Vijana bado nawasisitiza acheni kutumika kama vibaraka

Vijana bado nawasisitiza acheni kutumika kama vibaraka

Hellow

Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae

Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho ongea ni kweli kwasababu mimi ni mmoja wa athirika na hilo janga, nimekuwa mwanachama wa chama fulani nikiwa chuo na mimi ndio nilikuwa muhamasishaji pale chuo, lakini mwisho wa siku nimejikuta nimepoteza muda wangu pasipo na faida.

Leo hii siwezi sema kuwa nimenufaika na chochote kwenye hicho chama zaidi ya mimi kuumia sana”,

Juzi hapa nimeona vijana wengi wakiwa njiani wanamsubilia Mh fulani hili kumpokea ukiangalia vijana hao hawana ajira mpaka sasa, na zaidi bado maisha yao ni ya kuunga unga licha ya kupewa ahadi nyingi na wanasiasa ambazo hakuna hata moja zinazotekelezwa, leo vijana wapo vijiweni wanajaza ujinga

Vijana wengi wanakosa kuajiliwa hata kupewa mikopo ya biasha kwasababu vyama vyao bado awajajenga imani na vijana wao ambao ndio wanawaita viongozi wa kesho, huku wanasiasa wamejikita kutengeneza njia kwaajil ya watoto wao.

Sikia niwaambieni hao wote mnao waona majukwaani wanapambana kukosoa serikali wanatafuta ugali wao maana wakiacha kupayuka watakula wapi?

Vijana badilikeni acheni kutumika nataman mngekuwa mnanielewa japo uandishi wangu sio mzuri

Punguza chuki. Unaona wivu vijana kuunga mkono upinzani. Mbona CCM wameanzisha kabisa kikundi Cha machawa wa mama. Tena walizindua rasmi cham chao mbele ya meya wa jiji.
 
Lakini shida bado hawajitambua ni nini wantakiwa kufanya na kwa wakati gani?

Leo hii uwezi niambia kijana ambaye yupo huko madina anajiita mwanacha mkeleketwa atapa fursa zinapotokea za kugombea uongozi,

tumeshuhudia vijana wakimasikini wakikatwa kwenye majina ya kuogombea uongozi katika vyama vyao na badala yake, viongozi hao hao wanawachagua vijana wao na kuwapitisha hapo utasema vijana wana nafasi kwenye siasa?

Madina ndio wapi?
 
Kuna baadhi wanafwata mikumbo, mimi sina chama na sio mwanasiasa lakini kama nikipata teuzi sawa hila sio mwanachama wa chama chochote

Kama huna chama kimya. Wewe huli kuku lakini wanaokula kuku unawasema. Huna chama lakini kelele nyingi kwa vijana wanaoshabikia vyama. Huna haki hiyo.
 
Katika maisha mambo yanaenda namna hii, tunakuwa na matarajio juu ya kitu fulani, matokeo yatokanayo dhidi ya hayo matarajio hulinganishwa/hupimwa na matokeo halisi, ikiwa, matokeo halisi yamefikia/yamevuka yale matarajio ndo hapo tunapojizatiti zaidi katika jambo hilo.

Hivyi hivyo katika siasa, kila mmoja huchagua upande/chama anachoamini kwa namna moja au nyingine kitamwezesha kufikia/kutimiza matarajio yake, kumbuka, matarajio ya hao "vijana" sio tu kuwa sehemu ya uongozi ama katika chama au serikalini.

Kun matarajio ya uwezekano wa kuja na sera nzuri kwa upande anaouamini na kuzalisha ajira zaidi, kupunguza gharama za maisha tunazoshuhudia zikiongezeka kila siku, upatikanaji wa pembejeo kwa gharama nafuu, yapo matarajio mengi mno, sioni kama ni sawa sawa kutoa "husia" mara kwa mara kuwa vijana/kundi fulani la watu wasishiriki shughuli za siasa kwa kile unachoita "kutumika".
Uko vizuri,maelezo yanajitosheleza hongera sana.
 
