Vijana ambao hawapo kwenye Ndoa wanatakiwa kuwa na Mafanikio Kuliko Walioko Kwenye Ndoa, kivipi?

Vijana ambao hawapo kwenye Ndoa wanatakiwa kuwa na Mafanikio Kuliko Walioko Kwenye Ndoa, kivipi?

Chibule

Senior Member
Joined
Sep 25, 2024
Posts
171
Reaction score
230
Vijana wengi wasio na wake wanapaswa kuwa na mafanikio zaidi kuliko walivyo sasa.

Lakini kwa sababu wanatumia pesa nyingi kwa wanawake ambao sio wake zao, ndio maana hawafanikiwi. Bro unajua mapenzi yanaweza kukurudiasha nyuma kama usipoingia kwa akili?

Ila mapenzi ni matamu sometimes lakini mpaka upendwe kwa dhati. Unaamini demu wako anawezakuwa drawback yako katika maendeleo? Sa skia mwanangu, usiruhusu mwanamke akutengenezee failure.

Kuna maoni mengi potofu kuhusu pesa na mahusiano kwa baadhi yetu vijana. Vijana tunapaswa kudhibiti uwezo wetu wa kutaka kuaminisha upendo kwa kuwapatia wanawake ambao sio wake zetu pesa.

Je, huna Mama, Baba, ndugu wanaohitaji?

Hao ndio unapaswa kuwasaidia na sio mpenzi wako na familia yake.

Hautosonga mbele

Mungu hatakubariki kwa kile unachofanya. Utabarikiwa na Mungu pale tu unapowasaidia wenye uhitaji, wazazi wako, mke wako na watoto wako.

Je, mpenzi wako ni mtu mwenye uhitaji maalum?

Je, ulikutana nae kwenye nyumba ya watoto yatima?

Ulikutana nae mitaani?

Je, alikuwa akiishi vipi kabla ya kukutana nae?

Nyote mnahitaji kuwa waangalifu juu ya jinsi mnavyojaribu ku'show love kwa mademu wenu. You also have to know that women are more loyal to their feelings than your sacrifices.

Ni bora mkewako akuulize kwamna

"what have you ever done for me?"

Kuliko akuulize dem hilo sio jukumu lako we sio baba yake. Wanawake wanapenda pesa, na ukitaka kuwapa kwa sana, hawatazikataa.

Lakini usifikiri kwamba matumizi yako juu yake, yatakuhakikishia chochote. Tumeona mara ngapi jinsi wanaume wanavyolipia ada mademu chuo, Na mwisho wake waliwaacha?

Unatakiwa kumpa nini mpenzi wako?

Zawadi za hapa na pale, kulipa bili unapoenda maeneo ya starehe, na mara chache unaweza kumsaidia kwa fedha kidogo pale tu inapohitajika.

Na hata sio inshu ya kufanya wiki chache baada ya kukutana nae. Lazima uchukue muda kumjua ni mtu wa aina gani.

Pesa yoyote unayotumia kwa demu sio investiment, haijalishi ni kidogo kiasi gani. So, fanya kidogo unachopaswa kufanya where necessary,

Lakini usije kuingia kwenye deni kwa sababu yake.

Usikope pesa kwa sababu ya mpenzi wako.

Usilipe ada zake

Usimlipe kodi.

Ngoja nikuambie.

Unachodaiwa na mpenzi wako ni yeye kukuona ukiendelea.

Acha akuite bahili lakini akiona maendeleo unayoyapata katika maisha atalazimika kuendana na mifumo yako kwa sababu anajua unajenga maisha yajayo.

Kama hataki kuwa na subira, mwache aende zake.

Yeye hatokulisha wewe.

Wewe ndiye utamlisha.

Kumpa pesa sana, unajiweka kwenye hali ya kushindwa kufanya maendeleo yako

Hutakuwa na akiba na hutapata baraka zozote kutoka kwake

Utakachopata ni usaliti, majuto na machozi.

Mnapopigiwa mademu hamuumii kisa kutombewa

Mnaumizwa na pesa na muda mliopoteza kwa watu ambao sio sahihi

Ahsante kwa muda wako. Pia Karibu Kwa Huduma za Afya Kinywa Na Meno.
 
Vijana wengi wasio na wake wanapaswa kuwa na mafanikio zaidi kuliko walivyo sasa.

Lakini kwa sababu wanatumia pesa nyingi kwa wanawake ambao sio wake zao, ndio maana hawafanikiwi. Bro unajua mapenzi yanaweza kukurudiasha nyuma kama usipoingia kwa akili?

Ila mapenzi ni matamu sometimes lakini mpaka upendwe kwa dhati. Unaamini demu wako anawezakuwa drawback yako katika maendeleo? Sa skia mwanangu, usiruhusu mwanamke akutengenezee failure.

Kuna maoni mengi potofu kuhusu pesa na mahusiano kwa baadhi yetu vijana. Vijana tunapaswa kudhibiti uwezo wetu wa kutaka kuaminisha upendo kwa kuwapatia wanawake ambao sio wake zetu pesa.

Je, huna Mama, Baba, ndugu wanaohitaji?

Hao ndio unapaswa kuwasaidia na sio mpenzi wako na familia yake.

Hautosonga mbele

Mungu hatakubariki kwa kile unachofanya. Utabarikiwa na Mungu pale tu unapowasaidia wenye uhitaji, wazazi wako, mke wako na watoto wako.

Je, mpenzi wako ni mtu mwenye uhitaji maalum?

Je, ulikutana nae kwenye nyumba ya watoto yatima?

Ulikutana nae mitaani?

Je, alikuwa akiishi vipi kabla ya kukutana nae?

Nyote mnahitaji kuwa waangalifu juu ya jinsi mnavyojaribu ku'show love kwa mademu wenu. You also have to know that women are more loyal to their feelings than your sacrifices.

Ni bora mkewako akuulize kwamna

"what have you ever done for me?"

Kuliko akuulize dem hilo sio jukumu lako we sio baba yake. Wanawake wanapenda pesa, na ukitaka kuwapa kwa sana, hawatazikataa.

Lakini usifikiri kwamba matumizi yako juu yake, yatakuhakikishia chochote. Tumeona mara ngapi jinsi wanaume wanavyolipia ada mademu chuo, Na mwisho wake waliwaacha?

Unatakiwa kumpa nini mpenzi wako?

Zawadi za hapa na pale, kulipa bili unapoenda maeneo ya starehe, na mara chache unaweza kumsaidia kwa fedha kidogo pale tu inapohitajika.

Na hata sio inshu ya kufanya wiki chache baada ya kukutana nae. Lazima uchukue muda kumjua ni mtu wa aina gani.

Pesa yoyote unayotumia kwa demu sio investiment, haijalishi ni kidogo kiasi gani. So, fanya kidogo unachopaswa kufanya where necessary,

Lakini usije kuingia kwenye deni kwa sababu yake.

Usikope pesa kwa sababu ya mpenzi wako.

Usilipe ada zake

Usimlipe kodi.

Ngoja nikuambie.

Unachodaiwa na mpenzi wako ni yeye kukuona ukiendelea.

Acha akuite bahili lakini akiona maendeleo unayoyapata katika maisha atalazimika kuendana na mifumo yako kwa sababu anajua unajenga maisha yajayo.

Kama hataki kuwa na subira, mwache aende zake.

Yeye hatokulisha wewe.

Wewe ndiye utamlisha.

Kumpa pesa sana, unajiweka kwenye hali ya kushindwa kufanya maendeleo yako

Hutakuwa na akiba na hutapata baraka zozote kutoka kwake

Utakachopata ni usaliti, majuto na machozi.

