UchawaaaYani crew ya watu imekaa unavamia tu unajichanganya!?
Ustaarabu wa wapi huu?
Kazi yao ni kuchunguza mambo ya watuWanywa soda ni wanafiki sana
Anamjulia wapi ampe connection! Hawa watu wanaliongelea hili kama jepesi vile huko kwenda tu kufatilia connection ni mtaji tosha😅!Riz alikupa connection?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅Anataka vijana wenzake wakafirwe kimasihara , hakuna tajiri aliyetoka kwa mbinu hizo. Siri ya mafanikio ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa huku ukiheshimu watu wote then ongeza ubunifu wa kile unachofanya basi connection itakukuta unapambana utegemee connection Bar na Hotel kama unaenda kujiuza
SanaaKazi yao ni kuchunguza mambo ya watu
Hahahahahah yani we na njaa zako utegemee kujikomba kwenye meza ya wenzio mle ndani😅 wanaume wenzio wana discuss mambo yao private we ukurupuke tu..,”Aisee ni vipi wazee?” hahahaha lazma uchekeshePale Serena usiku msichana akija peke yake kavaa kimitego anazuiwa mlangoni.
Kuna siku dada mmoja sijui kama anadanga au alikuja kwenye mambo yake aliniomba tuingie wote ndani ili mlangoni wasimsumbuwe, tulikutana kwenye parking na alikuwa na gari.
Tulipoingia ndani kila mtu aliendelea na mambo yake sikumfuatilia maana sicho kilichonipeleka.
Ila haya mambo watu wanakariri tu, mimi nimefanyakazi na wazungu kwa miaka mingi na connection za ulaya sijawahi kupewa na wao zaidi ya washkaji zangu blacks ambao wapo huko.
Wanawake wadangaji wengi si hujipeleka mle kulenga ma boss sema inaonekana washashitukiwa so wanapigwa pini!Pale Serena usiku msichana akija peke yake kavaa kimitego anazuiwa mlangoni.
Kuna siku dada mmoja sijui kama anadanga au alikuja kwenye mambo yake aliniomba tuingie wote ndani ili mlangoni wasimsumbuwe, tulikutana kwenye parking na alikuwa na gari.
Tulipoingia ndani kila mtu aliendelea na mambo yake sikumfuatilia maana sicho kilichonipeleka.
Ila haya mambo watu wanakariri tu, mimi nimefanyakazi na wazungu kwa miaka mingi na connection za ulaya sijawahi kupewa na wao zaidi ya washkaji zangu blacks ambao wapo huko.
Nyie mnaolipiwa hizo out na madanga ni vyepesi 😅 ila kwa kijana ambaye anaishi kwa shemeji yake hizo hela za kwenda ku hang out masaki kila siku nani anatoa?Nakuamini,na mtaji wa kwanza Ni watu aisee.....Vijana tokeni out za maana
Wanawake wengi si walivamia makundi ya Jogging Club Masaki wakijua kule kuna vibopa ndoa nje nje kilichotokea ni kuliwa kimasihara na tabu iko pale pale😅 ha ha ha!Na hii type ya connection naona inawafaa wanaume. Mwanamke ukifanya hivyo utaonekana muuza k tu
Wanawake wadangaji wengi si hujipeleka mle kulenga ma boss sema inaonekana washashitukiwa so wanapigwa pini!
“Happy hours” ndio vi secretary na vi teller vya Bank vinarundikana Serena humo kudanga😅Na hapa wengi Ni wale waajiriwa maofisi ya posta ni manguli wa shughuli hizi Wenyewe wakisema "happy hours"
Na zile Marathon hujazisema,watu Hadi wanazisafiria Mara mikumi marathon hapo Moto,kili marathon haooo chuga were Hapana chezea watu na mbinu zao.Wanawake wengi si walivamia makundi ya Jogging Club Masaki wakijua kule kuna vibopa ndoa nje nje kilichotokea ni kuliwa kimasihara na tabu iko pale pale😅 ha ha ha!
Mnaokunywa soda mna mambo ya kiwaki sana mapashkunaTusiokunywa pombe unatushauri tukiingia humo tutumie vinywaji gani mkuu?
Maana mwaka fulani nilifukuzwa na jamaa zangu eti nawaletea nyuki kisa wao wanakunywa beer mimi nina grand malt kwenye meza yao,ila fresh tu but wanywa pombe Mungu anawaona.
🤣🤣🤣Maisha haya yana Siri nyingi san“Happy hours” ndio vi secretary na vi teller vya Bank vinarundikana Serena humo kudanga😅
Hahahahah hii ya kusafiri kuna mtu namjua huwa anaungaga sana hizo Marathon ila nae kaambulia patupu😅 ubao unasoma 0-0. Maisha sio mepesi jamani warembo mukaze tuNa zile Marathon hujazisema,watu Hadi wanazisafiria Mara mikumi marathon hapo Moto,kili marathon haooo chuga were Hapana chezea watu na mbinu zao.
Hahahahahah pisi kali mnaishi nazo kwenye Pubs😅Pis kale za mjini zote zimejiongeza baada ya kuzalishwa na mabosi ña kuhamia Dodoma kwahiyo Sasa hivi pis kale zote Ni single Maza na zimejiongeza kufungua pub na sisi ndio tunaponea hapo kwa kuchanganya damu
Inawezekana ikawa kweli, ila ni wangapi wamefanikiwa kwa njia hii kati ya wengi. Inawezekana njia hii imemsaidia mtu fulani ila ni bahati tu imetokea kwake ikajadiliwa kazi au mchongo.