Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anayependa kuendeshwa ila unajikuta umeshanasa na baya zaid unakua hujui km umenasaUkiwa na michuzi hakikisha mapenzi hayakuendeshi
Ujue haupo sehemu sahihi.Hakuna anayependa kuendeshwa ila unajikuta umeshanasa na baya zaid unakua hujui km umenasa
Rafikio ndio kapenda sana? 😂 Hio ndoa itadumu mda mrefu sanaHakuna unafuu kunarafikiyangu kaolewa na mwanaume anaempenda sana Yani yule baba ananpelekesha balaa Yani Kwa matukio anayompiga ni balaa
Kilamtu afanye kitu alichoagizwa mwanaume apende mwanamke atii mwanaume hakikisha mkeo anakutii huwezpatashida na ndio hata wazee wetu walioana wakiwa hawajuani kabla na waliishi vizuri
Jitengenezee mazingira ya kufanya mkeo akutii shida sikuiz mmekuwa wadhaifu sana
Hongereni😀Wanawake wenzangu mwendo ni uleule tunaolewa na wanaume wanaotupenda sio tunaowapenda cc @cutewife
Kiukweli wanawake wengi sikuhizi wanaingia kwenye commitment za ndoa sio kwa upendo ila ni sababu ya kutafta sponsorship ya maisha.kuna ndugu yangu mmoja ni pisi kali haswaaa ( ni nzuri haswaaa yani nikisema mzuri namaanisha mzuri) ameolewa na jamaa mmoja ana michuzi ya kutosha sana,mwanzoni sista alikuwa hampendi jamaa kwasababu jamaa ana sura pasono......
NB:siombei waachane ila nipo nasubiri mrejesho wa ndoa yao baada ya miaka mitatu maana najua yule ssta amefuata michuzi mingi.
Sasa katika hivyo vitu omba sana iwe personality.mwanamke lazma avutiwe na kitu flani ili akupende
Hongera umecheza kama pele. Hio ndio siri ya ndoa zilizodumu toka enzi. Mwanamke akipenda hata ukiwa na udhaifu fulani hakuachi kirahisi. Maisha yanakuwa na balance maana wanaume tunajua ku reciprocate upendo hii ni asili.mwanamke hata awe na sura nzuri au mbaya (kwa macho ya kibinadamu), unatakiwa kuoa yule anayekupenda zaidi ya wewe unavyompenda. usije kujaribu kuoa mwanamke ambaye wewe ndio unampenda zaidi, yeye anatakiwa kukupenda zaidi ya wewe unavyompenda. hapo utaishi vizuri. ila ukifanya hivyo vinginevyo nakuhakikishia lazima utakuja uchanike moyo siku moja. namshukuru Mungu nilifanikiwa kuoa mwanamke anayenipenda sana mimi kuliko vile mimi nilivyompenda, amenivumilia kwa mengi na mwisho wa siku tukaja kuendana, sasa tunapendana sawasawa na ndoa ni nzuri sana. kuna kaka yangu mmoja yeye alioa mwanamke mzuri sana na ana PHD, ila mwanamke hampendi sana, yeye brother ndio anampenda zaidi. ajabu yake, mwanamke pamoja na kwamba wamezaa watoto kadhaa, yupo tayari kuachana naye kama brother akiamua, na bro hayuko tayari kumwacha kwa jinsi anavyompenda hadi leo, hiyo sasa imekusa silaha/fimbo ya kumburuza, anamburuza bro apendavyo. kwasababo bro ndio anayejibembeleza kwake.