Mnapopigiwa mademu hamuumii kisa kutombewa

Mnaumizwa na pesa na muda mliopoteza kwa watu ambao sio sahihi

Ahsante kwa muda wako. Pia Karibu Kwa Huduma za Afya Kinywa Na Meno.
Kuwa na familia au kuwa single haina uhusiano wowote na mafanikio yako kiuchumi.
Ridhiki haiangalii una familia au upo single. Pesa haipatikani kirahisi hivyo km unavyofikiri.
Pesa siyo makalio
 
Kuwa na familia au kuwa single haina uhusiano wowote na mafanikio yako kiuchumi.
Ridhiki haiangalii una familia au upo single. Pesa haipatikani kirahisi hivyo km unavyofikiri.
Pesa siyo makalio
Kwamba Kila Mtu Anazo Sio
 
Hatari....dah ila mademu gharama jama i nyie wenzangu mnawezaje kumiliki demu?
Nywele kusuka buku50, mara sijui b y nina hamu na mishkaki, mara unga umeisha sasa sii bora tuu nikagegede malaya maana ata huyu nae pamoja na yote itafika sehemu atachoka kibamia changu na kutaka de liboloz
 
Hatari....dah ila mademu gharama jama i nyie wenzangu mnawezaje kumiliki demu?
Nywele kusuka buku50, mara sijui b y nina hamu na mishkaki, mara unga umeisha sasa sii bora tuu nikagegede malaya maana ata huyu nae pamoja na yote itafika sehemu atachoka kibamia changu na kutaka de liboloz
Noma sana
 
Nimewai Kuwa na demu nikiwa sina kitu kabisa alinivumilia Sana na kunisupport saana ila kila siku mambo yalikuwa vile vile nakumbuka nilikuwa Kwenye mkataba wa bajaj.
Nakumbuka alinambia nakupenda Ila tatizo Huna Hela na matatizo yako hayaishi
Baadae ya kumdadisi nikagundua alikuwa anawekeza Ili Apate faida Mana siku tulioachana alicalculate kila msaada wake na akasema nimlipe...nikabaki nalia tu kumbe msaaada ulikuwa na target.
 
Lakini usije kuingia kwenye deni kwa sababu yake.

Usikope pesa kwa sababu ya mpenzi wako.

Usilipe ada zake

Usimlipe kodi.
Hivi vitu vinewaacha wamekonkoroka hawana kitu

Wenyewe wanaona ndio Kuwa Kidume
 
Nimewai Kuwa na demu nikiwa sina kitu kabisa alinivumilia Sana na kunisupport saana ila kila siku mambo yalikuwa vile vile nakumbuka nilikuwa Kwenye mkataba wa bajaj.
Nakumbuka alinambia nakupenda Ila tatizo Huna Hela na matatizo yako hayaishi
Baadae ya kumdadisi nikagundua alikuwa anawekeza Ili Apate faida Mana siku tulioachana alicalculate kila msaada wake na akasema nimlipe...nikabaki nalia tu kumbe msaaada ulikuwa na target.
Hakuna uwekezaji usio na faida.

Sasa mzee Mbaba ulikuwa na matatizo Chungu nzima🤣🤣🤣
 
Hatari....dah ila mademu gharama jama i nyie wenzangu mnawezaje kumiliki demu?
Nywele kusuka buku50, mara sijui b y nina hamu na mishkaki, mara unga umeisha sasa sii bora tuu nikagegede malaya maana ata huyu nae pamoja na yote itafika sehemu atachoka kibamia changu na kutaka de liboloz
Malaya hawanaga Foreplay.....bora tu uoe.
Ukitaka kumshika Ziwa anakwambia utaongeza elfu tano. Kama hutaki anakwambia nenda kwa mkeo
 
Hakuna uwekezaji usio na faida.

Sasa mzee Mbaba ulikuwa na matatizo Chungu nzima🤣🤣🤣
Daah we acha tyu alivumilia Ila akaona uyu jamaa Amna kitu Ila alhamdulilah saivu fresh mwakani naenda pemba kuoa binti was miaka 18 shart awe bikra
 
Malaya hawanaga Foreplay.....bora tu uoe.
Ukitaka kumshika Ziwa anakwambia utaongeza elfu tano. Kama hutaki anakwambia nenda kwa mkeo
Malaya wa wapi hao mbona mie malaya naogegeda nawafyonza hadi mbhsusu zao.
 
Back
Top Bottom