Vijana hawatongozi na hawataki kuoa kwa sababu hii

Sijawahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa. Huu ni utamaduni wa kipuuzi sijui nani aliuanzisha na alifikiria nini ?!.
Umuhimu hujauona ww tu kutokana na mtazamo wa iman yko ulojiekea ila sisi wengne tupo tunastarehe na wenziwetu raha mustarehe
 
Umuhimu hujauona ww tu kutokana na mtazamo wa iman yko ulojiekea ila sisi wengne tupo tunastarehe na wenziwetu raha mustarehe
Dogo unawashwa ? Hapo kwenye comment yangu nimekutaja wewe au nimeji zungumzia binafsi mimi ?!.
 
basi khatwar
 
Dogo unawashwa ? Hapo kwenye comment yangu nimekutaja wewe au nimeji zungumzia binafsi mimi ?!.
Acha ushamba ,wew si ndo ulisema hukuwahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa asa ayo maoni ni ya nani kama si yko ,na mm sio dogo ilo rika letu la mliozaliwa 90 msijifany mmepevuka
 
Dogo unawashwa ? Hapo kwenye comment yangu nimekutaja wewe au nimeji zungumzia binafsi mimi ?!.
Acha ushamba ,wew si ndo ulisema hukuwahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa asa ayo maoni ni ya nani kama si yko ,na mm sio dogo ilo rika letu la mliozaliwa 90 msijifany mmepevuka
 
Uandishi gani huu wa kijinga hivi. Una kazi gani kijana upate muda wa kupoteza kuandika Uzi mrefu ambao unaweza kuwa summarized in one paragraph?
 
Zanzibar mashoga wamejaa ni kanisa lipi limesababisha ?
 
Acha ushamba ,wew si ndo ulisema hukuwahi kuona umuhimu wa kuoa au kuolewa asa ayo maoni ni ya nani kama si yko ,na mm sio dogo ilo rika letu la mliozaliwa 90 msijifany mmepevuka
Huu uandishi wako ata mimi ningekuita dogo,hakuna mtu mzima anaeandika kiboya kama wewe ivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…