UP FOR FREE CLICK HAPO ITAKUPELEKA UFUNGUE ACCOUNT KWA EMAIL , UTATUMIWA. EMAIL NA DROID VPN YENYE ACTIVATION LINK THE CONFIRM HUKO KWENYE EMAIL ULIYOTUMIWA KWA KU CLICK ACTIVATION URL hapo then account yako itakiwa tayari ..
3.FUNGUA HIYO ACCOUNT KWA KUTUMIA EMAIL AMBAYO UTATUMIWA CONFIRMATION LINK
4.BACK TO THROID , JUU UPANDEE WA KUSHOTO KWAKO KUNA VI DOTI VITATU , CLICK , THEN NENDA SETTING , THEN NENDA. UDP SETTING , HAPO UDP SETTING. UTAJAZA KWA DESIGN HII.
REMOTE UDP JAZA 53 , LOCAL UDP JAZA 0 , PART MBILI ZINAZOFUATIA ZIWEKE ON , UDP CONNECTION MODE JAZA MODE 1 , MAX T COUNT VALUE JAZA 2222 . R COUNT JAZA 03 , THEN. NENDA LOG IN KWENYE DASHBOARD YA THROID , LOG IN NA ILE USERNAME PLUS PASSCODE , THEN SAVE THEN CONNECT TO START..
ILISHAPOSTIW HUMU NGOJA NIKU TAG KWENYE HIYO POSTMkuu ipi sahihi kati ya hizi?View attachment 2341073
Ni apk ngoja nakutumia inbox ,maana imeshapostiwa humu , weee cha kufanya i download then install na kiweka hizo settingMkuu ipi sahihi kati ya hizi?View attachment 2341073
Sema mzigo haupo stable aisee, Ina disconnected every few minutes, Kuna namna ya kufix?Ni apk ngoja nakutumia inbox ,maana imeshapostiwa humu , weee cha kufanya i download then install na kiweka hizo setting
Mida. Mchana watu wengi sana wanaoitumia , thats whySema mzigo haupo stable aisee, Ina disconnected every few minutes, Kuna namna ya kuf.
Usiku huu saa 7 mimi nina download movie. na ipo. Active pia ,. Cheki screenshotSema mzigo haupo stable aisee, Ina disconnected every few minutes, Kuna namna ya kufix?
Mkuu sorry naweza ona picha ya iyo vpn mna zipo nyingi2Usiku huu saa 7 mimi nina download movie. na ipo. Active pia ,. Cheki screenshotView attachment 2341437
Naomba nitumie APK mzee nahisi yangu ni tofautUsiku huu saa 7 mimi nina download movie. na ipo. Active pia ,. Cheki screenshotView attachment 2341437
Hii offer nimeikosa kizembe sana dah!!TigoBusiness Post paid. Hii ni official offer from TIGO ya mwezi huu wa 8 tu.
Mimi nimejiunga hicho cha 25,000.
Kila mwezi offer inajirenew for 12 months na unapata 30GBs each month.
Unadeposit 25,000 kama security deposit kwenda TigoBusiness. (Inapatikana kwenye list ya makampuni kwenye kulipa billi via tigopesa menu)View attachment 2324760
Sio ofa kila siku ipoHii offer nimeikosa kizembe sana dah!!
Account mbili nilifungua , kila account nili ongeza 100 MB mia maana kuna kipengele cha ku9ngeza. MB. Soo kwa siku ni MB 600 total setting , pale kwenye R Tcount huwa naweka 2222 , au 4444 au 6666. Depend na network respondingMkuu we unapata Mbs ngapi kwa siku mkuu au ume settings vipi,
Naomba maelekezo mkuuTayari ninatumia huduma. Pia pesa ilikuwa inasoma kwenye account hivyo haikupotea. Thanks kwa msaada
Huwezi. Na nimesoma maelezo ya Nape wanazindua kwa ajili ya small na Medium Enterprises pengine itaanza kama Smile kutarget Biashara kwanza.Vodacom wamezindua 5G ,Sisi wenye 4G tutaweza kutumia hiyo?
Inabidi uende tiGO shop ili ukasaini mkataba. Hii ni huduma ya malipo baada ya kutumia data. Kifurushi cha chini kabisa ni GB 30 kwa 25,000/- kinachodumu mwezi mmoja. Ukijiunga utatakiwa kutimiza mkataba walau kwa miezi sita ndipo kama una haja ya kujitoa utaweza kufanya hivyo. Kifurushi kinawekwa tarehe 1 ya kila mwezi saa sita usiku. Mkataba una uhai wa miaka miwili kupitia offer hii. Kwa mujibu wa maelezo ya customer care ni kwamba ofa imemalizika jana, lakini unaweza kuwatafuta kuona kama wameongeza muda.Naomba maelekezo mkuu
AsanteHuwezi. Na nimesoma maelezo ya Nape wanazindua kwa ajili ya small na Medium Enterprises pengine itaanza kama Smile kutarget Biashara kwanza.
5G ina coverage ndogo sana usitegemee maajabu ya 5G nchi nzima, utapata tu maeneo fulani fulani.
Sio lazima uende tigo shop..Inabidi uende tiGO shop ili ukasaini mkataba. Hii ni huduma ya malipo baada ya kutumia data. Kifurushi cha chini kabisa ni GB 30 kwa 25,000/- kinachodumu mwezi mmoja. Ukijiunga utatakiwa kutimiza mkataba walau kwa miezi sita ndipo kama una haja ya kujitoa utaweza kufanya hivyo. Kifurushi kinawekwa tarehe 1 ya kila mwezi saa sita usiku. Mkataba una uhai wa miaka miwili kupitia offer hii. Kwa mujibu wa maelezo ya customer care ni kwamba ofa imemalizika jana, lakini unaweza kuwatafuta kuona kama wameongeza muda.
Pia unaruhusiwa kubadili kifurushi ukiwa ndani ya mkataba, mfano GB 65 kwa 50,000/-. Ni hayo tu mkuu.