Vijana asubuhi na mapema wako vijiweni kujadili mambo ya mpira, tutafika kweli?

Vijana asubuhi na mapema wako vijiweni kujadili mambo ya mpira, tutafika kweli?

Forgotten

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,518
Reaction score
10,839
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.

===
Pia soma;
 
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
Ni hatari sana, yani saa 3 hii hii na dakika 55 namimi nakuja kukuunga mkono kuponda vijana wenzetu, balaa sana mkuu
 
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
Marubani tunafuatilia kwa ukaribu mchongo pesa.
 
Wewe bwana kazi zenyewe hatuna sasa unataka tufanye nini
Sasa huo muda unaojadili mpira unaingiza kiasi gani? Maana wakati wewe unajadili mpira, pesa ipo kwenye mzunguko na haiwezi kukufuata, watu wanaoitaka pesa wanaitafuta.

Michezo na burudani lazima iwe na kipimo bila hivyo utakuwa unashangilia watu wengine wakifanikiwa wakati wewe upo palepale. Hata hao wachezaji wakiamka asubuhi wanaenda mazoezini wakati wewe unawajadili.
 
Raisi wa zamani wa Romania enzi za ukomunisti
Alitangaza kila mwananchi afanye kazi na ukikamatwa huna kazi miezi 6 jela na kazi ngumu
Bora hamkunichagua kuwa Rais mngekoma 😄
 
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
Kwa hio saa 3 hatutakiwi kuzungumzia kua Aziz ki kagoma kusign team ya utopolo
 
Alafu wakitoka hapo utasikia Mo Hana pesa kama bakhresa, kwanza pesa yenyewe alirithi kutoka Kwa baba yake. Hii nchi nawaambiaga watu hakuna haja ya kwenda ulaya kutafuta pesa. Pesa ipo hapahapa coz palipo na wajinga wengi ni rahisi kufanikiwa
 
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
Take it easy bro....hakuna nchi ambayo watu wote wapo serious ndio maana nyie wasomi mmepewa jukumu la kufikiri kwa niaba ya nchi...
Umewasahau waliopo guest na bar..
 
Nchi tajiri, donor country, waache wa-enjoy, Roma haikujengwa kwa siku moja
 
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
watu wameshabet hapo wanasubiri matokeo
 
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
Mzungu na mwarabu Hana jema dhidi ya muafrika.... Akianzisha jambo lolote lile ujue ana mipango yake kandamizi kwa manufaa yake... Mfano Mpira namna mambo ya maushabiki yalivyo anza kimasihala miaka ya 2000 mwanzoni kama masihala vile... Jitu unakuta linamapenzi na timu hadi linafika hatua ya kujiua huko ulaya na baadhi ya waafrika mambumbumbu hawafikirii basi kisa kafanya mzungu yanaiga.... Mbaya zaidi kafanya fitna mipia imeingia katika kila sekta muhimu.... "Bungeni, mahakamani, serikalini, makanisani, misikitini, makazini vijiweni ambapo zilikuwa sehemu za kujadili mambo ya maendeleo ya taifa....

Kwa muktadha huo,,,,, mambo muhimu hayaendi isipokuwa Mpira tu!! Unakuta kiongozi mkubwa wa nchi anatumia pesa nyingi sana kwenye Mpira ilhali Kuna vijana hawana mitaji wapo tu mtaani,,,, maofisini j3 hadi ijumaa watu wanajadili mipira na mbaya zaidi mzungu huyo katuletea na whatsap hivyo tumeunda na groups kabisa humo tunachati 24/7....

Yote kwa yote sasa anaelekea kufanikiwa..... Ninyi mpo bize mnajadili wachezaji yeye anawakopesha kwa riba na kuwaibia rasilimali zenu
 
Back
Top Bottom