Vigogo wa Chadema waingia Tarime, Mikutano kadhaa kufanyika

Vigogo wa Chadema waingia Tarime, Mikutano kadhaa kufanyika

Ulijificha kwajina lako unalotumia Sasa nimekufahamu kilichopelekea kukufahamu

Matamshi , kwamfano Nukuu ya mwl pale Hadi mwisho .....pambaneni usirudi nyuma
[emoji38][emoji38][emoji38] JF bhana ! yaani unamfahamu mtu mwingine kwa matamshi ya Nyerere !
 
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .
Viva CHADEMA Viva
 
tatizo kubwa la viongozi wa chadema ni kuhubiri siasa za uchochezi, watanzania waanacho kitaka ni kutatua matatizo/kero za wananchi, igeni mwendo wa Hayati Ndesamburo, alikuwa anatatua kero za wananchi na sio kulalamika na kutuhumu.

Ukitaka wananchi waakukumbuke tatua kero zao zinanzo wakabili na sio kupiga domo.
Chadema wanapaswa wabadilike, wasidhani vijana ni wajinga.
Ushawishi tu bila matendo ni kazi buree!
Wape eneo la kukusanya kodi.
 
Nimecheka sana nikasema huyu ni JOHN heche au erythrocyte nikasema John huyu ulichokiandika hapo para 2 ,nimatamshi ya John akimnuu nyerere
John Heche ni Mkurya , Erythrocyte ni Mnyakyusa wa Kyela , unaona ulivyokosea sasa !

Kwa taarifa yako , si rahisi kumfahamu mtu hapa jf
 
tatizo kubwa la viongozi wa chadema ni kuhubiri siasa za uchochezi, watanzania waanacho kitaka ni kutatua matatizo/kero za wananchi, igeni mwendo wa Hayati Ndesamburo, alikuwa anatatua kero za wananchi na sio kulalamika na kutuhumu.

Ukitaka wananchi waakukumbuke tatua kero zao zinanzo wakabili na sio kupiga domo.
Chadema wanapaswa wabadilike, wasidhani vijana ni wajinga.
Ushawishi tu bila matendo ni kazi buree!
Kenge..
 
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .
Kuwasili Tarime ndo nguvu ya chadema?
 
tatizo kubwa la viongozi wa chadema ni kuhubiri siasa za uchochezi, watanzania waanacho kitaka ni kutatua matatizo/kero za wananchi, igeni mwendo wa Hayati Ndesamburo, alikuwa anatatua kero za wananchi na sio kulalamika na kutuhumu.

Ukitaka wananchi waakukumbuke tatua kero zao zinanzo wakabili na sio kupiga domo.
Chadema wanapaswa wabadilike, wasidhani vijana ni wajinga.
Ushawishi tu bila matendo ni kazi buree!
Umesoma ulichokiandika?
 
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha moto wa Demokrasia .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko nyuma akitangaza kwamba CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI, kwa tafsiri Nyerere alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa uko kwenye mikutano ya hadhara na maandamano, yaani uhai wa chama cha siasa uko kwenye amsha amsha ! haya ma Join the chain au hizi Chadema digital ndio pumzi ya chama.

View attachment 2413276View attachment 2413277

Tuliahidi kwamba Ikifika Novemba mtaielewa nguvu yetu , maneno matupu hayavunji mfupa

Mungu ibariki Chadema .
Hao vigogo wote hapo wanamfanyia kazi mzee Mbowe ambae anatarajiwe kukabidhi chama kwa yule makele wa CANADA mapema mwakani
 
Back
Top Bottom