Vijana asubuhi na mapema wako vijiweni kujadili mambo ya mpira, tutafika kweli?

Vijana asubuhi na mapema wako vijiweni kujadili mambo ya mpira, tutafika kweli?

Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe.

Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka anawaza kuhusu maisha ya watu wengine na siyo ya kwake.

===
Pia soma;
Ila wewe hapa unajadili huu muda ambao sawa na hao vijana.
 
Back
Top Bottom