Vijana changamoto mtaji

Vijana changamoto mtaji

Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.

Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.

Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.

Wakuu tupeane abcs
Wacheki ndugu zako
 
Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.

Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.

Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.

Wakuu tupeane abcs
Jiunge kwenye vikundi mkakope Halmashauri utapata mtaji huko.
Tengenezeni katiba nzuri na muwe na malengo.
 
Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.

Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.

Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.

Wakuu tupeane abcs
Tatizo ni wewe siyo mtaji.
 
Kama tayari una biashara na ina mzunguko wa kueleweka unaweza kupata mkopo kwenye Bank na kufanya marejesho yako kulingana na mzunguko wako mkuu.
Benki gani wanakopesha mtaji kwa kusikia maneno ya kuambiwa?

Vijana mitaji hatuna na benki zinataka collateral na sio viwanja vya madimbwini ni vilivyopimwa na hati.

Wadau tajeni benki tupeleke proposals
 
Nop mimi biashara nishaianza mkuu, from the scratch na nishaweka mtaji si chini ya m5 till now, ila kwa hapa naona bila kupata mtaji wa maana nitaendelea kustruggle
Imekuchukia muda gani kufikisha milioni 5. Kwa nini usivumilie ukuze mtaji taratibu? Una haraka gani? Biashara nzuri ni ile inayo jikuza yenywewe kidogo kidogo
 
Imekuchukia muda gani kufikisha milioni 5. Kwa nini usivumilie ukuze mtaji taratibu? Una haraka gani? Biashara nzuri ni ile inayo jikuza yenywewe kidogo kidogo
Within a year, let me see mkuu.
 
Back
Top Bottom