Vijana bado nawasisitiza acheni kutumika kama vibaraka

Vijana bado nawasisitiza acheni kutumika kama vibaraka

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hello,

Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae.

Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho ongea ni kweli kwasababu mimi ni mmoja wa athirika na hilo janga, nimekuwa mwanachama wa chama fulani nikiwa chuo na mimi ndio nilikuwa muhamasishaji pale chuo, lakini mwisho wa siku nimejikuta nimepoteza muda wangu pasipo na faida.

Leo hii siwezi sema kuwa nimenufaika na chochote kwenye hicho chama zaidi ya mimi kuumia sana. Juzi hapa nimeona vijana wengi wakiwa njiani wanamsubilia Mh fulani hili kumpokea ukiangalia vijana hao hawana ajira mpaka sasa, na zaidi bado maisha yao ni ya kuunga unga licha ya kupewa ahadi nyingi na wanasiasa ambazo hakuna hata moja zinazotekelezwa, leo vijana wapo vijiweni wanajaza ujinga.

Vijana wengi wanakosa kuajiliwa hata kupewa mikopo ya biasha kwasababu vyama vyao bado awajajenga imani na vijana wao ambao ndio wanawaita viongozi wa kesho, huku wanasiasa wamejikita kutengeneza njia kwaajil ya watoto wao.

Sikia niwaambieni hao wote mnao waona majukwaani wanapambana kukosoa serikali wanatafuta ugali wao maana wakiacha kupayuka watakula wapi?

Vijana badilikeni, acheni kutumika. Nataman mngekuwa mnanielewa japo uandishi wangu siyo mzuri.
 
Usidhani vijana wanapenda mkuu, ugumu wa maisha unafanya wawe hivyo saivi ni bora upate mia isiyo na thamani kuliko kukosa kabisa

Lakini shida bado hawajitambua ni nini wantakiwa kufanya na kwa wakati gani?

Leo hii uwezi niambia kijana ambaye yupo huko madina anajiita mwanacha mkeleketwa atapa fursa zinapotokea za kugombea uongozi,

tumeshuhudia vijana wakimasikini wakikatwa kwenye majina ya kuogombea uongozi katika vyama vyao na badala yake, viongozi hao hao wanawachagua vijana wao na kuwapitisha hapo utasema vijana wana nafasi kwenye siasa?
 
Kwa akili zako hizo kwahiyo unataka siasa zifanywe na wazee na watoto na siyo vijana?. Akili zingine za kuvukia barabara. Duniani kote siasa zinafanywa na vijana

Lakini angalia fursa ambazo wanapewa vijana je wanapewa kwa usawa? Bas pindi fursa zinapotokea watoe kwa usawa hapo tunaweza sema vijana nao wana nafasi katika siasa
 
Acha wafanye wanachokifanya, hata hao wazee unaosema wanapambania familia zao walianzia mbali, safari ya mafanikio ina mengi. Kwenye hicho unachokikosoa kwa wengine ni mlango wa kutokea na kwa wengine ni time wastage.

Fwatilia historia zao mbowe baba yake alisha mtengenezea njia unalijua hilo?
 
Hao vijana unaowapa nasaha walikuambia wote ni wafuasi wa hao wakinzani?Ukikaa kwa kutulia na kuishabikia CCM weye kama weye kuna shida gani?Mbona una mchecheto sana?

Kuna baadhi wanafwata mikumbo, mimi sina chama na sio mwanasiasa lakini kama nikipata teuzi sawa hila sio mwanachama wa chama chochote
 
Hellow

Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae

Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho ongea ni kweli kwasababu mimi ni mmoja wa athirika na hilo janga, nimekuwa mwanachama wa chama fulani nikiwa chuo na mimi ndio nilikuwa muhamasishaji pale chuo, lakini mwisho wa siku nimejikuta nimepoteza muda wangu pasipo na faida.

Leo hii siwezi sema kuwa nimenufaika na chochote kwenye hicho chama zaidi ya mimi kuumia sana”,

Juzi hapa nimeona vijana wengi wakiwa njiani wanamsubilia Mh fulani hili kumpokea ukiangalia vijana hao hawana ajira mpaka sasa, na zaidi bado maisha yao ni ya kuunga unga licha ya kupewa ahadi nyingi na wanasiasa ambazo hakuna hata moja zinazotekelezwa, leo vijana wapo vijiweni wanajaza ujinga

Vijana wengi wanakosa kuajiliwa hata kupewa mikopo ya biasha kwasababu vyama vyao bado awajajenga imani na vijana wao ambao ndio wanawaita viongozi wa kesho, huku wanasiasa wamejikita kutengeneza njia kwaajil ya watoto wao.

Sikia niwaambieni hao wote mnao waona majukwaani wanapambana kukosoa serikali wanatafuta ugali wao maana wakiacha kupayuka watakula wapi?

Vijana badilikeni acheni kutumika nataman mngekuwa mnanielewa japo uandishi wangu sio mzuri
Chawa kwenye ubora wako. hata kwenye kujenga nyumba ni gharama na unakufa kabla hata hujaamia. Kuna bibi kule Moshi alikuwa na wajukuu watatu aliachiwa na mwanae ambae alishatangulia mbele za haki, alikaa na wajukuu wake aliwasomesha kwenye shida akauza kila kitu ili wajuku wake wasome mpaka wakamaliza chuo ila mungu alimpenda zaidi.