Endelea hivi hivi kijana, muda utakuja kuongea siku moja. Oa kabisa slay queen mwenye kucha kama jini 🤣🤣🤣 halafu siku GSM wakikufukuza kazi hapo ndio utaelewa kwanini mchai chai ni kiungo ila hakiwekwi kwenye pilau.Siwezi kumuoa mwanamke ambaye hanivutii hata kama ananipenda, bora niendelee kuteseka na mapenzi kwa mtu njnayempenda hata kama yeye hanipendi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Sikio lakufaYanikute mangapi?? Nimeshatendwa na mtu ni mpemdae, nimeshaumizwa moyo na mtu ni mpendae lakini kwangu yote kheri bado nampenda na sifikirii kumuacha
Ili akuheshimu ni lazma awe na hisia na wewe. Nje ya hapo utafanyiwa unafiki tu na mwisho wa siku utakuja kugundua hilo na utaumia ila huna jinsi. 🤣🤣🤣Mwanamke jukumu lake ni kukuheshimu tu, Kupenda ni Jukumu letu Vidume
Mwanamke anaendeshwa na hisia, siku zote jitahidi uwe dereva wa hisia zake. 😀 Akufikirie wewe kwanza kabla ya yeyote yule.Unaweza kuwa na michuzi ya kumwaga na bado mkeo akagongwa na muuza samak tena ndani ya nyumba yako
🤣 Kijana ameeleza uhalisia maji ya nini sasa. Kamwe usitumie nguvu ya pesa au mali kumhadaa mtoto wa kike akupende.Leteni maji ya baridi tumwagie huyu, usingizi bado mzito....atalowesha kitanda sio muda
Shida siku hizi mmekuwa wadhaifu sana[emoji419][emoji375]Hakuna unafuu kunarafikiyangu kaolewa na mwanaume anaempenda sana Yani yule baba ananpelekesha balaa Yani Kwa matukio anayompiga ni balaa
Kilamtu afanye kitu alichoagizwa mwanaume apende mwanamke atii mwanaume hakikisha mkeo anakutii huwezpatashida na ndio hata wazee wetu walioana wakiwa hawajuani kabla na waliishi vizuri
Jitengenezee mazingira ya kufanya mkeo akutii shida sikuiz mmekuwa wadhaifu sana
HahahahahaMwanamke wa kukupenda unampata wapi? Baba wa huyo mwanamke unayemsubiri anamfundisha bintiye, sisi wanaume wote ni mbwa, ukipata mwanaume kumbuka kuleta maokoto hapa.
Mama wa huyo mwanamke unatemtarajia anamfundisha bintiye, mwanamke jiko, jiko mafiga matatu.
Ivi mwanamke usiyempenda kabisa na kuvutiwa naye kwa chochote kile, ila yeye kafa kaoza kwako, ni inawezekana kweli ukaja kumpenda polepole baada ya kumwoa ?🤣 Kijana ameeleza uhalisia maji ya nini sasa. Kamwe usitumie nguvu ya pesa au mali kumhadaa mtoto wa kike akupende.
Mwanamke anaefall kwako kwa personality yako huwa haangalii pochi yako na mbususu utapewa full chaji na hakosi nauli ya kukufuata hata kama ni mkoani. Kuna dalili nyingi zipo wala si utani. Swala la kuomba hela ndio usiseme badala ya kukuomba atakupa zake mtumie bila kusahau zawadi kede kede.
Kama yeye hana kitu kabisa hawezi kukuingiza kwenye mambo ya hasara ila atalinda hela zako.
Hii inatokea mara nyingi ila haimaanishi hakuna wanawake warembo wanao fall kwetu. Sio kila mwanamke atakayekupenda hana mvuto. Ambaye hakuvutii unaachana nae wala huna haja hata ya kumla. We mkwepe tu.Ivi mwanamke usiyempenda kabisa na kuvutiwa naye kwa chochote kile, ila yeye kafa kaoza kwako, ni inawezekana kweli ukaja kumpenda polepole baada ya kumwoa ?
Slowly
Wakat wew upo kwenye mchakato wa kuhakikisha unakuwa dereva wa hisia zake na yey nae anahaha kuhakikisha anakua dereva wa hisia zakoMwanamke anaendeshwa na hisia, siku zote jitahidi uwe dereva wa hisia zake. [emoji3] Akufikirie wewe kwanza kabla ya yeyote yule.
Shukran sana mzee kwa madini.Ni kawaida Sana Mzee , Sisi wanaume kadr umri unavyosonga huwa tunapoteza ushawishi , katika mazingira haya mafanikio yako ya kifedha ndo yatakufanya upate kitu unachotaka , kuna nyakat za kushuka kiuchumi , kuna nyakati za kuumwa , na nyakat za kuishiwa nguvu , katika nyakat Hz unakuwa unahtaji mtu wa pembeni ambaye yupo loyal na wewe , kukupa faraja na matumaini, na ndo kipind ambacho mwanamke huyo utamuona wa thamani na utampenda zaidi , mana wengine wote watakuwa wamekaa pembeni....!! Kama ulioa slayqeen Mzee mapema tuu unashuka ahera Kwa stress..be careful Sana kwenye kuoa chief