Vigogo wa Chadema waingia Tarime, Mikutano kadhaa kufanyika

Ulijificha kwajina lako unalotumia Sasa nimekufahamu kilichopelekea kukufahamu

Matamshi , kwamfano Nukuu ya mwl pale Hadi mwisho .....pambaneni usirudi nyuma
[emoji38][emoji38][emoji38] JF bhana ! yaani unamfahamu mtu mwingine kwa matamshi ya Nyerere !
 
Viva CHADEMA Viva
 
[emoji38][emoji38][emoji38] JF bhana ! yaani unamfahamu mtu mwingine kwa matamshi ya Nyerere !
Nimecheka sana nikasema huyu ni JOHN heche au erythrocyte nikasema John huyu ulichokiandika hapo para 2 ,nimatamshi ya John akimnuu nyerere
 
Wape eneo la kukusanya kodi.
 
Nimecheka sana nikasema huyu ni JOHN heche au erythrocyte nikasema John huyu ulichokiandika hapo para 2 ,nimatamshi ya John akimnuu nyerere
John Heche ni Mkurya , Erythrocyte ni Mnyakyusa wa Kyela , unaona ulivyokosea sasa !

Kwa taarifa yako , si rahisi kumfahamu mtu hapa jf
 
Kenge..
 
Kuwasili Tarime ndo nguvu ya chadema?
 
Umesoma ulichokiandika?
 
Hao vigogo wote hapo wanamfanyia kazi mzee Mbowe ambae anatarajiwe kukabidhi chama kwa yule makele wa CANADA mapema mwakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…