Vijana 147 waliojiunga na JKT wabainika kuwa na VVU

Vijana 147 waliojiunga na JKT wabainika kuwa na VVU

Habari zenu wanajukwaa.

Serikali ya Tanzania imejigamba Kwa kusema imefanikiwa kupunguza Maambukizi ya Ukimwi Kwa Asilimia 58% ambapo Kwa mwaka watu 54,000 ndio hupata Maambukizi kutoka watu 130,000 mwaka 2003.


Wakati ikieleza hayo taarifa kutoka JKT zinasema Vijana wapatao 147 waliojiunga na mafunzo ya JKT Kwa lazima wamekutwa na virusi vinavyosababisha Ukimwi VVU..

Wakuu msiamini sana takwimu maana ngwe ngwe Bado ipo.Vaeni zana za kazi.View attachment 2506765

haijasema imemaliza kabisa tatizo ni hiyo 58% katika 100%, na ukiangalia 147 kati ya vijana hao ni kama 0.0009%. yes lazima tujikinge sana maana tatizo bado lipo limepungua tu, na tusipochukua tahadhari linaweza kuongezeka tena maradufu
 
Unapaswa kuelewa takwimu, hata huko JKT unaweza kukuta hicho ni kiwango kidogo kulinganisha na miaka iliyopita.
Habari zenu wanajukwaa.

Serikali ya Tanzania imejigamba Kwa kusema imefanikiwa kupunguza Maambukizi ya Ukimwi Kwa Asilimia 58% ambapo Kwa mwaka watu 54,000 ndio hupata Maambukizi kutoka watu 130,000 mwaka 2003.


Wakati ikieleza hayo taarifa kutoka JKT zinasema Vijana wapatao 147 waliojiunga na mafunzo ya JKT Kwa lazima wamekutwa na virusi vinavyosababisha Ukimwi VVU..

Wakuu msiamini sana takwimu maana ngwe ngwe Bado ipo.Vaeni zana za kazi.View attachment 2506765
 
Nimeshangaa sana na bado nashangaa hawa vijana wameupata wapi

Maana kwasasa watu wanaopata kwa njia ya kujamiana ni kiasi kidogo sana

Pili vijana wengi wa kiume na ndo idadi kubwa iliyopo huko jeshini hawafanyi mapenz sana ukilinganisha na wale wa kike

Nafikiri itakuwa vizuri wakichunguzwa marinda pia,maana nashindwa kuelewa watoto wadogo hawa wameupata wapi
 
Kuna miaka kulikuwa na kampeni za kupima ukimwi kwa hiari, tena kulikuwa hakuna dawa za kufubaza makali ya virusi vya ukimwi kwa wingi kama sasa na watu walijitokeza kwa wingi kwenye vituo vya ANGAZA. Kwa nini nyakati hizi kusiwepo na kampeni tena za kupima ukimwi ili kizazi kipya kijue afya zao kuliko kwenda kupimwa kama huko jkt? Kama ugonjwa hautishi kama miaka ile na hakuna hofu ya kufa mapema kutokana na kuwepo arv watu wapime tu kama ilivyo kupima malaria na typhoid. Yaani kupima ukimwi iwe ni zoezi la kupima afya kama kawaida angalau mara mbili kwa mwaka
 
Ni kuchukua tahadhari sana sasa nimeelewa kwanini ulikua unahitaji upime kwanza kabla ya kuwa na mtu in love
Yaan Naumia kweli,umenikumbusha mtu Fulani nilimpata ...ni wale tall dark with big dick......nilimwambia tupimebefore sex akasema Subiri tutapima...kushika mashine ndani ya suruali ni mashine kweli....lakini aliendelea kukataa kupima mpaka nikamkimbia ....daa but nilianza kumfeel kweli
 
Yaan Naumia kweli,umenikumbusha mtu Fulani nilimpata ...ni wale tall dark with big dick......nilimwambia tupimebefore sex akasema Subiri tutapima...kushika mashine ndani ya suruali ni mashine kweli....lakini aliendelea kukataa kupima mpaka nikamkimbia ....daa but nilianza kumfeel kweli
😄 umeeleza kwa hisia sana ulishaanza kumpenda. Ulifanya vizuri kutokukiuka principle zako maana ni heri maumivu ya kumkosa mtu kwa mda mfupi kuliko majuto
 
Nikiwa mwaka wa mwisho chuon sikumoja nikiwa admission block......alikatiza mdada mmoja mrembo sana mbele yangu mim nikafanya utundu nikamwangalia sanaa....

Swali la kwanza baada ya kubadilishana namba alinitext aliniuliza kwann siku Ile nilikua namwangalia sana.......🌝🌝🌝
Sisi wanaume ni ma mafia nikaruka viunzi tukaanza Uhusiano.....

NDIO alikua ametoka Jkt Kwa mujibu akajoin chuo kikuu....Uhusiano wake wa mwisho kimapenzi alinisimulia ulikua wa afisa mmoja wa jeshi hapo hapo Jkt.....

Chanzo Cha kuachana na afisa huyo ilikua....alifanya surplise kwenda Kwa mjeshi siku iyo usiku sana alikua na ufunguo......so kufika fungua mlango ingia ndani anakuta nguo jikon zimedondoka kuanzia boksa chupi za kike....

Akakuta seblen Malaya wawili na mjeshi uchi wamelewa TILA LILA

anasema alishituka na kupanic mjeshi akamuita pembeni wayajenge anasema huo NDIO ulikua mwisho wa Uhusiano na huyo afisa wa jeshi.....

Itoshe kusema hayo mambo yapo sana huko JKT

Kuna ka last born ketu ka kike niliwakataza Kasi ende huko maana......Jkt Kuna mafisi....ufanyike uchunguzi wa wazi...
 
Back
Top Bottom