Uchaguzi 2020 Vijana hawana cha kupoteza kwa Dkt. John Pombe Magufuli

Uchaguzi 2020 Vijana hawana cha kupoteza kwa Dkt. John Pombe Magufuli

Rais Magufuli ameedelea na juhudi za kuifanya Tanzania kuwa nchi inayojitegemea kiuchumi, na amekwishaonyesha kwa vitendo namna kaulimbiu yake ya “Hapa Kazi Tu” ilivyowapa hamasa kubwa Watanzania kufanya kazi na hivyo juhudi hizi kuzaa matunda ya kuipaisha Tanzania katika uchumi wa kati. Kweli vijana hatuna la kupoteza. KURA YANGU KWA MAGUFULI
KURA YANGU KWA MAGUFULI HAKIKA
IMG-20201016-WA0061.jpg
 
Yani mimi kama kijana naisubiri sana hiyo tarehe 28 october tukawaonyeshe watanzania jinsi magufuli tunavyompenda vijana ...Yani kura zote kwa Dk John Magufuli....huyu mzee jamani katufanyia maendeleo mengi anaebisha kuna nati za kichwa zimechomoka

Ithibati ya Ustadi wa JPM katika Uongozi ni HAIPIMIKI. KURA YANGU KWA MAGUFULI ✅​

 
Kura zote kwa Tundu Lisu.

Magufuli mpelekeni kwa Gwajima.

Kalia sana " Nileteeeeni Gwajima, nileteeeeeeeni Gwajima, nileteeeeeeeeeni Gwajima "

Kuliko kumpelekea Gwajima yeye ndiye tutampeleka kwa Gwajima.
Yani wewe unaonekana kabisa ni malaya wa kisiasa kabisa mbayuwayu wewe,hivi unaelewa upuuzi anaoleta LISSU wenu huyo sijuii ndio TUNDU,na kweli ni Tundu kaMA Tundu.


ILA nakuamba utapata aibuu sana mara baada ya huyo mbuzi wenu kushindwa,,


KURA YANGU KWA MAGUFULI.
 
H
sasa mtoa mada anasema sheria ya asilimia 4 imetungwa na serikali ya Magufuli..labda kama anataka kupotosha hii ni sheria ya muda mrefu ipo tangu kipindi cha Kikwete..pia hiyo mikopo siyo kuwa wanapata yote ni mpaka ikiwa lengo la makunyanyo ya ndani limetimia ndo wanaweza kupata.na mara nyingi kama siyo zote makusanyo ya ndani hayafikishi malengo sasa mikopo hiyo haiwafikii kikamilifu...labda anageanza na ahadi ya milioni 50 kila kijiji labda wangezipata
Hizo asilimia wala siyo Magufuli aliyeziweka,ukiwa muongo inabidi uwe na kumbukumbu hasa.Umewahi kufikiria huko Halmashauri wanayo hayo mapato ya kutolea mikopo?Hizo takwimu za idadi ya ajira zinaaminika kwa kiasi gani?NBS wamezithibitisha?
Hatudanganyike na hizi propaganda za CCM,kuna mambo mnamsifia nayo Rais wakati siyo mhusika wake na kwa kufanya hivyo mnamdhalilisha.
 
Vijana ni kundi kubwa, muhimu na linaloongoza kwa uwingi wa idadi kubwa ya watu hapa Tanzania na kwasasa inaarifiwa zaidi ya asilimia 65 ya Watanzania wote ni vijana. Vijana ni kundi kubwa lenye watu wengi na lenye msingi mkubwa sana wa uchumi na maendeleo.

Ukimkomboa kijana, umelikomboa Taifa. Ukimuwezesha kijana umeliwezesha Taifa yaani kwa kifupi chochote chanya utakachofanya kwa kijana umekifanya kwa Taifa na unakuwa umelikomboa Taifa. Miaka mitano ya Rais Magufuli imeshuhudia kazi kubwa sana ya kulikomboa Taifa kupitia kuliwezesha kundi hili la vijana ili kwa uwingi wake mkubwa ndani ya nchi liendelee kuwa msingi wa uchumi na maendeleo ya Tanzania.

Ili kuliwezesha na kulikomboa kundi la vijana kwa minajiri ya kuweza kuchangia pakubwa kwenye maendeleo ya Taifa, Serikali ya Rais Magufuli iliweka sheria ya kuzitaka halmashauri zote nchini kutenga asilimia 4 kati ya 10 ya mapato yake ya ndani ya Serikali kwa ajili ya kwenda kwenye makundi ya vijana. Kutoa mikopo hii ya halmashauri isiyo na riba kwa makundi ya vijana ili kuanzisha biashara na kujiendeleza ni msingi wa kuwakomboa vijana na mpaka hapa tunapoongea jumla ya bilioni 28.2 zimeenda kwa vijana kutoka bilioni 2.3 pekee zilizopelekwa mwaka 2015.

