Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ningewapa free VPN sema wengi wenu wakuda sana mta report huko Voda na Airtel
Bilasha PM yako itakua na meseji nyingi...😁😁😁.Wale wa Cuba tu,ndo wamekusoma.
 
Unaweza kutuma picha inayoonesha full details ili tuweze kuona vizuri maelekezo yanayoonekana kwenye screen baada ya kugoma?
Hapo
IMG_20230916_232933.jpg
 
Hilo la proxy nalo neno,

Download Firefox then test nayo uone itakataa?

Hio ya 192.168.100.13 umejaribu?
Hiyo pia nimejaribu mkuu bila bila...nimejaribu kutumia firefox nayo bila tena yenyewe ndio imekuwa nzito kabisa hata kufunguka[emoji16]
 
Mkuu Scars yule dada kanicheki leo, ananiambia eti maeneo nilipo inawezekana kuna 5g, hivyo kesho surveyor atakuja kucheki network kama kuna 5g...

Inavyoonekana wanahitaji wateja sana, shida wameshindwa kujua soko kubwa kwa sasa liko wapi...

Hivyo vifaa vyao vya 5g walivyofunga bunju,kunduchi,kawe nk wangevileta maeneo mengine kama kimara,ubungo,mbezi mwisho na kibamba wangepata wateja wengi sana....

Tuendelee kiwashauri waache kukimbilia maeneo yaleyale ambayo yameshakamatiwa tayari..
Yeah hii point muhimu sana.
 
Bila bila
Watumie email ya malalamiko kwenye email yao kuu.

Hiyo email imeunganishwa kwenye ofisi zao zote, so ukituma itawafikia hadi wale ambao walikuwa hawana taarifa na swala la ucheleweshaji wa huduma.

Hapo ndio utahudumiwa fasta.
 
Watumie email ya malalamiko kwenye email yao kuu.

Hiyo email imeunganishwa kwenye ofisi zao zote, so ukituma itawafikia hadi wale ambao walikuwa hawana taarifa na swala la ucheleweshaji wa huduma.

Hapo ndio utahudumiwa fasta.
Nitafanya hivi pia, wadau wengi walishauri hawa ni wakwenda nao mperampera mpaka kinaeleweka
 
Back
Top Bottom