Vigogo wa Chadema waingia Tarime, Mikutano kadhaa kufanyika

Vigogo wa Chadema waingia Tarime, Mikutano kadhaa kufanyika

Wapi chadema wanakusanya kodi za wananchi ili kutatua kero...yani sasa waanze kufanya kazi za serikali yako inayokusanya na kurundikia wananchi mitozo..ikashindwa kujenga mabwawa na kusambaza maji safi kwa wananchi..leo hiyo kazi waifanye chadema...tumia akili hata kama njaa yako imehamia kichwani.

Suala la kutatua kero na kupeleka maendeleo kwa wananchi ni suala la serikali iliyopo madarakani

#MaendeleoHayanaChama
Kwani hayati Ndesaburo alikiwa anakusanya KODI?!
Lakini likuwa anatatua kero za wananchi.

waananchi wanataka ufumbuzi wa kero zao sio maneno.

Viongozi wa chadema wote ni matajiri na wana uwezo wa kujenga hata madarasa, au kuchimba visima vya maji.
 
Novemba imeingia , sasa usije kusema hatukukuambia , Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote , kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI , kwa tafsiri , Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano , yaani uhai wa Chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the Chain au hizi chadema digital ndio pumzi ya chama .

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .
Hii ndio Chadema ninayoitamani
 
Novemba imeingia , sasa usije kusema hatukukuambia , Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote , kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI , kwa tafsiri , Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano , yaani uhai wa Chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the Chain au hizi chadema digital ndio pumzi ya chama .

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .
Mumejiandaa maji ya kufuta mkipigwa na mabomu ya washawasha?
 
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .


Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .

Chadema tunaomba mkutano ufanyike Nyamongo tuna jambo letu.
 
tatizo kubwa la viongozi wa chadema ni kuhubiri siasa za uchochezi, watanzania waanacho kitaka ni kutatua matatizo/kero za wananchi, igeni mwendo wa Hayati Ndesamburo, alikuwa anatatua kero za wananchi na sio kulalamika na kutuhumu.

Ukitaka wananchi waakukumbuke tatua kero zao zinanzo wakabili na sio kupiga domo.
Chadema wanapaswa wabadilike, wasidhani vijana ni wajinga.
Ushawishi tu bila matendo ni kazi buree!
hembu ficha kidogo ujinga wako mkuu
chademe watatue kero za wananchi kwani wao wanakusanya kodi? hata tafsiri ya chama cha siasa hujui?
inasikitisha sana? Ndesamburo unayemtolea mfano hapa alipofariki watu walikatazwa hata kumuaga au hukumbuki?
 
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .
Mungu Ibariki CHADEMA
 
FB_IMG_1668177726440.jpg
FB_IMG_1668177738703.jpg
FB_IMG_1668177747551.jpg
 
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .
Hawa ndio vigogo wa saccos?.
 
Sawa. Jitahidini kufanya amsha amsha za kistaarabu. Msije mkaharibu kwa lugha za maudhi/matusi mkawachokoza walioanza kulainika na kuwaacha mjinafasi.
 
Kwani hayati Ndesaburo alikiwa anakusanya KODI?!
Lakini likuwa anatatua kero za wananchi.

waananchi wanataka ufumbuzi wa kero zao sio maneno.

Viongozi wa chadema wote ni matajiri na wana uwezo wa kujenga hata madarasa, au kuchimba visima vya maji.
Kutatua shida za wananchi ni kuwaelimisha wajitambue ili watoke wakawajibike.Wananchi sio vilema wakuletewa pesa mifukoni.Vyakupewa havidumu.kama wewe umezoea hivyo pole yako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sawa. Jitahidini kufanya amsha amsha za kistaarabu. Msije mkaharibu kwa lugha za maudhi/matusi mkawachokoza walioanza kulainika na kuwaacha mjinafasi.
Waliwahi kutoa lugha ya maudhi wapi?.Kuna tofauti kubwa kati ya kutoa lugha ya maudhi na kusema ukweli.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom