Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hapo kwenye kitimoto naomba utushushePombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye kitimoto naomba utushushePombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke
😂😂😂au we ndo jirani yangu mtaani hapa maana story kama ya jirani yangu bila energy hataboi😂😂Aisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
Yawezekana Mwanangu Mimi nipo kwa Mfuga Mbwa hapa Manzese.😂😂😂au we ndo jirani yangu mtaani hapa maana story kama ya jirani yangu bila energy hataboi😂😂
Sio wewe ila kuna jirani hap saa 12 au saa 1 hivi utamuona na energy saa 3, saa 6 saa 8 na jioni bila kusahau usiku kwa siku anatembeza energy kama 5 au 6 ni sheria hiyoo😂😂 mo energyYawezekana Mwanangu Mimi nipo kwa Mfuga Mbwa hapa Manzese.
Pole sanaAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo Mimi ilikuwaga miaka ya 2014, Mo Eneji nilikuwa nazinywa mpaka 6 au 7 sometimes mpaka Mangi alikuwa anakataa kuniuzia naenda duka jingineSio wewe ila kuna jirani hap saa 12 au saa 1 hivi utamuona na energy saa 3, saa 6 saa 8 na jioni bila kusahau usiku kwa siku anatembeza energy kama 5 au 6 ni sheria hiyoo😂😂 mo energy
Asante sana 😊🙏Pole sana
Kwa hiyo saizi unatembeza ngapi per day?Hiyo Mimi ilikuwaga miaka ya 2014, Mo Eneji nilikuwa nazinywa mpaka 6 au 7 sometimes mpaka Mangi alikuwa anakataa kuniuzia naenda duka jingine
Kwanza chupa zinachafua mazingira sababu wale waokota chupa hawana muda nazo. Nilishapandisha thread humu uchafuzi wake wa mazingira lakini hamna aliyechangia. Ile thread ilikufa kifo Cha mendeSerikali ipige marufuku hizi energy drinks hasa za kwenye chupa za plastic maana zinauzwa mno bei rahisi.
Kama kuna ulazima ziwepo basi ziwepacked kwenye kopo za Alluminium na moja iuzwe 6,000 ili kuthibiti unywaji holela.
Kama pombe za karatasi za viroba zilipigwa marufuku, Serikali inashindwa nini kupiga marufuku huu ulevi wa energy drink ili kuokoa nguvu kazi ya nchi na kupunguza mzigo mkubwa kwa sekta ya afya?
Moja tu, ile nikiamka tu saa moja lazima niitafute tena wakati mwingine usiku naacha chenji kabisa. Lakini leo ni siku ya 5 sijainywaKwa hiyo saizi unatembeza ngapi per day?
Lakini gharama za kuwahudumia huko hospitalini na kukosa nguvukazi inaendana na faida za kodi?Kipaumbele ni kodi
Great, hope utaacha kabisaMoja tu, ile nikiamka tu saa moja lazima niitafute tena wakati mwingine usiku naacha chenji kabisa. Lakini leo ni siku ya 5 sijainywa
Kwisha habari yako unajiua mwenyeweAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
Yeah nimepanga nihamie kwenye AKAYABHAGU 😂😂😂Great, hope utaacha kabisa
Niko fiti Mkuu nikisema tukimbie kuanzia hapa nilipo mpaka Mbezi Magufuli nafikaKwisha habari yako unajiua mwenyewe
Energy drinks ukiizoea ina arosto kama cocaine, jitahidi kupunguza angalau moja kwa siku then taratibu una skip siku bila kutumia, Sikh mbili, tatu, wiki then uachane Nazo, mbaya zaidi wanywaji wa pombe Kali wanao miz na energy every single day baada ya miaka 5 watahitaji mil 32 za kujitibu figo kila mwaka au mil 300 kufanya replacement ya figo nyingine,so bro manyanza take care.Aisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
Dr. Janabi amepiga kelele umuhimu wa kula vizuri uliona watu wanavyomnanga? Watz hata uwape maelezo na tafiti zote wasipokunanga watakuangalia tu... Ukitaka kuthibitisha angalia wenzako wanavyojibu kwenye huu uziWatoe maelezo kitaalamu hizo energy drink zina chemical zipi ndani yake zinaopelekea kuharibu figo, sio kusema tu energy drinks zinaharibu figo.
Hii itasaidia sana watu wapate uelewa kwa upana zaidi.
Miaka mitano ijayo hutoweza.Niko fiti Mkuu nikisema tukimbie kuanzia hapa nilipo mpaka Mbezi Magufuli nafika
Mkuu mbona Una muonea guruwe, wakati Hata nyama ya mbuzi inaleta matatizo ya miguuPombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke