Vigogo waangushwa uchaguzi CHADEMA

Matola,
Tuliza munkari, kila jambo na wakati wake successor wameishapangwa kati ya makamu au katibu mkuu
 
Kina watu wakiona au kusikia jina la TL ukichaa unawapanda kichwani
CCM Chama tawala ndio tunapanga Nani awe Nani Chama chochote Tanzania bara na visiwani.Uliza Wafadhili hawakuamini kilichotokea uchaguzi Zanzibar na uchaguzi wa Raisi wa Tanzania wakijua Lowasa anashinda na Seif Zanzibar anashinda!!!!!

Chaguzi zote chadema mnafanya CCM ndio tunaratibu Nani awe nani
 
Mbowe ni Mwenyekiti wa Maisha wa chadomo.

Mbowe Oyeeeeeee
Hayakuhusu na ukumbuke dini yetu inaturuhusu ku oppose watu wengine lakini haituruhusu kuwa insult. Fuatilia ziara ya Bashiru Ali huko chakechake.
 
Yote yana mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…