To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣wewe unashida gani namiToyeye upo humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣wewe unashida gani namiToyeye upo humu
Kwan walikua wameshaanza mazoeziNa all in all wameupatia huko huko aiseee
Na kuomba PM tafadhali[emoji1787]wewe unashida gani nami
Usijali dawa mzungu aloshaipata soon itakuwa ni kugegedana kwa raha bila hofuHaya mambo ya ngwengwe haya yaacheni tu kama yalivyo maana tutakoseshana hamu ya mambo yalee
We Acha tuuUsijali dawa mzungu aloshaipata soon itakuwa ni kugegedana kwa raha bila hofu
Hali inakatisha tamaa.Sana
Njia mbali mbali, ikiwemo waliozaliwa au kuambukizwa na wazazi wao.Wamepatia huko mafunzoni
Kabisa mkuuHali inakatisha tamaa.
Sawa mkuuNa kuomba PM tafadhali
Mzee wa daily kimokoSiku zijazo tutapenda pia kusikia na idadi ya Wakufunzi wa Mafunzo ya JKT wenye VVU japo baadhi yao katika Kambi maarufu Wanajulikana na wala hawahamishwi.
Kwa Taarifa zaidi juu ya hawa Vijana 147 waliokutwa na VVU Mafunzoni JKT tembelea mwananchi_official
Poleni sana Vijana 147.
Yanayoendelea huko hasa kuhusu VVU yanasikitisha. Bado nasisitiza Siku zijazo waje pia na idadi ya Wakufunzi ( Trainers ) wa JKT wenye VVU na wanawapokea Vijana wetu kila mwaka wa Mafunzo haya ya kwa Mujibu.Inasikitisha sana...
Sina uhakika ila huwa wanapima baada ya mda flani tangu walipotiKwan walikua wameshaanza mazoezi