desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Acha makelele hiyo ofa ipo mwezi wa nne sahivi na ukishajiunga mara Moja inakuwa imeishaHalotel bundle 1GB kwa 1000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha makelele hiyo ofa ipo mwezi wa nne sahivi na ukishajiunga mara Moja inakuwa imeishaHalotel bundle 1GB kwa 1000
Ikoje hiyo?? Au my halo??Acha makelele hiyo ofa ipo mwezi wa nne sahivi na ukishajiunga mara Moja inakuwa imeisha
Wanataka nujaze fomu aisee duh kazi ni ayo hapaIkifika sehemu ya kuweka namba hakuna option zaidi kama vile umeforgot hio namba ili wakupe njia nyengine?
Mkuu skuizi atutumii gb za kupimiwa skuizi tunatumia unlimited dataHalotel bundle 1GB kwa 1000
Jaza kama una data zote watakazohitaji.Wanataka nujaze fomu aisee duh kazi ni ayo hapa
hakuna 5g tz boss just unatumia 4g ikiwakatika ubora wake kidogoo 5g nenda kaangalie video ya mkbhd youtube ni 500mbps minmumHii sio fiber mkuu, ni router ya 5g ya Voda. Eneo nililopo (Kimara) napata 5G mnara full
Sent from my SM-S918B using JamiiForums mobile appView attachment 2868154
Nani kakuambia Tanzania haifiki 500mbps? Unalipia kutokana na speed unayotaka mwenyewe, Tigo yao ni 1Gbps na Vodacom walianza na 400mbps nafkiri washa upgrade Hadi 1Gbps Sasa hivi, Airtel backbone yao ndio imezinduliwa juzi juzi ni 180Tbps hivyo vi speed vya 500mbps ni kama vitone tu kwenye bahari.hakuna 5g tz boss just unatumia 4g ikiwakatika ubora wake kidogoo 5g nenda kaangalie video ya mkbhd youtube ni 500mbps minmum
Hakuna, unalipia tu gharama ya mwezi wa kwanza, ila ukiacha kutumia wanakuja kuchukua router na vifaa vyao vyengine.Wakuu nilikuwa naomba kuuliza hii fiber ya ttcl ,je kunakuwaga na gharama za kufunga na kama zipo huwa ni sh ngapi ,maana nimecheki coverage kwenye ramani imepita karibu kabisa na nilipo Yani tofauti ya distance ni kama mita 30 hivi.
Nashukuru kwa taarifa, naona leo walinitumia haka kaujumbeHakuna, unalipia tu gharama ya mwezi wa kwanza, ila ukiacha kutumia wanakuja kuchukua router na vifaa vyao vyengine.
Ndo hiyo ukishajiunga mara Moja imeishaIkoje hiyo?? Au my halo??
unacheki wapi hiyo coverage mkuuWakuu nilikuwa naomba kuuliza hii fiber ya ttcl ,je kunakuwaga na gharama za kufunga na kama zipo huwa ni sh ngapi ,maana nimecheki coverage kwenye ramani imepita karibu kabisa na nilipo Yani tofauti ya distance ni kama mita 30 hivi.
Mkuu ilikubali. Nili uninstall nikadownload moja Kwa moja kwenye website Yao ndo imekubali. Hapa naangalia mpira Tu kupitia Unlimited ya AirtelSupport app pia download ya tv ipo playstore ya tv Yako ama sideload apk ya tv.
Nyengine hio uliotajiwa juu live football tv mod isio na matangazo, sema hii haikubali remote ya tv inataka mouse. Naitumia Mimi kwenye simu na Samsung dex kwenye tv, ipo vizuri nayo.Mkuu ilikubali. Nili uninstall nikadownload moja Kwa moja kwenye website Yao ndo imekubali. Hapa ntakula soccer Tu kupitia Unlimited ya Airtel
Samahani chief wapi naweza pata wifi extender inayowaza kucover more than 100m(nipo mkoani lakini)Nyengine hio uliotajiwa juu live football tv mod isio na matangazo, sema hii haikubali remote ya tv inataka mouse. Naitumia Mimi kwenye simu na Samsung dex kwenye tv, ipo vizuri nayo.
Nature ya wifi kukiwa na ukuta, miti, na mambo mengine yanayoziba haziendi mbali, kukiwa wazi hata router ya kawaida inafika umbali huo, angalia eneo lako ipoje kwanza, sometime utahitaji kusafirisha na waya mpaka mahala unapotaka ndio uweke router kama repeater.Samahani chief wapi naweza pata wifi extender inayowaza kucover more than 100m(nipo mkoani lakini)
Mkuu, ikiwa TV za Samsung na LG hazina huduma ya google, je una-install vipi hizi Apps kutoka play store?.Nyengine hio uliotajiwa juu live football tv mod isio na matangazo, sema hii haikubali remote ya tv inataka mouse. Naitumia Mimi kwenye simu na Samsung dex kwenye tv, ipo vizuri nayo.
Samsung wana os yao nyengine inaitwa Tizen na LG wana os yao nyengine inaitwa Web os, os zote mbili hazikubali app za android.Mkuu, ikiwa TV za Samsung na LG hazina huduma ya google, je una-install vipi hizi Apps kutoka play store?.
Nenda kwenye setting weka 5g onlyWakuu naomba tips za kufanya hii router ya Airtel unlimited inipe Kasi nzuri, ni siku ya pili sasa tangu niinunue pale mlimani City kifurushi Cha 10Mbps.
Iko slow sana mfano YouTube inafunguka kwa shida sana tena low quality 144k na hapo taa ya 4G inawaka na ya kijani pia, isipokuwa tu ya 5G..
Huku upande mwingine, kwenye line ya kawaida ya Airtel kwenye simu Iko vizuri tu sana.
Nashidwa kuelewa shida nini same internet provider lakini Kasi changamoto kwenye hiyo Router haifiki hata 300kb/s