Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Tigo
IMG_20221103_214922.jpg
 
Hiyo niliyojiunga hata nikidownload GB 100 kwa siku haikati hadi mwisho wa mwezi.
Kiufupi kwa sasa youtube naangalia 1080p na 720p pekee
Tatizo bei yao imesimama yani kama kwa matumizi ya ofisini somehow inaweza kuwa nafuu ila kwa matumizi ya kawaida tu walau wangefanya 70k
 
[emoji106][emoji116]
Screenshot_20221105-101254.jpg




Click [emoji115]
 
Back
Top Bottom