Naomba uamini nachokwambia: Wale vijana ni matajiri kuna mmoja anafanya kaz bandarini mwngine yuko kanada na mwngine ni mhasibu wa kampuni ya madin Barick. Wakijaga moshi wakiliona kaburi la bb wanalia kwasababu bb yao hakufaidi matunda aliyowekeza kwao, hawa vijana wanachofanya kila mwaka wanawajengea watu nyumba za kisasa za kifahari kila mwaka nyumba 15 huu ni mwaka wa 8 wamejenga nyumba 120 pale kijijini hakuna nyumba ya udongo wanaenzi ukarimu wa bb kadri wanavyotoa mungu anawabariki.

Kwahyo kutoa si utajiri bali n moyo bb alikufa lakini hakujali umasikini wake na hakufaidika na chochote wanaokuja kufaidi ni wengine na hata uharakati ni kujitolea kwa sababu ya wengine, hata wazee wetu wa zamani walipgana na wajerumani na wazungu ili wewe uje uishi maisha unayoishi sasa japo hakuna walichofaidi ila wewe kidagaa unajiwazia ww na tumbo lako kenge wewe
 
Hellow

Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae

Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho ongea ni kweli kwasababu mimi ni mmoja wa athirika na hilo janga, nimekuwa mwanachama wa chama fulani nikiwa chuo na mimi ndio nilikuwa muhamasishaji pale chuo, lakini mwisho wa siku nimejikuta nimepoteza muda wangu pasipo na faida.

Leo hii siwezi sema kuwa nimenufaika na chochote kwenye hicho chama zaidi ya mimi kuumia sana”,

Juzi hapa nimeona vijana wengi wakiwa njiani wanamsubilia Mh fulani hili kumpokea ukiangalia vijana hao hawana ajira mpaka sasa, na zaidi bado maisha yao ni ya kuunga unga licha ya kupewa ahadi nyingi na wanasiasa ambazo hakuna hata moja zinazotekelezwa, leo vijana wapo vijiweni wanajaza ujinga

Vijana wengi wanakosa kuajiliwa hata kupewa mikopo ya biasha kwasababu vyama vyao bado awajajenga imani na vijana wao ambao ndio wanawaita viongozi wa kesho, huku wanasiasa wamejikita kutengeneza njia kwaajil ya watoto wao.

Sikia niwaambieni hao wote mnao waona majukwaani wanapambana kukosoa serikali wanatafuta ugali wao maana wakiacha kupayuka watakula wapi?

Vijana badilikeni acheni kutumika nataman mngekuwa mnanielewa japo uandishi wangu sio mzuri
Wewe chuoni ulienda kusomaaaa au kufanya siasa? Mwambie huyo kijana kuwa alivuna alichokuwa anakitaka maana wazazi walimpeleka chuo ili akasome na siyo kuwa mwanasiasa kule chuoni.
 
Hellow

Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae

Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho ongea ni kweli kwasababu mimi ni mmoja wa athirika na hilo janga, nimekuwa mwanachama wa chama fulani nikiwa chuo na mimi ndio nilikuwa muhamasishaji pale chuo, lakini mwisho wa siku nimejikuta nimepoteza muda wangu pasipo na faida.

Leo hii siwezi sema kuwa nimenufaika na chochote kwenye hicho chama zaidi ya mimi kuumia sana”,

Juzi hapa nimeona vijana wengi wakiwa njiani wanamsubilia Mh fulani hili kumpokea ukiangalia vijana hao hawana ajira mpaka sasa, na zaidi bado maisha yao ni ya kuunga unga licha ya kupewa ahadi nyingi na wanasiasa ambazo hakuna hata moja zinazotekelezwa, leo vijana wapo vijiweni wanajaza ujinga

Vijana wengi wanakosa kuajiliwa hata kupewa mikopo ya biasha kwasababu vyama vyao bado awajajenga imani na vijana wao ambao ndio wanawaita viongozi wa kesho, huku wanasiasa wamejikita kutengeneza njia kwaajil ya watoto wao.

Sikia niwaambieni hao wote mnao waona majukwaani wanapambana kukosoa serikali wanatafuta ugali wao maana wakiacha kupayuka watakula wapi?

Vijana badilikeni acheni kutumika nataman mngekuwa mnanielewa japo uandishi wangu sio mzuri
Uharo mwingine tena huu hapa!
 
Hellow

Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae

Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho ongea ni kweli kwasababu mimi ni mmoja wa athirika na hilo janga, nimekuwa mwanachama wa chama fulani nikiwa chuo na mimi ndio nilikuwa muhamasishaji pale chuo, lakini mwisho wa siku nimejikuta nimepoteza muda wangu pasipo na faida.

Leo hii siwezi sema kuwa nimenufaika na chochote kwenye hicho chama zaidi ya mimi kuumia sana”,

Juzi hapa nimeona vijana wengi wakiwa njiani wanamsubilia Mh fulani hili kumpokea ukiangalia vijana hao hawana ajira mpaka sasa, na zaidi bado maisha yao ni ya kuunga unga licha ya kupewa ahadi nyingi na wanasiasa ambazo hakuna hata moja zinazotekelezwa, leo vijana wapo vijiweni wanajaza ujinga

Vijana wengi wanakosa kuajiliwa hata kupewa mikopo ya biasha kwasababu vyama vyao bado awajajenga imani na vijana wao ambao ndio wanawaita viongozi wa kesho, huku wanasiasa wamejikita kutengeneza njia kwaajil ya watoto wao.

Sikia niwaambieni hao wote mnao waona majukwaani wanapambana kukosoa serikali wanatafuta ugali wao maana wakiacha kupayuka watakula wapi?

Vijana badilikeni acheni kutumika nataman mngekuwa mnanielewa japo uandishi wangu sio mzuri
Pumba tupu
 
Back
Top Bottom