Nani kawazuia kupiga kula acha uboya nduguHaishtui vijana wa baa za vichaa yani Bavicha, sera zenu na mgombea wenu ni matusi tu. Dawa yenu ni moja tu kura ya ndio kwa Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kawazuia kupiga kula acha uboya nduguHaishtui vijana wa baa za vichaa yani Bavicha, sera zenu na mgombea wenu ni matusi tu. Dawa yenu ni moja tu kura ya ndio kwa Magufuli.
Ukiona hivyo wewe ni kijana usiyejitambua, lakini vijana tunaojitambua kura zetu tutampigia Magufulimimi ni kijana ila sitampigia kura magufuli,
mtoa uzi acha kuwasemea vijana wote wa Tanzania
Ndo tatizo la watu wenye upele, hata sisimizi akikutambaa wewe utataka kujikuna tu, endeleeni kuweweseka. Kura za Magufuli zipo nyingi sana.labda aibe kura
Rais Magufuli ameedelea na juhudi za kuifanya Tanzania kuwa nchi inayojitegemea kiuchumi, na amekwishaonyesha kwa vitendo namna kaulimbiu yake ya “Hapa Kazi Tu” ilivyowapa hamasa kubwa Watanzania kufanya kazi na hivyo juhudi hizi kuzaa matunda ya kuipaisha Tanzania katika uchumi wa kati. Kweli vijana hatuna la kupoteza. KURA YANGU KWA MAGUFULIVijana ni kundi kubwa, muhimu na linaloongoza kwa uwingi wa idadi kubwa ya watu hapa Tanzania na kwasasa inaarifiwa zaidi ya asilimia 65 ya Watanzania wote ni vijana. Vijana ni kundi kubwa lenye watu wengi na lenye msingi mkubwa sana wa uchumi na maendeleo.
Ukimkomboa kijana, umelikomboa Taifa. Ukimuwezesha kijana umeliwezesha Taifa yaani kwa kifupi chochote chanya utakachofanya kwa kijana umekifanya kwa Taifa na unakuwa umelikomboa Taifa. Miaka mitano ya Rais Magufuli imeshuhudia kazi kubwa sana ya kulikomboa Taifa kupitia kuliwezesha kundi hili la vijana ili kwa uwingi wake mkubwa ndani ya nchi liendelee kuwa msingi wa uchumi na maendeleo ya Tanzania.
Ili kuliwezesha na kulikomboa kundi la vijana kwa minajiri ya kuweza kuchangia pakubwa kwenye maendeleo ya Taifa, Serikali ya Rais Magufuli iliweka sheria ya kuzitaka halmashauri zote nchini kutenga asilimia 4 kati ya 10 ya mapato yake ya ndani ya Serikali kwa ajili ya kwenda kwenye makundi ya vijana. Kutoa mikopo hii ya halmashauri isiyo na riba kwa makundi ya vijana ili kuanzisha biashara na kujiendeleza ni msingi wa kuwakomboa vijana na mpaka hapa tunapoongea jumla ya bilioni 28.2 zimeenda kwa vijana kutoka bilioni 2.3 pekee zilizopelekwa mwaka 2015.
Zaidi Serikali imeendelea kuweka mazingira mazuri ya vikundi mbalimbali vya vijana kupata mikopo kwenye mabenki yetu na taasisi za fedha kwa riba na masharti nafuu sana ambayo hayamkandamizi wala kumuumiza kijana na kumfanya asiendeleze biashara yake vizuri tofauti kabisa na ilivyokuwepo huko nyuma.
Lakini uamuzi wa kutoa vitambulisho vya mjasiriamali kwa elfu 20 tu ni ukombozi mwingine kwa vijana kwa sababu asilimia kubwa ya wajasiriamali hawa ni vijana. Hapo unazungumza kijana kutoka kufukuzwa, kubughudhiwa na kutozwa makodi kila siku mpaka kulipa elfu 20 tu na kuendesha biashara zake kwa mwaka mzima popote Tanzania.
Zamani mjasiriamali alikuwa na msululu wa makodi na kwa mwaka mmoja mjasiriamali alikuwa analipa laki 3 mpaka laki 5 na alikuwa anapata bughudha na kuonewa sana kwenye biashara yake, leo hakuna tena mambo hayo. Kitambulisho cha elfu 20 tu kinatosha kwa kijana kufanya shughuli zake kila mahali nchi nzima bila shida na bughudha yoyote kutoka kwa mtu yeyote ile.
