Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umuhimu hujauona ww tu kutokana na mtazamo wa iman yko ulojiekea ila sisi wengne tupo tunastarehe na wenziwetu raha mustareheSijawahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa. Huu ni utamaduni wa kipuuzi sijui nani aliuanzisha na alifikiria nini ?!.
Mbona hujatuambia tukusupport?
Dogo unawashwa ? Hapo kwenye comment yangu nimekutaja wewe au nimeji zungumzia binafsi mimi ?!.Umuhimu hujauona ww tu kutokana na mtazamo wa iman yko ulojiekea ila sisi wengne tupo tunastarehe na wenziwetu raha mustarehe
Sawa,kila la kheri,tupo Kwa ajili yakoNipo mbioni kuvi - lounge, mambo yakikaa Sawa nitawashirikisha
basi khatwarKwema Mkuu.
Tatizo lako kuu Faiza linalokupunguzia Sifa njema ni udini.
Kanisa lina sababu zake nyingi za kufanya hivyo, mojawapo ni Hiyari ya MTU kuamua kuoa au kutokuoa. Kuoa ni hiyari sio lazima.
Ipo mifano ya Manabii wakubwa na wenye heshima ambao hawakuwa wameoa. Na zipo sababu za wao kufanya hivyo.
Kanisa linaongozwa na Kanuni ya upendo hasa kwenye Mambo yasiyo kuwa ni amri na sheria. Mfano kwenye Ukristo au uyahudi hakuna amri ya lazima ya MTU kuoa au kuolewa Ila Ipo amri ya kukataza zinaa(uzinzi).
Tukisema tuchambua mambo kidini basi Huko tutavurugana
Acha ushamba ,wew si ndo ulisema hukuwahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa asa ayo maoni ni ya nani kama si yko ,na mm sio dogo ilo rika letu la mliozaliwa 90 msijifany mmepevukaDogo unawashwa ? Hapo kwenye comment yangu nimekutaja wewe au nimeji zungumzia binafsi mimi ?!.
Acha ushamba ,wew si ndo ulisema hukuwahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa asa ayo maoni ni ya nani kama si yko ,na mm sio dogo ilo rika letu la mliozaliwa 90 msijifany mmepevukaDogo unawashwa ? Hapo kwenye comment yangu nimekutaja wewe au nimeji zungumzia binafsi mimi ?!.
Sawa,kila la kheri,tupo Kwa ajili yako
Zanzibar mashoga wamejaa ni kanisa lipi limesababisha ?Stori ndefu, ukweli ni kuwa sikusosoma, kwa sababu inajulikana kwa sentensi moja tu kwanini vijana hawataki kuoa na kuolewa.
Sababu ni ushoga na usagaji tu. Hakuna zaidi.
Lile kanisa maarufu linaloendeshwa na watu wasioowa wala kuolewa linafanya kazi nzuri sana ya kutengenza wimbi la vijjana wa aina yao.
Hayo hayo yaliyopo.Zanzibar mashoga wamejaa ni kanisa lipi limesababisha ?
😂😂😂Hayo hayo yaliyopo.
Huu uandishi wako ata mimi ningekuita dogo,hakuna mtu mzima anaeandika kiboya kama wewe iviAcha ushamba ,wew si ndo ulisema hukuwahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa asa ayo maoni ni ya nani kama si yko ,na mm sio dogo ilo rika letu la mliozaliwa 90 msijifany mmepevuka