Zaidi Serikali imeendelea kuweka mazingira mazuri ya vikundi mbalimbali vya vijana kupata mikopo kwenye mabenki yetu na taasisi za fedha kwa riba na masharti nafuu sana ambayo hayamkandamizi wala kumuumiza kijana na kumfanya asiendeleze biashara yake vizuri tofauti kabisa na ilivyokuwepo huko nyuma.

Lakini uamuzi wa kutoa vitambulisho vya mjasiriamali kwa elfu 20 tu ni ukombozi mwingine kwa vijana kwa sababu asilimia kubwa ya wajasiriamali hawa ni vijana. Hapo unazungumza kijana kutoka kufukuzwa, kubughudhiwa na kutozwa makodi kila siku mpaka kulipa elfu 20 tu na kuendesha biashara zake kwa mwaka mzima popote Tanzania.

Zamani mjasiriamali alikuwa na msululu wa makodi na kwa mwaka mmoja mjasiriamali alikuwa analipa laki 3 mpaka laki 5 na alikuwa anapata bughudha na kuonewa sana kwenye biashara yake, leo hakuna tena mambo hayo. Kitambulisho cha elfu 20 tu kinatosha kwa kijana kufanya shughuli zake kila mahali nchi nzima bila shida na bughudha yoyote kutoka kwa mtu yeyote ile.

Hapo hujaweka uamuzi wa Serikali kutoa mafunzo ya ujuzi katika stadi za kazi ambapo vijana 7,800 wa kada mbalimbali walipata mafunzo ikiwemo na wengine 52,353 waliopatiwa mafunzo mahali pa kazi na vijana 8,980 waliopatiwa mafunzo ya kilimo huku Serikali ikitengeneza ajira 6,032,299 katika sekta rasmi na zisizo rasmi ambazo nyingi ziliwagusa vijana.

Katika kuendelea kuliamsha na kulijumuisha kundi la vijana kwenye uchumi, Serikali ilitekeleza miradi mikubwa minne ya kimkakati ambayo iliwagusa vijana moja kwa moja kupata fursa za ajira na kutengeneza uchumi wao.

Hapa tunazungumzia mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) ambao pekee yake ulitoa jumla ya ajira 14,139 kwa vijana, mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal III) ambao ulitoa ajira 1,056, mradi wa Bwawa la kufua umeme wa Julius Nyerere ambao ulitoa ajira 3,412 pamoja na mradi wa Ubungo Interchange ambao nao ulitoa ajira 502 kwa vijana. Vijana hawa hawana cha kupoteza na hawa wana jambo lao la shukrani mapema kabisa siku ya Jumatano Oktoba 28.
Mpeni gwajimaaaa
 
Hahaha nileteeeeni Gwaj... nileteeeeeni Gwajim.... nileteeeeeeeeeni Gwajimaaaa!

Hahaha no wonder they are not reachable.

Wewe Umesikia wapi kampeni za kulazimishana. In Bwege's voice.
Rais Magufuli ni MNYENYEKEVU Katika Kuomba kura, sio hilo tu pia Sifa nyingine nzuri aliyonayo JPM ni kupanga mipango vizuri, tena inayotekelezeka. KURA YANGU KWA MAGUFULI ✅
 
Vijana ni kundi kubwa, muhimu na linaloongoza kwa uwingi wa idadi kubwa ya watu hapa Tanzania na kwasasa inaarifiwa zaidi ya asilimia 65 ya Watanzania wote ni vijana. Vijana ni kundi kubwa lenye watu wengi na lenye msingi mkubwa sana wa uchumi na maendeleo.

Ukimkomboa kijana, umelikomboa Taifa. Ukimuwezesha kijana umeliwezesha Taifa yaani kwa kifupi chochote chanya utakachofanya kwa kijana umekifanya kwa Taifa na unakuwa umelikomboa Taifa. Miaka mitano ya Rais Magufuli imeshuhudia kazi kubwa sana ya kulikomboa Taifa kupitia kuliwezesha kundi hili la vijana ili kwa uwingi wake mkubwa ndani ya nchi liendelee kuwa msingi wa uchumi na maendeleo ya Tanzania.

