Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Na umeweka picha mzee ilibwaje PM kuomba connection.. hahaaaaa

Wataliwa watu hapaaaa👆🤣😂
 
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Sawa ngoja tuanze mkuu
 
Ndoto za alinacha...mm ukinikuta sehemu nmetulia napunguza stress alaf ukaja kujichanganya nakutoa na makofi ya shingo.
🤣🤣🤣🤣
Kuna mbongo mmoja alikuwa analilia humu JF anataka kurudi bongo anasema ulaya wazungu wabaguzi
eti kaiingia baa kaagiza pombe, halafu kawafata kwenye meza yao na kujiunga na kukaa, wazungu wote wakaamka na kumwachia meza🤣🤣🤣🤣
 
NDUGU mtoa mada! Ahsante kwa ushauri wako mzuri kabisa na wenye manufaa kwenye kutengeneza mtandao wenye manufaa!
Sasa kwa sisi ambao sio watumia vilevi... Kama pombe nk...
Unatushauri kuingia kwa gia gani hayo maeneo! Ili tuweze kupata connection??
Unaenda kuzuga hata na lunch ya bei unayoimudu na maji yako makubwa
 
Mnatamani Sana kuishi maisha siyo yenu. Mna fantansy za kisoro kwenye fikra zenu. Lima hata kabustani kambogamboga uwani kwa shemeji yako utatoka tu na itakuweka busy.

Nyau ww!

Anataka vijana wenzake wakafirwe kimasihara , hakuna tajiri aliyetoka kwa mbinu hizo. Siri ya mafanikio ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa huku ukiheshimu watu wote then ongeza ubunifu wa kile unachofanya basi connection itakukuta unapambana utegemee connection Bar na Hotel kama unaenda kujiuza
 
Hiyo ni kweli,mwaka 2007 nilikwenda hotel moja jijini Arusha nikiwa na mdogo wangu mimi nikiwa ajirani tena ajira ilikiwa ya maana inayolipa kwa kipindi hicho, dogo langu ambae nae alikuwa amesoma elimu kama ya kwangu akitokea likizo ila alikuwa ameajiriwa kwenye taasisi yenye hali tete.So wakati tunagonga beer tukajikuta tunajumuika na watu mezani kwetu na wakati tunapiga story kumbe kati ya wale kulikiwa na HR wa shirika kubwa fulani Tanzania, kwenye stori ndo akatujulisha kuwa kuna nafasi za kazi shirikani kwao,kucheck vigezo dogo anavyo vyote.Duu akaambiwa kesho aende ofisini akafanye usahili atamsaidia endapo kutakuwa na shida.Hadi wa leo naongea dogo yupo job maisha fresh.
So kila nikipitaga maeneo ya Ile hotel naiona ajira ya dogo.
Sehemu kubwa ina mambo makubwa hakika

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app

Hotel gani na mimi Niko Arusha nataka ni we naenda hapo
 
Anataka vijana wenzake wakafirwe kimasihara , hakuna tajiri aliyetoka kwa mbinu hizo. Siri ya mafanikio ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa huku ukiheshimu watu wote then ongeza ubunifu wa kile unachofanya basi connection itakukuta unapambana utegemee connection Bar na Hotel kama unaenda kujiuza
Hata mwanamke unaetega ama kujiuza u will never make a move kwa mwanaume...
Utachill wth ur business na kujipitisha tu hadi the Man makes the moves himself...

Akutumie vinywaji ama aombe namba etc

Binafsi ukinifata kwny meza sikujui either ntakuachia meza ama ntakujulisha utuache
 
Mtizamo wako ni wa kishamba sana we jamaa, sasa mtu hana ajira hela ya kwenda Serena hotel anaipata wapi?!
Umeandika bila kutumia akili kabisa.. Sasa unadhani vizuri vinakuja bila kuumia na kutumia ghalama? Kauze machupa, fanya kazi za vibarua, tafuta fedha kidogo ndipo unajisogeza Serena hapo ku bet maisha yako.
 
Back
Top Bottom