Vijana jitahidini muoe mwanamke anayekupenda

Vijana jitahidini muoe mwanamke anayekupenda

kuna ndugu yangu mmoja ni pisi kali haswaaa ( ni nzuri haswaaa yani nikisema mzuri namaanisha mzuri) ameolewa na jamaa mmoja ana michuzi ya kutosha sana,mwanzoni sista alikuwa hampendi jamaa kwasababu jamaa ana sura pasono......
NB:siombei waachane ila nipo nasubiri mrejesho wa ndoa yao baada ya miaka mitatu maana najua yule ssta amefuata michuzi mingi.
 
Nani alikuambia mwanamke ana penda,utashi wa kupenda ameumbwa nao Mwanaume tu.Mwanamke anavutiwa na wewe kutokana na mambo fulani fulani kama kimo,pesa,uhakika wa maisha yake na wanae,muonekano wa Mwanaume n.k
@Econometrician nadhani ulichokisema ndicho uhalisia wenyewe,hili suala la kua mwanamke anakupenda japo sina uhalika kipi nikipi ila mwanamke huvutiwa namazingira flani flani ya mwanaume kama ulivyoelezea hapo juu.
 
kuna ndugu yangu mmoja ni pisi kali haswaaa ( ni nzuri haswaaa yani nikisema mzuri namaanisha mzuri) ameolewa na jamaa mmoja ana michuzi ya kutosha sana,mwanzoni sista alikuwa hampendi jamaa kwasababu jamaa ana sura pasono......
NB:siombei waachane ila nipo nasubiri mrejesho wa ndoa yao baada ya miaka mitatu maana najua yule ssta amefuata michuzi mingi.
Akishazalishwa atampenda tu
 
Mwanamke wa kukupenda unampata wapi? Baba wa huyo mwanamke unayemsubiri anamfundisha bintiye, sisi wanaume wote ni mbwa, ukipata mwanaume kumbuka kuleta maokoto hapa.

Mama wa huyo mwanamke unatemtarajia anamfundisha bintiye, mwanamke jiko, jiko mafiga matatu.
Sound jokes but ndiyo reality well njaa imefanya dunia kukengeuka hata baadhi wazee tulowategemea kutujenga kwa busara washakuwa corrupted MUNGU atupiganie mwisho mwema.
 
Back
Top Bottom