Hapo hujaweka uamuzi wa Serikali kutoa mafunzo ya ujuzi katika stadi za kazi ambapo vijana 7,800 wa kada mbalimbali walipata mafunzo ikiwemo na wengine 52,353 waliopatiwa mafunzo mahali pa kazi na vijana 8,980 waliopatiwa mafunzo ya kilimo huku Serikali ikitengeneza ajira 6,032,299 katika sekta rasmi na zisizo rasmi ambazo nyingi ziliwagusa vijana.
Katika kuendelea kuliamsha na kulijumuisha kundi la vijana kwenye uchumi, Serikali ilitekeleza miradi mikubwa minne ya kimkakati ambayo iliwagusa vijana moja kwa moja kupata fursa za ajira na kutengeneza uchumi wao.
Hapa tunazungumzia mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) ambao pekee yake ulitoa jumla ya ajira 14,139 kwa vijana, mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal III) ambao ulitoa ajira 1,056, mradi wa Bwawa la kufua umeme wa Julius Nyerere ambao ulitoa ajira 3,412 pamoja na mradi wa Ubungo Interchange ambao nao ulitoa ajira 502 kwa vijana. Vijana hawa hawana cha kupoteza na hawa wana jambo lao la shukrani mapema kabisa siku ya Jumatano Oktoba 28.
Vijana ni kundi kubwa, muhimu na linaloongoza kwa uwingi wa idadi kubwa ya watu hapa Tanzania na kwasasa inaarifiwa zaidi ya asilimia 65 ya Watanzania wote ni vijana. Vijana ni kundi kubwa lenye watu wengi na lenye msingi mkubwa sana wa uchumi na maendeleo.
Ukimkomboa kijana, umelikomboa Taifa. Ukimuwezesha kijana umeliwezesha Taifa yaani kwa kifupi chochote chanya utakachofanya kwa kijana umekifanya kwa Taifa na unakuwa umelikomboa Taifa. Miaka mitano ya Rais Magufuli imeshuhudia kazi kubwa sana ya kulikomboa Taifa kupitia kuliwezesha kundi hili la vijana ili kwa uwingi wake mkubwa ndani ya nchi liendelee kuwa msingi wa uchumi na maendeleo ya Tanzania.
Ili kuliwezesha na kulikomboa kundi la vijana kwa minajiri ya kuweza kuchangia pakubwa kwenye maendeleo ya Taifa, Serikali ya Rais Magufuli iliweka sheria ya kuzitaka halmashauri zote nchini kutenga asilimia 4 kati ya 10 ya mapato yake ya ndani ya Serikali kwa ajili ya kwenda kwenye makundi ya vijana. Kutoa mikopo hii ya halmashauri isiyo na riba kwa makundi ya vijana ili kuanzisha biashara na kujiendeleza ni msingi wa kuwakomboa vijana na mpaka hapa tunapoongea jumla ya bilioni 28.2 zimeenda kwa vijana kutoka bilioni 2.3 pekee zilizopelekwa mwaka 2015.
Zaidi Serikali imeendelea kuweka mazingira mazuri ya vikundi mbalimbali vya vijana kupata mikopo kwenye mabenki yetu na taasisi za fedha kwa riba na masharti nafuu sana ambayo hayamkandamizi wala kumuumiza kijana na kumfanya asiendeleze biashara yake vizuri tofauti kabisa na ilivyokuwepo huko nyuma.
Lakini uamuzi wa kutoa vitambulisho vya mjasiriamali kwa elfu 20 tu ni ukombozi mwingine kwa vijana kwa sababu asilimia kubwa ya wajasiriamali hawa ni vijana. Hapo unazungumza kijana kutoka kufukuzwa, kubughudhiwa na kutozwa makodi kila siku mpaka kulipa elfu 20 tu na kuendesha biashara zake kwa mwaka mzima popote Tanzania.
Zamani mjasiriamali alikuwa na msululu wa makodi na kwa mwaka mmoja mjasiriamali alikuwa analipa laki 3 mpaka laki 5 na alikuwa anapata bughudha na kuonewa sana kwenye biashara yake, leo hakuna tena mambo hayo. Kitambulisho cha elfu 20 tu kinatosha kwa kijana kufanya shughuli zake kila mahali nchi nzima bila shida na bughudha yoyote kutoka kwa mtu yeyote ile.
