misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Kwaiyo mzee baba mna copy na ku paste kutoka chama cha mapinduzi?Kwani ulivyofanyika CCM mzee baba hakua amepanga safu yake kuanzia Uvccm,Uwt,jumuiya ya wazazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo mzee baba mna copy na ku paste kutoka chama cha mapinduzi?Kwani ulivyofanyika CCM mzee baba hakua amepanga safu yake kuanzia Uvccm,Uwt,jumuiya ya wazazi?
Mbowe ni Mwenyekiti wa Maisha wa chadomo.
Mbowe Oyeeeeeee
Hamtaki nimshangilie?Kwann uteseke?mbna chama lenu chakavu hamruhusu hata kufanya huo uchaguzi wa mwenyekit?
Sasa nyie si mnasemaga ni chama kongwe Africa?Kwaiyo mzee baba mna copy na ku paste kutoka chama cha mapinduzi?
Afdhali mbowe, lipumbavu toka 1995 yupo tuMbowe ni Mwenyekiti wa Maisha wa chadomo.
Mbowe Oyeeeeeee
H Ha HaaaAfdhali mbowe, lipumbavu toka 1995 yupo tu
Wewe ndugu huwa unalipwa shilingi ngapi mbona unahangaika sana?Tumechagua mapandikizi tumeacha chadema halisi