Vijana (Jobless) siku hizi mawazo yao ni Kubet, Ngono, Starehe na Lawama halafu uridhi

Vijana (Jobless) siku hizi mawazo yao ni Kubet, Ngono, Starehe na Lawama halafu uridhi

yuda75

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
520
Reaction score
1,385
Nimefanikiwa kukutana na kukaa a vijana na washikaji tofauti vijiwe tofauti ila ma jobless wanaongoza kwa kuwaza ujinga sana kuliko namna ya kujikwamua katika hali alio nayo

Unakuta ni kijana anawaza kuendesha gari ya baba kidogo kupiga masela vizinga na wengine wameka kama mitego wanasubiria mzee aanguke wafyatuke

Ukikutana nao element au Samaki Samaki wanagongea bia baalaaaa. Wanapenda kuita wenzao mkuu, mheshimiwa, afisaaa, boss na mengine mengi
 
Kwahio blaza wewe ulishafanikiwa kujiajiri au kuajiriwa?
Screenshot_2020-12-08-08-55-32-1.jpg
 
Wakome tu maana hata ukiwaambia wanasema Bora degree moja iliyoshba kuliko uchuuzi wa dagaa na nyanya.. wafe tu
 
Back
Top Bottom