Vijana 147 waliojiunga na JKT wabainika kuwa na VVU

Vijana 147 waliojiunga na JKT wabainika kuwa na VVU

Whatever a means!
Gunshots!
Sumu!
Njaa siku kumi

I am just joking, wengi hapo ni wasichana na wameupata kwa wababa wala vibinti...

Ila kwa kuwa wameshaupata wapige dozi watasonga kama kawa
*"Whatever a means!
Gunshots!
Sumu!
Njaa siku kumi*"😂😂🙌🙌🙌


Sasa hapo watarudishwa mtaani imagine tuu. Mzazi anaichukuliaje hiyo
Na alimpeleka mtoto wake hospitali akiwa safe...
 
kupima sio shida shida kusubiri majibu hata kama umepima jana yake na kuwa negative
Umenikumbusha,kuna wakati nlikuwa nafanya safari ya kwenda nchi moja hivi
Sasa kuna form ya kujaza mambo ya medical dah,kufanya medical check up
Ilikuwa unapima ngoma na mambo mengi ya afya kimwili
Tulikuwa 3 nakumbuka tulienda kufanya vipimo vya ngoma pale regency...eh wakati nasubiria majibu wenzangu siwaoni nliyokaa nao walitoka nduki
Mm nkachukua majibu yangu nkasepa
Kuendelea na process zangu

Ova
 
Umenikumbusha,kuna wakati nlikuwa nafanya safari ya kwenda nchi moja hivi
Sasa kuna form ya kujaza mambo ya medical dah,kufanya medical check up
Ilikuwa unapima ngoma na mambo mengi ya afya kimwili
Tulikuwa 3 nakumbuka tulienda kufanya vipimo vya ngoma pale regency...eh wakati nasubiria majibu wenzangu siwaoni nliyokaa nao walitoka nduki
Mm nkachukua majibu yangu nkasepa
Kuendelea na process zangu

Ova
🤣🤣🤣🤣🤣
Watu wanayakimbia mchana kweupee
 
Me napima sana tu
Sema kwakweli sio jambo rahisi.
Ndom nayo ndo hvo inapunguza utamu...basi shida kweli kweli
Utapima mara ngapi... !?? Unapima ili ugundue nini..?
Oky umepima upo neg
Unakaa kidogo unaenda tena kupima unakuta upo neg
Bado unakaa miezi kadhaa unaenda tena kupima....😳😳😳
Hapo kama kuna kitu unatafuta hivi..

Shortly mtu aliyepima akakutwa positive huyo hatpenda tena kupima maana kashapata kile alichokua anatafuta... Sasa wewe hapo una shida
 
Utapima mara ngapi... !?? Unapima ili ugundue nini..?
Oky umepima upo neg
Unakaa kidogo unaenda tena kupima unakuta upo neg
Bado unakaa miezi kadhaa unaenda tena kupima....😳😳😳
Hapo kama kuna kitu unatafuta hivi..

Shortly mtu aliyepima akakutwa positive huyo hatpenda tena kupima maana kashapata kile alichokua anatafuta... Sasa wewe hapo una shida
Ndo maana sku hizi nimeacha kupima. Ilikuwa kila nikiuza mech napima
 
Back
Top Bottom