FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wewe taahira kwanini usiseme hao ni kati ya vijana laki 1?!View attachment 2506065
Vijana 147 waliojiunga na JKT wabainika kuwa na VVU
KAMATI ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI imesema katika kipindi cha miaka mitatu kilichoanzia 2018, vijana wanaojiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliopimwa na kukutwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) ni 147.www.ippmedia.com
Mungu atunusuru na vizazi vyetu