khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
wahitimu wengi wa form 4 huku mtaani hatuna ajira, nyinyi wenye madegree si mpo vizuri na mmeajiriwa mnapiga kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka namba yako tukutumie pesa ya bundleMkeka soon tu unatoka wakuu😂😂
Tulia ww, siwezi kuexpose namba yangu humu namba yangu humu..Hujui hapa ni jificheniWeka namba yako tukutumie pesa ya bundle
Kwahyo unatucheka sisterWaweza kuta form 4 hawana hata muda wa kazi za sensa wanapambana na Ujasiriamali ila watu wa degree na masters [emoji23][emoji23][emoji23] ungezungukia stationeries ungeona
AminiKwahyo unatucheka sister
Sema nini ili life tu mi na wanangu wa Manzese tunalipitia kwa mda
Kutoka NBS wenyewe au ndo ile mikeka uchwara...Mkeka hadharani
Wa premier bet au wasafi bet?[emoji3][emoji3]Mkeka hadharani
Mikeka uchwaraKutoka NBS wenyewe au ndo ile mikeka uchwara...