Hapo hujaweka uamuzi wa Serikali kutoa mafunzo ya ujuzi katika stadi za kazi ambapo vijana 7,800 wa kada mbalimbali walipata mafunzo ikiwemo na wengine 52,353 waliopatiwa mafunzo mahali pa kazi na vijana 8,980 waliopatiwa mafunzo ya kilimo huku Serikali ikitengeneza ajira 6,032,299 katika sekta rasmi na zisizo rasmi ambazo nyingi ziliwagusa vijana.
Katika kuendelea kuliamsha na kulijumuisha kundi la vijana kwenye uchumi, Serikali ilitekeleza miradi mikubwa minne ya kimkakati ambayo iliwagusa vijana moja kwa moja kupata fursa za ajira na kutengeneza uchumi wao.
Hapa tunazungumzia mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) ambao pekee yake ulitoa jumla ya ajira 14,139 kwa vijana, mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal III) ambao ulitoa ajira 1,056, mradi wa Bwawa la kufua umeme wa Julius Nyerere ambao ulitoa ajira 3,412 pamoja na mradi wa Ubungo Interchange ambao nao ulitoa ajira 502 kwa vijana. Vijana hawa hawana cha kupoteza na hawa wana jambo lao la shukrani mapema kabisa siku ya Jumatano Oktoba 28.
Hilo jambo lenu litachacha na huyo kiongozi wenu mrendamrenda mpechempecheTena jambo la mhimu sana.
Vijana tuna jambo moja tu tarehe 28/10/2020 Ni kupiga kura ya NDIO kwa ndugu Magufuli.Vijana ni kundi kubwa, muhimu na linaloongoza kwa uwingi wa idadi kubwa ya watu hapa Tanzania na kwasasa inaarifiwa zaidi ya asilimia 65 ya Watanzania wote ni vijana. Vijana ni kundi kubwa lenye watu wengi na lenye msingi mkubwa sana wa uchumi na maendeleo.
Ukimkomboa kijana, umelikomboa Taifa. Ukimuwezesha kijana umeliwezesha Taifa yaani kwa kifupi chochote chanya utakachofanya kwa kijana umekifanya kwa Taifa na unakuwa umelikomboa Taifa. Miaka mitano ya Rais Magufuli imeshuhudia kazi kubwa sana ya kulikomboa Taifa kupitia kuliwezesha kundi hili la vijana ili kwa uwingi wake mkubwa ndani ya nchi liendelee kuwa msingi wa uchumi na maendeleo ya Tanzania.
Ili kuliwezesha na kulikomboa kundi la vijana kwa minajiri ya kuweza kuchangia pakubwa kwenye maendeleo ya Taifa, Serikali ya Rais Magufuli iliweka sheria ya kuzitaka halmashauri zote nchini kutenga asilimia 4 kati ya 10 ya mapato yake ya ndani ya Serikali kwa ajili ya kwenda kwenye makundi ya vijana. Kutoa mikopo hii ya halmashauri isiyo na riba kwa makundi ya vijana ili kuanzisha biashara na kujiendeleza ni msingi wa kuwakomboa vijana na mpaka hapa tunapoongea jumla ya bilioni 28.2 zimeenda kwa vijana kutoka bilioni 2.3 pekee zilizopelekwa mwaka 2015.
Zaidi Serikali imeendelea kuweka mazingira mazuri ya vikundi mbalimbali vya vijana kupata mikopo kwenye mabenki yetu na taasisi za fedha kwa riba na masharti nafuu sana ambayo hayamkandamizi wala kumuumiza kijana na kumfanya asiendeleze biashara yake vizuri tofauti kabisa na ilivyokuwepo huko nyuma.
Lakini uamuzi wa kutoa vitambulisho vya mjasiriamali kwa elfu 20 tu ni ukombozi mwingine kwa vijana kwa sababu asilimia kubwa ya wajasiriamali hawa ni vijana. Hapo unazungumza kijana kutoka kufukuzwa, kubughudhiwa na kutozwa makodi kila siku mpaka kulipa elfu 20 tu na kuendesha biashara zake kwa mwaka mzima popote Tanzania.
Zamani mjasiriamali alikuwa na msululu wa makodi na kwa mwaka mmoja mjasiriamali alikuwa analipa laki 3 mpaka laki 5 na alikuwa anapata bughudha na kuonewa sana kwenye biashara yake, leo hakuna tena mambo hayo. Kitambulisho cha elfu 20 tu kinatosha kwa kijana kufanya shughuli zake kila mahali nchi nzima bila shida na bughudha yoyote kutoka kwa mtu yeyote ile.
