Mpenda maendeleo Tz
Member
- Sep 20, 2020
- 83
- 49
NDUGU yangu umejuaje? maana hakuna zaidi ya MAGUFULISaafi ni yeye MAGUFULI [emoji736]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDUGU yangu umejuaje? maana hakuna zaidi ya MAGUFULISaafi ni yeye MAGUFULI [emoji736]
Hahaha unyenyekevu kautoa wapi?! Au nikuwekee video kuthibisha uongo wa maandishi yako.Rais Magufuli ni MNYENYEKEVU Katika Kuomba kura, sio hilo tu pia Sifa nyingine nzuri aliyonayo JPM ni kupanga mipango vizuri, tena inayotekelezeka. KURA YANGU KWA MAGUFULI ✅
Kitu kinachonivutia kwa RAIS MAGUFULI ni Kati ya mambo ambayo yamemtofautisha JPM na viongozi wengi duniani, ni uwezo wake wa kufanya maamuzi vizuri bila kufuata iliyo kwaida au kufuata mkumbo wa kuangalia wengine wanafanyaje, au kujali uhusiano wake binafsi wa kirafiki na mtu mmoja mmojaNDUGU yangu umejuaje? maana hakuna zaidi ya MAGUFULI
SASa wewe huyo punda wako amefanya nini cha maana kwa wananchi hawa?Hahaha unyenyekevu kautoa wapi?! Au nikuwekee video kuthibisha uongo wa maandishi yako.
Hahaha we are not REACHABLE.
Hahaha Kura zote kwa Tundu Lisu.Yani wewe unaonekana kabisa ni malaya wa kisiasa kabisa mbayuwayu wewe,hivi unaelewa upuuzi anaoleta LISSU wenu huyo sijuii ndio TUNDU,na kweli ni Tundu kaMA Tundu.
ILA nakuamba utapata aibuu sana mara baada ya huyo mbuzi wenu kushindwa,,
KURA YANGU KWA MAGUFULI.
weka na mimi niweke.Hahaha unyenyekevu kautoa wapi?! Au nikuwekee video kuthibisha uongo wa maandishi yako.
Hahaha we are not REACHABLE.
Kura za UBELGIJI labda sio kwa TanzaniaHahaha Kura zote kwa Tundu Lisu.
Magufuli is PURICHINGI but we are not REACHABLE.
In M7 voice.
Kweli ndugu yangu kumbe we una macho na umejionea mwenyewe,hawa wasioelewa achana naoMimi ninayo sababu,
Kitu kinachonivutia kwa RAIS MAGUFULI ni Kati ya mambo ambayo yamemtofautisha JPM na viongozi wengi duniani, ni uwezo wake wa kufanya maamuzi vizuri bila kufuata iliyo kwaida au kufuata mkumbo wa kuangalia wengine wanafanyaje, au kujali uhusiano wake binafsi wa kirafiki na mtu mmoja mmoja
lazma wapewe taarifa maana wanapanga kutuchelewesha watanzaniaKweli ndugu yangu kumbe we una macho na umejionea mwenyewe,hawa wasioelewa achana nao
Hahaha na huyo Ng'ombe wako kafanya nini?!SASa wewe huyo punda wako amefanya nini cha maana kwa wananchi hawa?
Aka PURICHINGI huko kwa GwajimaKura za UBELGIJI labda sio kwa Tanzania
KWA hapo wamefeli sasa,sisi safari yetu hakuna mjinga yeyote anaweza kuizuialazma wapewe taarifa maana wanapanga kutuchelewesha watanzania
Unataka Gwaji aje akuGwajime nini..naona unamtaja sana leoHahaha na huyo Ng'ombe wako kafanya nini?!
Hahaha munipeleke kwa Gwajima, munipelekeeeee kwa Gwajima, minipelekeeeeeeeni kwa Gwajima.
Tutampeleka kwa Gwajiboy, Kura kwa Lisu.
Acha nidhamu ya uoga, leta ulichosema untaka kukileta. tukuonyeshe mazuri ya Rais wetu MagufuliAka PURICHINGI huko kwa Gwajima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka Gwaji aje akuGwajime nini..naona unamtaja sana leo
Hahaha Magufuli ndiye anamlilia Gwajima, sijui anataka nini.Unataka Gwaji aje akuGwajime nini..naona unamtaja sana leo
Sisi tunataka uliyosema.Hahaha Magufuli ndiye anamlilia Gwajima, sijui anataka nini.
Mshana Jr tuwekee video huku waone Magufuli akimlilia Gwajima.