Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Lakini Mkuu dedicated si hata mkiwa 10 huwa haishuki speed?

TTCL miyeyusho mpaka ilifika muda hadi ofisi yao wote wakawa wananijua. Nikifika tu mlangoni kila mtu anasema "we jamaa bado tu swala lako mpala leo halijatatuliwa"

TTCL nimeachana nao kumbe kuna brother wa mtaa anapiga mishe za installation ya hizi internet kwenye moja ya kampuni ambazo zinatumia microwave.

Kaniambia atanifungia dedicated ya Mbps6
Hiyo ya microwave ipoje? Gharama yake na inafika hadi maeneo gani?
 
IJUE "SME" KUTOKA AIRTEL
Hii ni menu (*149*91#) inayokupa we nafasi kujiunga mwenyewe vifurushi vya bei rahisi zaidi kuliko mtandao wowote hapa Tanzania. Malipo ya huduma ni TSH 10,000.
IMG-20230812-WA0022.jpg
 
Dedicated ina maanisha tu mda wote utapata 6mbps haimaanishi mkitumia watu wengi (Nyumba moja) speed haishuki.

Shared internet ina maanisha speed yako inaweza ikashuka ikiwa watu wengi wanatumia internet kwa wakati huo.

Chukulia mfano kampuni X imeleta Fiber 10Gbps capacity, wanaunga Vifurushi vya 10mbps kwenye Dedicated wataunga Exactly watu 1000 (1000x10mbps ni 10Gbps) ila kwenye Shared wanaweza wakaunga hata watu 5000 halafu mnagombania wenyewe hio bandwidth, assume siku kuna mechi kali kila mtu anatumia internet hapo ndio unaona speed inadrop toka 10mbps hadi 2mbps.

Pia mkuu most of time hizi internet za speed ndogo ni mtu wa kati, Mfano hio Microwave kuna possibility kubwa ni Vodacom supakasi, wapo pia wanaotumia za TTCL kisha wanauza rejareja.

TTCL tafuta fundi wa eneo husika, Sometime hakuna router tu hawaji kufungia watu, ukiongea nao unajua tatizo lipo wapi.
Natumia supa kasi kifurushi cha elfu 50,sim card nimeiweka kwenye router tunashare watu watatu,iko slow kimtindo
 
Download play store my Halotel app unapata GB 1 mpk 2 bure.
 
Lakini Mkuu dedicated si hata mkiwa 10 huwa haishuki speed?

TTCL miyeyusho mpaka ilifika muda hadi ofisi yao wote wakawa wananijua. Nikifika tu mlangoni kila mtu anasema "we jamaa bado tu swala lako mpala leo halijatatuliwa"

TTCL nimeachana nao kumbe kuna brother wa mtaa anapiga mishe za installation ya hizi internet kwenye moja ya kampuni ambazo zinatumia microwave.

Kaniambia atanifungia dedicated ya Mbps6
Kwa bei gani mkuu??
 
Dedicated ina maanisha tu mda wote utapata 6mbps haimaanishi mkitumia watu wengi (Nyumba moja) speed haishuki.

Shared internet ina maanisha speed yako inaweza ikashuka ikiwa watu wengi wanatumia internet kwa wakati huo.

Chukulia mfano kampuni X imeleta Fiber 10Gbps capacity, wanaunga Vifurushi vya 10mbps kwenye Dedicated wataunga Exactly watu 1000 (1000x10mbps ni 10Gbps) ila kwenye Shared wanaweza wakaunga hata watu 5000 halafu mnagombania wenyewe hio bandwidth, assume siku kuna mechi kali kila mtu anatumia internet hapo ndio unaona speed inadrop toka 10mbps hadi 2mbps.

Pia mkuu most of time hizi internet za speed ndogo ni mtu wa kati, Mfano hio Microwave kuna possibility kubwa ni Vodacom supakasi, wapo pia wanaotumia za TTCL kisha wanauza rejareja.

TTCL tafuta fundi wa eneo husika, Sometime hakuna router tu hawaji kufungia watu, ukiongea nao unajua tatizo lipo wapi.
So ukiwa na router yako ukiwaita wanaweza kukufungia??
 
So ukiwa na router yako ukiwaita wanaweza kukufungia??
Kwenye copper ndio mpaka leo sijaletewa Router (Mwaka wa pili) nilinunua tu router yangu ya magumashi uhuru pale kama 5000 tu.

Hata Fiber waliniletea nusu wanafunga waya, unasikilizia mpaka basi ukifollow up wanasema hawana router, sometime hawana waya etc. Ukijiongeza una speed up zoezi.
 
Kwenye copper ndio mpaka leo sijaletewa Router (Mwaka wa pili) nilinunua tu router yangu ya magumashi uhuru pale kama 5000 tu.

Hata Fiber waliniletea nusu wanafunga waya, unasikilizia mpaka basi ukifollow up wanasema hawana router, sometime hawana waya etc. Ukijiongeza una speed up zoezi.
Shukrani mkuu
 
Kwenye menu ya Airtel ile *149*91# kuna Unlimited Internet. Hiyo ndo inapatikanaje wakuu?
 
Wakuu nahitaji msaada kwa mwenye ujuzi na uwelewa wa hii kitu…

Nimefunga Router Ile ya WIFI Nimeifunga Dukani kwangu Nia na madhumuni Nisambazie watu ili nipige walau buku buku kwa kila mtu,Naweza conect mpk watu 60+ Kampuni ni Airter…

Sasa tatizo Haifiki umbali mrefu Yani Mwisho ni Mita 15 tu na mimi Ninahitaji kusambaza Umbali zaidi Ili wapate huduma yangu..Mana kwa mita izo 15 Nimepata watu 7 tu Ila umbali ukizidi kuna sehemu ina watu naweza pata hata watu 100…

Kuna jamaa ameniambia ninunue sijui EXTENDER ili iweze kupush umbali mwengine nae akasema ni nunue BUSTA ili nifikishe mbali zaidi japo kasema ipo ya mita 100,200,300 na kilometa 1…Mimi mgeni wa ivi vitu naogopa kupigwa…

Mwenye uelewa naomba anieleweshe…
 
Wakuu nahitaji msaada kwa mwenye ujuzi na uwelewa wa hii kitu…

Nimefunga Router Ile ya WIFI Nimeifunga Dukani kwangu Nia na madhumuni Nisambazie watu ili nipige walau buku buku kwa kila mtu,Naweza conect mpk watu 60+ Kampuni ni Airter…

Sasa tatizo Haifiki umbali mrefu Yani Mwisho ni Mita 15 tu na mimi Ninahitaji kusambaza Umbali zaidi Ili wapate huduma yangu..Mana kwa mita izo 15 Nimepata watu 7 tu Ila umbali ukizidi kuna sehemu ina watu naweza pata hata watu 100…

Kuna jamaa ameniambia ninunue sijui EXTENDER ili iweze kupush umbali mwengine nae akasema ni nunue BUSTA ili nifikishe mbali zaidi japo kasema ipo ya mita 100,200,300 na kilometa 1…Mimi mgeni wa ivi vitu naogopa kupigwa…

Mwenye uelewa naomba anieleweshe…
Nasubiri jibuu
 
Nilimuuliza aliyeniunga ila hakunipa ushirikiano hata kidogo[emoji23][emoji23][emoji23]

Inaonekana hiyo menu ni special mno, ukiigusa unaungua..

Inaonekana kuna usiri sana kwenye hizo package. Na unlimited ndo mpango mzima aisee [emoji2]
 
Back
Top Bottom