Vijana jitahidini muoe mwanamke anayekupenda

Vijana jitahidini muoe mwanamke anayekupenda

[emoji1787] Kijana ameeleza uhalisia maji ya nini sasa. Kamwe usitumie nguvu ya pesa au mali kumhadaa mtoto wa kike akupende.

Mwanamke anaefall kwako kwa personality yako huwa haangalii pochi yako na mbususu utapewa full chaji na hakosi nauli ya kukufuata hata kama ni mkoani. Kuna dalili nyingi zipo wala si utani. Swala la kuomba hela ndio usiseme badala ya kukuomba atakupa zake mtumie bila kusahau zawadi kede kede.

Kama yeye hana kitu kabisa hawezi kukuingiza kwenye mambo ya hasara ila atalinda hela zako.
N A K A Z I A [emoji419]
 
Kiukweli wanawake wengi sikuhizi wanaingia kwenye commitment za ndoa sio kwa upendo ila ni sababu ya kutafta sponsorship ya maisha.

Itategemea na umri wa huyo sista wako lakini. Wanawake wengine hujifunza kupenda kwa mazoea tu na jinsi anavyooneshwa upendo kadri anavyoongeza umri ana realize kuwa yuko na mtu sahihi.

Ila kama wamepishana sana umri na huyo jamaa basi lazma atakuwa anamegwa na ma Ex wake sana japo yupo kwenye ndoa. Huwa looks zina matter sana kwa ma slay queens wanapenda ma HB.
Hapa upo sahihi hao slayqueens wanapenda sana kudate na maHB
 
Mnaongea tu bila kufikiri upande wa pili ,kama huna hela mwanamke atakae kupenda havutii chochote sio sura wala umbo , unahamasisha vijana waoe wanawake wabaya wa sura na umbo ili wakizipata waje wawatese kihisia watoto wa watu, mimi nashauri kijana oa pisi ambayo moyo wako umeridhika nayo ata kama umeivutia kwa pesa , mwonekano mzuri au utanashati wako , hakuna mwanamke atakupenda tu bila kigezo chochote , usioe kisa umemwonea mwanamke huruma , Mwanamke wengi wanateseka baadae kwa kuolewa na mwanaume ambae yeye ndio kampenda kwa sababu mwanaume kipndi hicho kisu chake sio kikali anaamua tu kumuoa huyo , siku akipata makali ( pesa) atatafuta mwanamke wa ndoto zake pis kali , na kutesa kiumbe cha watu ,japo sio kwa ubaya ni nature tu imeamua.
Mawazo ya kuhamasisha pesa ni ya kimalaya malaya.
 
Hii kweli kabisa, mfano mwanamke ukampenda mwanaume kwasababu ya pesa zake au mali wakati wa sex humfeel ni ukavu wa jangwa la sahara, Ila yule mwanaume Unayemfeel hata mkichat tu hisia zinapanda achilia mbali kuonana Sasa ndo kabisa.
Hawasemi ila ndo ukweli huo. Wake za watu wanaliwa kimasihala shida inakua hiyo
 
[emoji1787] Kijana ameeleza uhalisia maji ya nini sasa. Kamwe usitumie nguvu ya pesa au mali kumhadaa mtoto wa kike akupende.

Mwanamke anaefall kwako kwa personality yako huwa haangalii pochi yako na mbususu utapewa full chaji na hakosi nauli ya kukufuata hata kama ni mkoani. Kuna dalili nyingi zipo wala si utani. Swala la kuomba hela ndio usiseme badala ya kukuomba atakupa zake mtumie bila kusahau zawadi kede kede.

Kama yeye hana kitu kabisa hawezi kukuingiza kwenye mambo ya hasara ila atalinda hela zako.
Vijana wa ovyo hata ukiwaambia haya wataona unawadanganya. Wanawake wazuri wapo wengi sana na wanamapenzi ya kweli.
 
Umeongea ukweli mtupu

Kabla hujaoa hakikisha mwanamke kuwa anakupenda kinyume na hapo Majuto ni mjukuu

“Women are loyal to their feeling”

Kama uko kwenye feeling zake uyo ni wa kwako ila kama haupo hamna rangi utaacha kuiona
Mapenzi hayana formula ndugu zangu,wengine tuliwapenda sana,yani anakosea msamaha naomba mimi lakini wapi,akaenda kwa anayempenda,so mapenzi ni wote mpendane na mridhiane.
 
Mnaongea tu bila kufikiri upande wa pili ,kama huna hela mwanamke atakae kupenda havutii chochote sio sura wala umbo , unahamasisha vijana waoe wanawake wabaya wa sura na umbo ili wakizipata waje wawatese kihisia watoto wa watu, mimi nashauri kijana oa pisi ambayo moyo wako umeridhika nayo ata kama umeivutia kwa pesa , mwonekano mzuri au utanashati wako , hakuna mwanamke atakupenda tu bila kigezo chochote , usioe kisa umemwonea mwanamke huruma , Mwanamke wengi wanateseka baadae kwa kuolewa na mwanaume ambae yeye ndio kampenda kwa sababu mwanaume kipndi hicho kisu chake sio kikali anaamua tu kumuoa huyo , siku akipata makali ( pesa) atatafuta mwanamke wa ndoto zake pis kali , na kutesa kiumbe cha watu ,japo sio kwa ubaya ni nature tu imeamua.
Yes
 
Nani alikuambia mwanamke ana penda,utashi wa kupenda ameumbwa nao Mwanaume tu.Mwanamke anavutiwa na wewe kutokana na mambo fulani fulani kama kimo,pesa,uhakika wa maisha yake na wanae,muonekano wa Mwanaume n.k
Basi kumbe tunakisea sana kuwapenda coz sio kazi yetu
 
mwanamke hata awe na sura nzuri au mbaya (kwa macho ya kibinadamu), unatakiwa kuoa yule anayekupenda zaidi ya wewe unavyompenda. usije kujaribu kuoa mwanamke ambaye wewe ndio unampenda zaidi, yeye anatakiwa kukupenda zaidi ya wewe unavyompenda. hapo utaishi vizuri. ila ukifanya hivyo vinginevyo nakuhakikishia lazima utakuja uchanike moyo siku moja. namshukuru Mungu nilifanikiwa kuoa mwanamke anayenipenda sana mimi kuliko vile mimi nilivyompenda, amenivumilia kwa mengi na mwisho wa siku tukaja kuendana, sasa tunapendana sawasawa na ndoa ni nzuri sana. kuna kaka yangu mmoja yeye alioa mwanamke mzuri sana na ana PHD, ila mwanamke hampendi sana, yeye brother ndio anampenda zaidi. ajabu yake, mwanamke pamoja na kwamba wamezaa watoto kadhaa, yupo tayari kuachana naye kama brother akiamua, na bro hayuko tayari kumwacha kwa jinsi anavyompenda hadi leo, hiyo sasa imekusa silaha/fimbo ya kumburuza, anamburuza bro apendavyo. kwasababo bro ndio anayejibembeleza kwake.
Unaweza ukaoa mwanamke anayekupenda, lakini upendo ukapungua baadae, watu hubadilika.
 
Back
Top Bottom