Hapo hujaweka uamuzi wa Serikali kutoa mafunzo ya ujuzi katika stadi za kazi ambapo vijana 7,800 wa kada mbalimbali walipata mafunzo ikiwemo na wengine 52,353 waliopatiwa mafunzo mahali pa kazi na vijana 8,980 waliopatiwa mafunzo ya kilimo huku Serikali ikitengeneza ajira 6,032,299 katika sekta rasmi na zisizo rasmi ambazo nyingi ziliwagusa vijana.
Katika kuendelea kuliamsha na kulijumuisha kundi la vijana kwenye uchumi, Serikali ilitekeleza miradi mikubwa minne ya kimkakati ambayo iliwagusa vijana moja kwa moja kupata fursa za ajira na kutengeneza uchumi wao.
Hapa tunazungumzia mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) ambao pekee yake ulitoa jumla ya ajira 14,139 kwa vijana, mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal III) ambao ulitoa ajira 1,056, mradi wa Bwawa la kufua umeme wa Julius Nyerere ambao ulitoa ajira 3,412 pamoja na mradi wa Ubungo Interchange ambao nao ulitoa ajira 502 kwa vijana. Vijana hawa hawana cha kupoteza na hawa wana jambo lao la shukrani mapema kabisa siku ya Jumatano Oktoba 28.
Hujalelewa vizuri weweHahaha ccm chairperson is PURICHINGI,but we are not REACHABLE.
In M7 voice.
Eti nileteeeeni Gwaji... nileteeeeeeni Gwajim..... nileteeeeeeeeeni Gwajima!?
Mwacheni alie, Kura kwa Tundu Lisu na CHADEMA.
Na mimi nasema siwezi nikafanya ajizi kwa kweli, KURA YANGU NI YA MAGUFULIRais Magufuli ameedelea na juhudi za kuifanya Tanzania kuwa nchi inayojitegemea kiuchumi, na amekwishaonyesha kwa vitendo namna kaulimbiu yake ya “Hapa Kazi Tu” ilivyowapa hamasa kubwa Watanzania kufanya kazi na hivyo juhudi hizi kuzaa matunda ya kuipaisha Tanzania katika uchumi wa kati. Kweli vijana hatuna la kupoteza. KURA YANGU KWA MAGUFULI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wataumbua hawatoaminiBado siku 12 tu, Amsterdam ampokee baby wake akiwa analia
Na kijana ukishindwa kumpigia kura Magufuli utakuwa una walakini kichwani kwako.Vijana tuna jambo moja tu tarehe 28/10/2020 Ni kupiga kura ya NDIO kwa ndugu Magufuli.
KURA YANGU KWA MAGUFULI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wataumbua hawatoamini
Hahaha nileteeeeni Gwaj... nileteeeeeni Gwajim.... nileteeeeeeeeeni Gwajimaaaa!Hujalelewa vizuri wewe
Achana nae KURA YANGU KWA MAGUFULIWewe endelea kuimba taarabu na kurukaruka kama mahindi ya bisi yakiwa yanaiva, ila kaa utambue kura zote atapewa Magufuli.
Kwakweli kwa kijana ambae hata weka tick kwa Magufuli huyo atakua anaumwa akili tena atakua ni Kiazi mviringo kabisaNa kijana ukishindwa kumpigia kura Magufuli utakuwa una walakini kichwani kwako.
KURA YANGU KWA MAGUFULI
Kwa kuumbuka ni lazima.MAANA hata sera zao zote mlenda mlenda na mpechempeche hawana akili zao binafsi mpaka waendeshwe na mbwa za kizungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wataumbua hawatoamini
Hakika hawa punda wa mabeberu 29/10/2020 tutawahadisia nini maana ya mafanikio na ushindi kwa ujumlaVijana tuna jambo moja tu tarehe 28/10/2020 Ni kupiga kura ya NDIO kwa ndugu Magufuli.
NImefurahi sana kweli mpaka.WEWe mdada mzuri umeweza kuliona kua upande wenye kujali maisha yetu watanzania ni CCM chini ya Magufuli.Yani mimi kama kijana naisubiri sana hiyo tarehe 28 october tukawaonyeshe watanzania jinsi magufuli tunavyompenda vijana ...Yani kura zote kwa Dk John Magufuli....huyu mzee jamani katufanyia maendeleo mengi anaebisha kuna nati za kichwa zimechomoka