min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ila kasema tayari anayo biashara , si inaweza kua kama dhamana?Labda hana collateral
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kasema tayari anayo biashara , si inaweza kua kama dhamana?Labda hana collateral
Hii ndio muhimu sana kwanza kabisaa.Vijana changamoto ni UAMINIFU.
Wacheki ndugu zakoHabari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.
Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.
Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.
Wakuu tupeane abcs
Hili nalo nenoVijana changamoto ni UAMINIFU.
Jiunge kwenye vikundi mkakope Halmashauri utapata mtaji huko.Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.
Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.
Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.
Wakuu tupeane abcs
Tatizo ni wewe siyo mtaji.Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.
Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.
Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.
Wakuu tupeane abcs
Easy saying than doingTatizo ni wewe siyo mtaji.
Pambana mdodo mdogo Kijana utatoboa tu.Mbeya soko linaitwa sido
Benki gani wanakopesha mtaji kwa kusikia maneno ya kuambiwa?Kama tayari una biashara na ina mzunguko wa kueleweka unaweza kupata mkopo kwenye Bank na kufanya marejesho yako kulingana na mzunguko wako mkuu.
Hapana mkuu
Imekuchukia muda gani kufikisha milioni 5. Kwa nini usivumilie ukuze mtaji taratibu? Una haraka gani? Biashara nzuri ni ile inayo jikuza yenywewe kidogo kidogoNop mimi biashara nishaianza mkuu, from the scratch na nishaweka mtaji si chini ya m5 till now, ila kwa hapa naona bila kupata mtaji wa maana nitaendelea kustruggle