Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kama upo fit ya nini upime.. kujipa presha tuu😂😂😂😂Kabisa chuo uhuru na baada ya hapo kazini, nilishajua ninao nikaishi kwa wasiwasi sanaa.
Nimekuja kupima, siku hiyo nikasema liwalo na liwe..nikakuta Negative.
Mfumo wa maisha umebadilika sana, namshukuru Mungu.