Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Kwani nilijificha ?Nashukuru Leo nimekutambu mleta bandiko ni nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nilijificha ?Nashukuru Leo nimekutambu mleta bandiko ni nani
Chadema ni chama cha wananchiKwani takwa la katiba ni la chama Cha siasa, au wananchi wenyewee ndio watakao hitaji katiba bila mgongo wa chama chochote Cha kisiasa?
Ulijificha kwajina lako unalotumia Sasa nimekufahamu kilichopelekea kukufahamuKwani nilijificha ?
Jiheshimu kuheshimiana ni muhimu Sana angekua billgate ,ungesema wazungu wako sim-poBilionea Sugu mbona kavaa blauzi ya happy?, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sa kwani uongo? Unajua maana ya simpo au unajiongelesha?Jiheshimu kuheshimiana ni muhimu Sana angekua billgate ,ungesema wazungu wako sim-po
Huo ndio utakaokuwa mwanzo mzuri wa juhudi za ukombozi.Mungu ibariki chadema..ila wajiandae kwa tamko kutoka policcm kuhusu kuwepo na taarifa za kiintelijensia.
#MaendeleoHayanaChama
Labda waliokata tamaa ya maisha.Raia hawana Cha kupoteza zaidi ya minyororo walofungwa.
Naelewa CHADEMA inayo raslimali watu (viongozi), wengi sana, hadi huko mashinani kwenyewe.Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .
Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.
Msiruletee vurugu mkoani kwetu nendeni mikoani kwenu. Mara tunajielewa kama ni vurugu mmenoa.Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .
Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.
View attachment 2413276View attachment 2413277
Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa
Mungu ibariki Chadema .
Fikisha matamanio yako Lumumba na kwa IGP ili wasitumwe polisi wa kuvuruga mikutano, wawepo askari polisi wa kulinda mikutano.Hii ndio Chadema ninayoitamani
Jitahidi kuheshimiana kingongogo mkubwa weweSa kwani uongo? Unajua maana ya simpo au unajiongelesha?
Hapa umemtwanga ngumi ya pua.hembu ficha kidogo ujinga wako mkuu
chademe watatue kero za wananchi kwani wao wanakusanya kodi? hata tafsiri ya chama cha siasa hujui?
inasikitisha sana? Ndesamburo unayemtolea mfano hapa alipofariki watu walikatazwa hata kumuaga au hukumbuki?
Mnaanza kuihitaji lini?Kwani takwa la katiba ni la chama Cha siasa, au wananchi wenyewee ndio watakao hitaji katiba bila mgongo wa chama chochote Cha kisiasa?
Sio chama Cha siasa Tena, futeni Neno chadema ili muwe chama Cha wananchi rasmiiChadema ni chama cha wananchi
Kwani iliyopo inashida ganiMnaanza kuihitaji lini?
Tatizo lako liko kichwani.Kwani iliyopo inashida gani
Hata IGP aliyepita aliwahi kuulizwa tafsiri ya intelijinsia ya Polisi akakwepa kabisa kutoa maelezo juu ya Jambo hilo.Wasiojua PGO intelijensia watajulia wapi ?
Hivi zinakutosha kweli kichwani au unazo za kwendea chooni tu? Soma kichwa cha habari tena halafu linganisha na hiki unachouliza.Hapo ndio wapo kwenye mkutano?