Uchaguzi 2020 Vijana bado wana imani na Magufuli

Uchaguzi 2020 Vijana bado wana imani na Magufuli

Ikiwemo mm, lazma nimpe kura yangu JPM maana amefanya vitu ambavyo vinaonekana (tangible) na ana hubiri maendeleo zaidi siyo kama lissu ambae kila siku ana hubiri uhuru,haki na usawa kitu ambacho kina mipaka yake la lissu anataka kutudanganya kwamba hakina mipaka
Kwani TAL mmempa dola akashindwa kuyafanya hayo? Kwa hii mitano tumpatie halafu tufanye hesabu 2025! Hatutajuta na itakuwa mwanzo wa Tanzania ya Watanganyika na sio WADANGANYIKA!
 
inatumika nguvu kubwa sana kuaminisha watu kuwa magu anapendwa :
1.Mikutano yake inasomba watu na magari (hawaji kwa hiari wala gharama zao na pesa wanalipwa)
2.Kushindwa kwenda mikoa masikini zaidi .mtwala lindi na katavi hata mbagala panamshinda hahahah
3.shule za serikali kufungwa ili wakahudhurie
etc
 
Mimi kwa Sasa Sina Chama Na nimewah Kuwa Mwanachama wa Chadema, Na kadi Ninayo Lakini Namuunga Mkono rais MAGUFULI
Ulikuwa unalipia shilingi ngapi ya uanachama kwa mwaka ulipokuwa mwanachama wa Chadema?
Hapo najua utatoka nduki😁😁!
 
Hii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani


View attachment 1600640
Hizi ni clip zenye Propaganda toka CCMLumumba.
HUYU KIJANA @30 years amekaririshwa kwa kupewa bk-7 tu hana lolote.
Sina hakika hapo alipo Kama ana AJIRA ya kueleweka na hata Kama anayo Nina hakika hajawahi ongezwa Mshahara 2015~2020 tangu Jiwe awe Rahisi wake.
Graduates wote kuanzia 2015 hawajawahi pata ajira na mbaya zaidi hata wakiamua kufanya UJASIRIAMALI bado Jiwrle ameweka mazingira magumu sana...!!!
 
Vijana tunaimani na JPM.tutampa kura za kutosha na kuhakikisha tunampigia kampeni ya nguvh muheshimiwa John Pombe Magufuli.
 
Vijana wasiojielewa wa Uvccm kama wewe bila shaka ndiyo uliomaanisha! Ila siyo wale wahitimu wa vyuo waliokosa ajira na wakati huo huo wakiendelea kulimbikiziwa riba kandamizi ya 6% kila mwaka na Bodi ya Mikopo.
Ivi mkuu samahani swali nje ya mada ivi mmiliki wa jamii forums anao uwezo wa kujua au anajua email ya kila member et?
 
Niliangalia ngojera za TBC saa mbili, nikaona Raisi wetu, mbona huyu mzee kazeeka ghafra, vipi, nyie mnae muona laivu kazeeka hivo au ndo picha za TBC mbovu yaani anavo onekana JK anakua kama kijana wake wakuzaa

Wanasaikolojia wanasema hivi: Mtu mwenye hasira, chuki na kuchanganyikiwa(frustrated) anakuwa na msongo mkubwa sana wa mawazo(stress) na hiyo inamtengenezea sumu/nyongo inayopelekea kuathiri viungo vyake kuanzia moyo, akili, sura na mwili wote kwa ujumla. Ndicho kinachomtokea Jiwe(JPM)!
Kinyume kabisa na mtu aliyejaa bashasha, ucheshi na tabasamu kama alivyo Kiwete(JK)!
 
Back
Top Bottom