Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hatakujibuUmeumia sana mapandikizi kukatwa?
Huyu ndo aliomba Magufuli awape majengo ya ikulu, hopeless kabisaMbowe ni Mwenyekiti wa Maisha wa chadomo.
Mbowe Oyeeeeeee
Hutaki tumshangiliiii, shangilie mwenyekiti "babaangu" - kwa sauti ya Mrema wa Kiraracha.Huyu ndo aliomba magufuli awape majengo ya ikulu, hopeless kabisa
Nimejikuta nacheka kwa hili jibuPeleka umbea CCM waoga wa demokrasia na uchaguzi wa wazi na wa haki
Tumechagua mapandikizi tumeacha chadema halisi
Kumbe kila mtu anamjuaWewe ni Chadema toka lini?
Pumzika ulale sidhani kama huu mjadala utakusaidia
Cha msingi uchaguzi utakuwa Huru na HakiLissu anashinda na Lusako anashinda
Kwa maslahi ya ChademaMbowe anashinda
Yeye ndie asubiri maumivu mark my words CCM Chama tawala ndio tunaamua Nani awe Nani Chama chochotePole sana.Subiria maumivu mkuu
CCM Chama tawala ndio tunapanga Nani awe Nani Chama chochote Tanzania bara na visiwani.Uliza Wafadhili hawakuamini kilichotokea uchaguzi Zanzibar na uchaguzi wa Raisi wa Tanzania wakijua Lowasa anashinda na Seif Zanzibar anashinda!!!!!Kina watu wakiona au kusikia jina la TL ukichaa unawapanda kichwani
Hayakuhusu na ukumbuke dini yetu inaturuhusu ku oppose watu wengine lakini haituruhusu kuwa insult. Fuatilia ziara ya Bashiru Ali huko chakechake.Mbowe ni Mwenyekiti wa Maisha wa chadomo.
Mbowe Oyeeeeeee
Yote yana mwishoCCM Chama tawala ndio tunapanga Nani awe Nani Chama chochote Tanzania bara na visiwani.Uliza Wafadhili hawakuamini kilichotokea uchaguzi Zanzibar na uchaguzi wa Raisi wa Tanzania wakijua Lowasa anashinda na Seif Zanzibar anashinda!!!!!
Chaguzi zote chadema mnafanya CCM ndio tunaratibu Nani awe nani
Umemkosea mbowe ,unapoishi tunapajuaMbowe ni Mwenyekiti wa Maisha wa chadomo.
Mbowe Oyeeeeeee
Kama jarife lavua na livue tulione.Umemkosea mbowe ,unapoishi tunapajua