Vijana 147 waliojiunga na JKT wabainika kuwa na VVU

Vijana 147 waliojiunga na JKT wabainika kuwa na VVU

Hili swala lina ukweli au ni "Intimidation"

Kwa nn nimeuliza hivi ?
👉Nakumbuka kipind tunaenda advance ile form five tulipofika tulikuwa tunaambiwa na walimu na baadhi ya form six haswa viongozi kwamba wanafunzi wa hapa wale wa day (o-level) almost 15% Wana ngoma(HIV +)...Kitakwimu ni kweli ile wilay katika huo mkoa ndo ilikuwa kinara kwa maambukizi.

Maisha yaliendelea ila baada Kuna Wana walikuwa wanatongoza watoto kama kawa na watoto wa wilaya ile 70% ni weupe yaani wazuri wanang'aa sasa kule o level walipokuwa watu wanatongoza nao walikuwa wanaambiwa kwamba sisi (Advance) kama tumetoka mikoa tofauti kwamba sisi almost 50% tumeathirika😂😂... Wao wanatuogopa .

Itabdi tukae na wale mabroo watueleze vizuri ,wakasema ila ni psychological game of mind IL watu wasifanye ngono..Palikuwa na tetesi demu mmoja mkali eti ana UKIMWI ila Kuna jamaa alikuwa anatoka nae anasema hana wala nn 😂😂.
 
Hili swala lina ukweli au ni "Intimidation"

Kwa nn nimeuliza hivi ?
👉Nakumbuka kipind tunaenda advance ile form five tulipofika tulikuwa tunaambiwa na walimu na baadhi ya form six haswa viongozi kwamba wanafunzi wa hapa wale wa day (o-level) almost 15% Wana ngoma(HIV +)...Kitakwimu ni kweli ile wilay katika huo mkoa ndo ilikuwa kinara kwa maambukizi.

Maisha yaliendelea ila baada Kuna Wana walikuwa wanatongoza watoto kama kawa na watoto wa wilaya ile 70% ni weupe yaani wazuri wanang'aa sasa kule o level walipokuwa watu wanatongoza nao walikuwa wanaambiwa kwamba sisi (Advance) kama tumetoka mikoa tofauti kwamba sisi almost 50% tumeathirika😂😂... Wao wanatuogopa .

Itabdi tukae na wale mabroo watueleze vizuri ,wakasema ila ni psychological game of mind IL watu wasifanye ngono..Palikuwa na tetesi demu mmoja mkali eti ana UKIMWI ila Kuna jamaa alikuwa anatoka nae anasema hana wala nn 😂😂.
Achana na hizo taarifa za kuwatisha.. sasa hii unazani wapo kuwatisha kina nani mpaka wametoa officially
 
Achana na hizo taarifa za kuwatisha.. sasa hii unazani wapo kuwatisha kina nani mpaka wametoa officially
Mkuu propaganda sometime hao machalii wengi ni madogo kwamba Wana ngoma ..Inakuwaje wanamechukuliwa na magonjwa yao hawataki magonjwa ya kuambukiza ? Labda wamateme ila kwa wanajeshi kama ni kweli mpaka wakimaliza mafunzi watakuwa 70% Wana ngoma .

Kuna michezo michafu kwa wanajeshi kipind cha mafunzo wanakuwa na utundu mwingi sana.Hao ndo walisambaza UKIMWI baada ya vita vya Kagera kwa kuutoa kule Uganda ambapo mwaka 1978 ulikuwa ndo uko moto sana wakauleta Tz.
 
Back
Top Bottom