Ili kuliwezesha na kulikomboa kundi la vijana kwa minajiri ya kuweza kuchangia pakubwa kwenye maendeleo ya Taifa, Serikali ya Rais Magufuli iliweka sheria ya kuzitaka halmashauri zote nchini kutenga asilimia 4 kati ya 10 ya mapato yake ya ndani ya Serikali kwa ajili ya kwenda kwenye makundi ya vijana. Kutoa mikopo hii ya halmashauri isiyo na riba kwa makundi ya vijana ili kuanzisha biashara na kujiendeleza ni msingi wa kuwakomboa vijana na mpaka hapa tunapoongea jumla ya bilioni 28.2 zimeenda kwa vijana kutoka bilioni 2.3 pekee zilizopelekwa mwaka 2015.

Zaidi Serikali imeendelea kuweka mazingira mazuri ya vikundi mbalimbali vya vijana kupata mikopo kwenye mabenki yetu na taasisi za fedha kwa riba na masharti nafuu sana ambayo hayamkandamizi wala kumuumiza kijana na kumfanya asiendeleze biashara yake vizuri tofauti kabisa na ilivyokuwepo huko nyuma.

Lakini uamuzi wa kutoa vitambulisho vya mjasiriamali kwa elfu 20 tu ni ukombozi mwingine kwa vijana kwa sababu asilimia kubwa ya wajasiriamali hawa ni vijana. Hapo unazungumza kijana kutoka kufukuzwa, kubughudhiwa na kutozwa makodi kila siku mpaka kulipa elfu 20 tu na kuendesha biashara zake kwa mwaka mzima popote Tanzania.

Zamani mjasiriamali alikuwa na msululu wa makodi na kwa mwaka mmoja mjasiriamali alikuwa analipa laki 3 mpaka laki 5 na alikuwa anapata bughudha na kuonewa sana kwenye biashara yake, leo hakuna tena mambo hayo. Kitambulisho cha elfu 20 tu kinatosha kwa kijana kufanya shughuli zake kila mahali nchi nzima bila shida na bughudha yoyote kutoka kwa mtu yeyote ile.

Hapo hujaweka uamuzi wa Serikali kutoa mafunzo ya ujuzi katika stadi za kazi ambapo vijana 7,800 wa kada mbalimbali walipata mafunzo ikiwemo na wengine 52,353 waliopatiwa mafunzo mahali pa kazi na vijana 8,980 waliopatiwa mafunzo ya kilimo huku Serikali ikitengeneza ajira 6,032,299 katika sekta rasmi na zisizo rasmi ambazo nyingi ziliwagusa vijana.

Katika kuendelea kuliamsha na kulijumuisha kundi la vijana kwenye uchumi, Serikali ilitekeleza miradi mikubwa minne ya kimkakati ambayo iliwagusa vijana moja kwa moja kupata fursa za ajira na kutengeneza uchumi wao.

Hapa tunazungumzia mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) ambao pekee yake ulitoa jumla ya ajira 14,139 kwa vijana, mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal III) ambao ulitoa ajira 1,056, mradi wa Bwawa la kufua umeme wa Julius Nyerere ambao ulitoa ajira 3,412 pamoja na mradi wa Ubungo Interchange ambao nao ulitoa ajira 502 kwa vijana. Vijana hawa hawana cha kupoteza na hawa wana jambo lao la shukrani mapema kabisa siku ya Jumatano Oktoba 28.
KWa upande wangu kama kijana ninae tambua ni wapi tumetoka na tunapokwend kupitia uongozi wa Dr MAgufuli nasema wazi KURA YANGU KWA MAGUFULI


ANGALIA SURA YA LISSU,KIGOGO NA MBWA WENGINE BAADA YA USHINDI HAWATA AMINI.


KURA YANGU KWA MAGUFULI[emoji617][emoji617][emoji819][emoji819][emoji819]
IMG-20201016-WA0120.jpg
 
Anapewaje kura zote?
Kwani kura zote unazo wewe? Acha ujinga![emoji41][emoji41][emoji41]
Wewe fanya kama unajikuna halafu uone kama hapewi kura zote na watanzania. 2015 mliungana vyama vya mpechempeche vyote na bado Magufuli akawazidi kete, hivi unategemea sasa hivi hamjaungana mtapata kura kweli??????
 
Wewe fanya kama unajikuna halafu uone kama hapewi kura zote na watanzania. 2015 mliungana vyama vya mpechempeche vyote na bado Magufuli akawazidi kete, hivi unategemea sasa hivi hamjaungana mtapata kura kweli??????
Ndugu achana nao hao viuno vya pweza havina structure ya uelewa wao bimafsi mpaka uelewa wa nchi yaoo.
 
Back
Top Bottom