Halafu hamjui tu, ila michongo mingi ipo vijiweni.Kubishana kuhusu usajili ndio hobby ya wengine🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hamjui tu, ila michongo mingi ipo vijiweni.Kubishana kuhusu usajili ndio hobby ya wengine🤔🤔🤔
😂😂😂😂yakwenda kuvuna mahindi USA na maepo CanadaHalafu hamjui tu, ila michongo mingi ipo vijiweni.
Sema 2 wakiwa wanabishana kuhusu mpira natamani hata nikawalambe kofi moja moja sio kwa makelele hayo ila kuna wakati wanakuwa wanaongea mambo ya muhimu unaweza ukatamani uwatoe ten tenHalafu hamjui tu, ila michongo mingi ipo vijiweni.
Kwani vijana hao wakijadili mpira wakamaliza wanakuja kula kwako?Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.
Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
===
Pia soma;
Tatizo wanasababisha kelele sanaKwani vijana hao wakijadili mpira wakamaliza wanakuja kula kwako?
Wengine wanafanya kazi usiku..acha kukariri.Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.
Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
===
Pia soma;
Pale sio sehemu ya kuwa serious all the time, wengi hawana mishe za day to day, kwahyo unakuta wapo to pass time siku iishe na bila kubishana na kupiga story za uongo na ukweli, Muda hausogei. Ila from time to time, Madini mengi yanatemwa vijiweni, michongo mingi ipo vijiweni, connection nyingi zipo vijiweni, ni akili ya mtu sasa kujiongeza akapambanie michongo akitoka kijiweni. Kama haujawahi kuishi maisha ya kimtaa mtaa, huwezi kabisa ukanielewa.Sema 2 wakiwa wanabishana kuhusu mpira natamani hata nikawalambe kofi moja moja sio kwa makelele hayo ila kuna wakati wanakuwa wanaongea mambo ya muhimu unaweza ukatamani uwatoe ten ten
Upo sahihi sana mkuu... Umesema kiweledi na kiumakini kabisa,,, "kwamba nchi lazima izingatie vipaumbele muhimu" kwa hali ya uchumi wetu kiujumla sio mzuri sana.. Mpira iwe sehemu tu ya kuimarisha afya zetu kama michezo mwingine sio kutumia muda na pesa kiasi kila ilihali Haina faida yeyote kwa chumu...Sasa hivi nchi yetu imejiweka kwenye mtego kwa kutaka kuwa waandaji na wenyeji wa AFCON, matokeo yake mabilioni ya pesa yatatumika kujenga viwanja na miundombinu. Wakati bado kuna mtoto anakaa chini darasani, mama mjamzito anajifungulia nyumbani.
Sipingi ujio wa AFCON ila kama nchi tunapaswa kujiuliza vipaumbele vya taifa letu ni nini ili kuboresha maisha ya mtanzania: elimu na afya ni sekta zinazohitaji pesa nyingi ielekezwe huko.
Je, mpira unanyanyua maisha ya watanzania masikini kwa pamoja?
Wape michongoJumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.
Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.
===
Pia soma;
Ushapata ajira mkuuWape michongo
Ukifafanya cost analysis utagundua kwa nchi masikini kuandaa hii michuano kuna hasara zaidi ya faida.Sasa hivi nchi yetu imejiweka kwenye mtego kwa kutaka kuwa waandaji na wenyeji wa AFCON, matokeo yake mabilioni ya pesa yatatumika kujenga viwanja na miundombinu. Wakati bado kuna mtoto anakaa chini darasani, mama mjamzito anajifungulia nyumbani.
Sipingi ujio wa AFCON ila kama nchi tunapaswa kujiuliza vipaumbele vya taifa letu ni nini ili kuboresha maisha ya mtanzania: elimu na afya ni sekta zinazohitaji pesa nyingi ielekezwe huko.
Je, mpira unanyanyua maisha ya watanzania masikini kwa pamoja?
Bado sijapata. Nipe mchongoUshapata ajira mkuu
Mimi na wewe kama 20 na ishirini...Bado sijapata. Nipe mchongo
Na usiende wiki nzima😁😁Kuna jamaa nimeanza kubishana nae kuhusu issue ya Aziz Ki kuanzia saa 12 asubuhi hata kazini sijaenda... Na siendi kazini.
Weeeh!! unachezea njaa eti..Na usiende wiki nzima😁😁
Vibaya hivyo kunyimana!Hiyo sasa siri yetu kama vile siri ya utajiri wa mtu