Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Macho hayachagui boxer ya kuiangalia.Kama ni kweli hiyo habari,ni vema DP World tuiache kwanza tu-deal na hiyo kwanza.League inaanza sasa usikute umelewa mtu kavaa boxer wewe ukaona ni pampa!
kwanza kipi kimekutuma uangalie matterpo ya mwanaume mwenzio?
Tuachane kwanza na bandari sio😃😃😃😂😂🙌Macho hayachagui boxer ya kuiangalia.Kama ni kweli hiyo habari,ni vema DP World tuiache kwanza tu-deal na hiyo kwanza.
Ndo uachie hadi ionekane sasa 😂😂hamna lolote😂 kuna nepi za watu wazima kwa wanaojikojolea
Hahah😂😂😂🙈muone😀😀
Kwamba ameolewa kabisa 🤔🤔sema sishangai kuna limoja lipo tengeru ni lisusi la saluni za kike
nakumbuka nilikuwepo maeneo ya sumni bar likaingia nilijiuliza sana niko arusha kweli au naota mmeru mmoja akanambia ni mke wa mtu nilishanga sana
kwa mujibu wa mmeru yule.nilimchimba zaidi na kumuliza jamii inayowazunguka vipi alinambia waliwatumua maeneo hayo ya tengeru na hawajui wanaishi wapi lakini saluni yake ipo hapohapo tengeruKwamba ameolewa kabisa 🤔🤔
kwa arusha ni jambo la majabu kwa kweli kijana wanguwapo kila mahali mzee wangu usishangae
tutafika tumechoka kwakweli kama sio kuchakaa😌😌🙌kwa mujibu wa mmeru yule.nilimchimba zaidi na kumuliza jamii inayowazunguka vipi alinambia waliwatumua maeneo hayo ya tengeru na hawajui wanaishi wapi lakini saluni yake ipo hapohapo tengeru
hivi pm umefunga binti yangu ehtutafika tumechoka kwakweli kama sio kuchakaa😌😌🙌
Mbona iko wazi🤔 😃😃hivi pm umefunga binti yangu eh
aah basi nafikiri ni uzeeMbona iko wazi🤔 😃😃
Kwakweli umeanza kuzeeka naona😂aah basi nafikiri ni uzee
yanibidi nikingia jf nisiache bakora yangu, mana humu bila mkongojo kazi kwelikweliKwakweli umeanza kuzeeka naona😂