Vijana hawataki kuoa kwa sababu wana njaa!

Vijana hawataki kuoa kwa sababu wana njaa!

Ni kweli wanapinga kutengeneza familia sababu ya umasikini japo hawajiweki wazi.

Nawaunga mkono wasijaribu kuoa wakiwa hawajajipata! Najua watakuja hapa kutoa mifano ya matajiri wa dunia ambao hawajaoa ila sio kigezo cha kuchafua ndoa.

Ewe mwanaume elewa kabisa kuoa ni kujitangazia wewe na jamii yako kwamba unaweza kujitunza,, kumtunza mkeo, watoto wako pamoja na wazazi wa pande zote pale inapohitajika.
Hivyo kama maisha yako tu yanakusumbua kwanini uoe?
 
Si wangu tu, hata wako.
FB_IMG_17388630247000341.jpg
 
Njaa ipo kwako tu mkuu watu wana fact kwanini ujitafutie magonjwa ya moyo? Ushawai sikia mwanamke anaumwa ugonjwa wa moyo?
 
Ni kweli wanapinga kutengeneza familia sababu ya umasikini japo hawajiweki wazi.

Nawaunga mkono wasijaribu kuoa wakiwa hawajajipata! Najua watakuja hapa kutoa mifano ya matajiri wa dunia ambao hawajaoa ila sio kigezo cha kuchafua ndoa.

Ewe mwanaume elewa kabisa kuoa ni kujitangazia wewe na jamii yako kwamba unaweza kujitunza,, kumtunza mkeo, watoto wako pamoja na wazazi wa pande zote pale inapohitajika.
Hivyo kama maisha yako tu yanakusumbua kwanini uoe?
Kulea watoto tu inatosha ila sio kutunza mpak makaburi ya kwao nijenge mimi
 
Ndoa kwa wanawake wapi? Hawa wanawake maslahi mkitajirika tu anataka mgawane au akuue kabisa.Ni mwendo wa kutafuta watoto tu hakuna kupeana pressure
 
Kulea watoto tu inatosha ila sio kutunza mpak makaburi ya kwao nijenge mimi
Kusema hivi ni rahisi ila ukija kwenye uhalisia huwezi kuwapigia simu huko ukweni tu kusalimia au kutoa pole tu usihusike kwa matatizo yanayoweza kutokea wakati wowote.


Mambo kama haya vijana wengi hawayamudu.

Anaweza kuja mdogo wa mke wako mkoa ulipo akajifanya alikokua anaenda hakueleweki, hapo hujampokea kwa gharama zako kwa siku kadhaa huku ukimpa na nauli ya kurejea makwao? Vitu kama hivi ukiwa huwezi au haupo tayari navyo bora usioe.

Au unasemaje mzee mwenzangu Leejay49
 
Kusema hivi ni rahisi ila ukija kwenye uhalisia huwezi kuwapigia simu huko ukweni tu kusalimia au kutoa pole tu usihusike kwa matatizo yanayoweza kutokea wakati wowote.


Mambo kama haya vijana wengi hawayamudu.

Anaweza kuja mdogo wa mke wako mkoa ulipo akajifanya alikokua anaenda hakueleweki, hapo hujampokea kwa gharama zako kwa siku kadhaa huku ukimpa na nauli ya kurejea makwao? Vitu kama hivi ukiwa huwezi au haupo tayari navyo bora usioe.

Au unasemaje mzee mwenzangu Leejay49
Kabisa mimi napenda pesa yangu bhna af mm napend bata sana so nitachelewa sana mpka nimalize viwanja vyote tz
 
Kabisa mimi napenda pesa yangu bhna af mm napend bata sana so nitachelewa sana mpka nimalize viwanja vyote tz
Vizuri sana heri lawama kuliko fedheha... Watakulaumu kwanini hujaoa, alafu ukishaoa wanasikilizia mlio ili wakucheke ufedheheke.

Vijana wasipoelewa hili basi Mungu awasaidie waweze kumudu mambo ya msingi kwenye familia
 
Back
Top Bottom