Hellow

Mimi kazi yangu kuwakumbusha vijana kuacha kutumika na wanasiasa hasa upinzani itakuja kuwagharimu baadae

Juzi niliketa uzi kama uhu akatokea kijana mmoja akaja nishuhudia kuwa, “unacho ongea ni kweli kwasababu mimi ni mmoja wa athirika na hilo janga, nimekuwa mwanachama wa chama fulani nikiwa chuo na mimi ndio nilikuwa muhamasishaji pale chuo, lakini mwisho wa siku nimejikuta nimepoteza muda wangu pasipo na faida.

Leo hii siwezi sema kuwa nimenufaika na chochote kwenye hicho chama zaidi ya mimi kuumia sana”,

Juzi hapa nimeona vijana wengi wakiwa njiani wanamsubilia Mh fulani hili kumpokea ukiangalia vijana hao hawana ajira mpaka sasa, na zaidi bado maisha yao ni ya kuunga unga licha ya kupewa ahadi nyingi na wanasiasa ambazo hakuna hata moja zinazotekelezwa, leo vijana wapo vijiweni wanajaza ujinga

Vijana wengi wanakosa kuajiliwa hata kupewa mikopo ya biasha kwasababu vyama vyao bado awajajenga imani na vijana wao ambao ndio wanawaita viongozi wa kesho, huku wanasiasa wamejikita kutengeneza njia kwaajil ya watoto wao.

Sikia niwaambieni hao wote mnao waona majukwaani wanapambana kukosoa serikali wanatafuta ugali wao maana wakiacha kupayuka watakula wapi?

Vijana badilikeni acheni kutumika nataman mngekuwa mnanielewa japo uandishi wangu sio mzuri
Ulikuwa chuo cha VETA wapi?

....umeweka picha tu, umesahau kuweka namba za simu' incase kuna wilaya imesahaulika.
 
Kama huna chama kimya. Wewe huli kuku lakini wanaokula kuku unawasema. Huna chama lakini kelele nyingi kwa vijana wanaoshabikia vyama. Huna haki hiyo.

Hila nijukumu langu kuwakumbusha wajue thamani yao
 
Punguza chuki. Unaona wivu vijana kuunga mkono upinzani. Mbona CCM wameanzisha kabisa kikundi Cha machawa wa mama. Tena walizindua rasmi cham chao mbele ya meya wa jiji.

Na sitoishia leo kuongea kuhusu vijana ambao wanatumika bila manufaa
 
Hao wazee waliofanikiwa unadhani walikuwa na akili kama zako walipokuwa vijana?

Unavyomuona Paul Makonda alikuwa RC au Jerry Muro unadhani alikuwa anawaza kama wewe? They worked hard.

Shida uchadema umekukaa sana mpaka huwezi kunywa maji vizur
 
Kwa akili zako hizo kwahiyo unataka siasa zifanywe na wazee na watoto na siyo vijana?. Akili zingine za kuvukia barabara. Duniani kote siasa zinafanywa na vijana
Uko barabarani tangu saa 1asubuhi hadi saa 6 mchana -( mfano tu). Unamsindikiza lisu huku hujui jioni utakula nini. Akishawahutubia anakwenda kula bata na mke wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko barabarani tangu saa 1asubuhi hadi saa 6 mchana -( mfano tu). Unamsindikiza lisu huku hujui jioni utakula nini. Akishawahutubia anakwenda kula bata na mke wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na amepanda v8 wewe unasubilia kwenda kugombania gari na bado unapigwa na jua kali uhu ni ulofa af et oh nitakuwa waziri [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwaninib"U-Chadema" uwe ni kutumika na sio kushiriki katika siasa kwa ujumla bila kujali chama/upande?

Ndicho nilichokuwa nikimaanisha lakini yeye analeta uchadema hapa
 
Uko barabarani tangu saa 1asubuhi hadi saa 6 mchana -( mfano tu). Unamsindikiza lisu huku hujui jioni utakula nini. Akishawahutubia anakwenda kula bata na mke wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana, hujui tu ni namna gani hao hubeba tumaini la hatma yao kupitia huyo/upande huo?

Unafikiri ni kwanini yule Meya aliziundua wa jiji alizindua ile kitu, "Chawa wa mzazi?"
 
Back
Top Bottom