Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure kabisa yaan [emoji1787][emoji1787]Acha roho mbaya bwana juma..,nyie ndio wale chuoni mnaandamana kisa mwalimu katoa mtihani mwepesi
Wewe ni mbinafsi jamii ya kina Yusuph Makamba.Yaani vigezo vya kuwa Karani eti Kidato cha nne? Seriously? Yaan na hili la ukosefu wa Ajira. Tarajieni mafuriko, gombania goli hata huo mfumo wa kupokea applications Lazima uzimike!
Wangeweka degree tu kwa kweli, ila wamefanya hivi ili wawalipe pesa ndogoYaani vigezo vya kuwa Karani eti Kidato cha nne? Seriously? Yaan na hili la ukosefu wa Ajira. Tarajieni mafuriko, gombania goli hata huo mfumo wa kupokea applications Lazima uzimike!
Kwan zoezi la anuani za makazi nyie wenye degree mlilipwa kiasi gani tofauti na wa kidato cha nne?Wangeweka degree tu kwa kweli, ila wamefanya hivi ili wawalipe pesa ndogo
Hata wangekuwa na degree kazi ni kama hapa👇Yaani vigezo vya kuwa Karani eti Kidato cha nne? Seriously? Yaan na hili la ukosefu wa Ajira. Tarajieni mafuriko, gombania goli hata huo mfumo wa kupokea applications Lazima uzimike!
Mi sijui walilipwa shs. ngapiKwan zoezi la anuani za makazi nyie wenye degree mlilipwa kiasi gani tofauti na wa kidato cha nne?
Ni kweli wangeanzia PHD holders sio 4m4 ndio mana hii nchi iko hovyo hovyo tu.Yaani vigezo vya kuwa Karani eti Kidato cha nne? Seriously? Yaan na hili la ukosefu wa Ajira. Tarajieni mafuriko, gombania goli hata huo mfumo wa kupokea applications Lazima uzimike!
phd holders wako wangapi kulinganisha na mahitaji husika???Ni kweli wangeanzia PHD holders sio 4m4 ndio mana hii nchi iko hovyo hovyo tu.
Huwezi recruit low minded people kufanya kazi katia inshu sensitive ya kitaifa kama hiyo.
#MaendeleoHayanaChama
Hata malipo ni kiduchuYaani vigezo vya kuwa Karani eti Kidato cha nne? Seriously? Yaan na hili la ukosefu wa Ajira. Tarajieni mafuriko, gombania goli hata huo mfumo wa kupokea applications Lazima uzimike!
Sidhani kama watazingatia hilo, labda kama utaratibu umebadirika, nakumbuka Sensa ya mwaka 2012 nafasi hizi zilitolewa kwa upendeleo sana, wengi wenye sifa za ziada waliachwa na kuchukuliwa hao wa form four kutokana na kujuana.Hapo wameweka elimu kidato cha NNE ila kuna kipengere cha kujaza elimu yako ya JUU, hiyo ni faida ya ziada…. na itazingatiwa.