Vijana (Jobless) siku hizi mawazo yao ni Kubet, Ngono, Starehe na Lawama halafu uridhi

Vijana (Jobless) siku hizi mawazo yao ni Kubet, Ngono, Starehe na Lawama halafu uridhi

wanaweka wallet kwene mfuko wa nyuma zimetuna utashan hela kumbe mikaratasi ya betting, hawatak kazi wanachagua
 
Ndo kazi zetu mzeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20201209-WA0060.jpeg
 
Eti wanapenda kuita mkuu, mara afisa![emoji28][emoji28][emoji28]

Utasikia taita vipi mshua, tunafanyaje sa!
 
siku hizi wanadai urithi mapemaaaa.....hili ni janga jingine....
 
Mtuache vijana jamani, kukosa ajira sio dhambi lol.
 
sisi wabongo unafik ni kitu cha kawaida aisee, dizaini ya mtoa mada wapo wengi sana mtaan, unaweza kusota na mwana miaka nenda miaka rudi ila akifanikiwa kidogo tu bac anawaona wana ni wazembe na wavivu, yeye ndio kayapatia maisha. Sasa sisi tutabet kama kawaida na dem akijipendekeza atagongwa tu hakuna namna. Sio kila mtu ataajiriwa, watz tupo 60m sidhani kama ajira rasmi zinafika 1m nchi nzima.
Limbukeni mtoa mada
 
Na nyie sindio mnapenda kuitwa hivyo mbele ya mademu zenu ili mpate sifa
 
Hapa kwenye kubeti pigia mstari halafu uondoe hilo neno 'jobless'... ninasema hivyo kwakuwa hata wenye kazi zao nao wamo!
 
Back
Top Bottom