Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣😂 Ninge kama unge. Malizia hiyo sentesi mwenyewe.
Naku kaka yangu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣😂 Ninge kama unge. Malizia hiyo sentesi mwenyewe.
Vp kwanza ushaachana na yule mzee wako au mko likizo cillah🤣🤣🤣🤣
Naku kaka yangu!
😂😂😂😂 mzee yupi tena kaka?Vp kwanza ushaachana na yule mzee wako au mko likizo cillah
Usiuze siri za kikao tafadhali😂😂😂Wanawake wenzangu mwendo ni uleule tunaolewa na wanaume wanaotupenda sio tunaowapenda cc @cutewife
Hints tu naona wanasahau role yao kama wanaumeUsiuze siri za kikao tafadhali😂😂😂
Hatutaki kumkosea Mungu🤣Nawapa
Hints tu naona wanasahau role yao kama wanaume
wana mtoto mmoja anakimbilia miezi 6 sasaAkishazalishwa atampenda tu
Tatizo wanaotupenda kwa dhati wanakua sio visu aisee. Dah!Umeongea ukweli mtupu
Kabla hujaoa hakikisha mwanamke kuwa anakupenda kinyume na hapo Majuto ni mjukuu
“Women are loyal to their feeling”
Kama uko kwenye feeling zake uyo ni wa kwako ila kama haupo hamna rangi utaacha kuiona
N A K A Z I A [emoji419]Haimanishi kuoa mwanamke anayekupenda inamanisha huna hela , no no noooo... Money can buy women attention but not her feelings, hata pisi kali hapa mjini zina vijana zinaowapenda ambao hawagaramii hata 20K per month , Ila hao vijana wanakula mzigo vzur tuu sambamba na wewe unayejidai kumiliki hyo pisi , unagharamia everything kuanzia macho matatu mpak appartment....
Neno moja tuu , mwanamke unayetegemea kuishi nae Lifetime Kwa shida na Raha make sure feeling zake zpo kwako , hapa Dar es salaam ndoa zimekuwa ngumu sababu vijana wengi wanatumia nguvu ya pesa kufanya diversion feelings za mwanamke kitu ambacho ni totally impossible , hawezi kukukataa na utamweka ndani Ila lazima atakuburuza tuuu
Nouma Sana yaanHii kweli kabisa, mfano mwanamke ukampenda mwanaume kwasababu ya pesa zake au mali wakati wa sex humfeel ni ukavu wa jangwa la sahara, Ila yule mwanaume Unayemfeel hata mkichat tu hisia zinapanda achilia mbali kuonana Sasa ndo kabisa.
Lazima ajisikie unyonge 😀😀lazima wawe wadhaifu, sasa mfano kama wewe unanitaka mimi eti kisa nina pesa, na asiekuwa na pesa atajihisi vipi?
Unakazia nn wewe 😀😀N A K A Z I A [emoji419]
mwanamke hata awe na sura nzuri au mbaya (kwa macho ya kibinadamu), unatakiwa kuoa yule anayekupenda zaidi ya wewe unavyompenda. usije kujaribu kuoa mwanamke ambaye wewe ndio unampenda zaidi, yeye anatakiwa kukupenda zaidi ya wewe unavyompenda. hapo utaishi vizuri. ila ukifanya hivyo vinginevyo nakuhakikishia lazima utakuja uchanike moyo siku moja. namshukuru Mungu nilifanikiwa kuoa mwanamke anayenipenda sana mimi kuliko vile mimi nilivyompenda, amenivumilia kwa mengi na mwisho wa siku tukaja kuendana, sasa tunapendana sawasawa na ndoa ni nzuri sana. kuna kaka yangu mmoja yeye alioa mwanamke mzuri sana na ana PHD, ila mwanamke hampendi sana, yeye brother ndio anampenda zaidi. ajabu yake, mwanamke pamoja na kwamba wamezaa watoto kadhaa, yupo tayari kuachana naye kama brother akiamua, na bro hayuko tayari kumwacha kwa jinsi anavyompenda hadi leo, hiyo sasa imekusa silaha/fimbo ya kumburuza, anamburuza bro apendavyo. kwasababo bro ndio anayejibembeleza kwake.Wapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi ili umtumie kama part time, Ila kwenye swala la ndoa usidhubutu kabisa kuoa mwanamke asiyekupenda.
Kama unatumia nguvu nyingi Sana pengine Mali na fedha kumshawishi mwanamke mpaka akakubali tambua tuu huyo mwanamke hakupendi, na endapo utamuoa utakuja kujuta.
Mwanamke anayekupenda huwa haombi vitu ovyo ovyo ni nadra Sana, na ikitokea ujue huyo ni extremely emergency, atajitahidi hakuudhi wala kukukwaza na atakusikiliza Kwa kila kitu, na kila mwanaume duniani anaye mwanamke anayempenda, shida ni kwamba tamaa na mionekano ya wanawake wa hovyo ndo huwa inatuponza.
Kama kuna mwanamke anakupenda na wewe unamuona kama anafaa japo sio wa viwango unavyotaka usipoteze mda weka ndani , utaenjoy Sana , na utafanya mambo makubwa , hawa wa kuhonga Sana ndo akukubali jiandae kuchapiwa Sana na kuzalishiwa watoto wasio wako.
Mengine Robert Heriel Mtibeli ataongezea
mwanamke hata awe na sura nzuri au mbaya (kwa macho ya kibinadamu), unatakiwa kuoa yule anayekupenda zaidi ya wewe unavyompenda. usije kujaribu kuoa mwanamke ambaye wewe ndio unampenda zaidi, yeye anatakiwa kukupenda zaidi ya wewe unavyompenda. hapo utaishi vizuri. ila ukifanya hivyo vinginevyo nakuhakikishia lazima utakuja uchanike moyo siku moja. namshukuru Mungu nilifanikiwa kuoa mwanamke anayenipenda sana mimi kuliko vile mimi nilivyompenda, amenivumilia kwa mengi na mwisho wa siku tukaja kuendana, sasa tunapendana sawasawa na ndoa ni nzuri sana. kuna kaka yangu mmoja yeye alioa mwanamke mzuri sana na ana PHD, ila mwanamke hampendi sana, yeye brother ndio anampenda zaidi. ajabu yake, mwanamke pamoja na kwamba wamezaa watoto kadhaa, yupo tayari kuachana naye kama brother akiamua, na bro hayuko tayari kumwacha kwa jinsi anavyompenda hadi leo, hiyo sasa imekusa silaha/fimbo ya kumburuza, anamburuza bro apendavyo. kwasababo bro ndio anayejibembeleza kwake.
Naunga mkono hoja!!!Ndoa na kuoa ni ufala ni maamuzi endelevu ya kikao chetu, tuwanyandue tuwape mimba na tuwawezeshe waendelee kulea watoto basi. Otherwise mnaoa wote ni wafuasi wa popobawa