Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa, anasema Jaji Warioba alipewa uwaziri mkuu kwasababu alikuwa chawa wa Nyerere hivyo asikosoe uchaguzi

Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa, anasema Jaji Warioba alipewa uwaziri mkuu kwasababu alikuwa chawa wa Nyerere hivyo asikosoe uchaguzi

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427

Wanajamvi salaam
Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa,

Huyu kijana anayezeeka vibaya aliyejitambulisha kwa jina la Joseph Yona mkazi wa Chalinze anasema Jaji Warioba alikuwa Chawa ndo maana akapewa uwaziri mkuu hivyo hana haki ya kukosoa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ulikuwa huru na haki.

 
Pumbavu Sana huyu sio kijana tafadhari ni jitu Zima kabisa

Mmeanza kumkosea Sana baba wa Taifa

Hawa ndio wahuni badae wanakuja kupewa ukuu wa wilaya

Hapa ndio nchi ipate maendeleo??

CCM ni laana kabisa
 
Huyu choko drama zake zimechuja anajiropokea tu hata historia ya nchi hii haijui
 
Huyu choko drama zake zimechuja anajiropokea tu hata historia ya nchi hii haijui
 
Huyu choko drama zake zimechuja anajiropokea tu hata historia ya nchi hii haijui
 

Wanajamvi salaam
Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa,

Huyu kijana anayezeeka vibaya aliyejitambulisha kwa jina la Joseph Yona mkazi wa Chalinze anasema Jaji Warioba alikuwa Chawa ndo maana akapewa uwaziri mkuu hivyo hana haki ya kukosoa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ulikuwa huru na haki.

View attachment 3170507
Yuko sahihi. Kina Warioba si ndo walikuwa wanasema "zidumu fikra za mwenyekiti"?
 
Warioba ni kati ya watu wachache waliokuwa wanamrudisha Nyerere kwenye mstari.

Warioba alipokuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Sheria alikuwa anamfundisha Sheria Nyerere. Nyerere alitaka kufanya mambo nje ya sheria, Warioba akawa anamrudisha kwenye mstari.

Kuna mtu alishitakiwa na serikaki ya Nyerere, akashinda kesi, Nyerere akataka huyo mtu akamatwe tena ashitakiwe upya, Warioba akamwambia Nyerere huyu mtu kisheria hatakiwi kushitakiwa mara mbili kwa kosa moja, hiyo ni "double jeopardy". Akamkataza Nyerere kumshitaki

Nyerere akabaki kulalama lakini alishindwa kupangua hoja ya Warioba ya kisheria.

Hivi karibuni Warioba alieleza jinsi akivyosimamia sheria akipinga matakwa ya Sokoine ya kukamata na kushitaki watu kinyume na sheria, issue mpaka ikaoelekwa kwa Nyerere.

Katika watu waliokuwa wana uwezo mkubwa wa kubushana na Nyerere mmoja wao alikuwa Jiseph Sinde Warioba.

Warioba hajaanza kuwa hivyo anasema anachoona sawa keo, tangu kwenye serikali ya Nyerere alikuwa hivyo.

Na Nyerere alimoenda kwa sababu alimjua huyu jamaa si chawa.
 
Pumbavu Sana huyu sio kijana tafadhari ni jitu Zima kabisa

Mmeanza kumkosea Sana baba wa Taifa

Hawa ndio wahuni badae wanakuja kupewa ukuu wa wilaya

Hapa ndio nchi ipate maendeleo??

CCM ni laana kabisa
Huku ni kujiaibisha ukiwa unajiona
 
Ila kweli, halafu warioba ndio alikuwa anawa snitch akina Kambona na wenzake
 

Wanajamvi salaam
Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa,

Huyu kijana anayezeeka vibaya aliyejitambulisha kwa jina la Joseph Yona mkazi wa Chalinze anasema Jaji Warioba alikuwa Chawa ndo maana akapewa uwaziri mkuu hivyo hana haki ya kukosoa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ulikuwa huru na haki.

View attachment 3170507
Kama huyu ni kijana kwa mujibu wa ccm tupo kwenye hasara kubwa
 
Warioba ni kati ya watu wachache waliokuwa wanamrudisha Nyerere kwenye mstari.

Warioba alipokuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Sheria alikuwa anamfundisha Sheria Nyerere. Nyerere alitaka kufanya mambo nje ya sheria, Warioba akawa anamrudisha kwenye mstari.

Kuna mtu alishitakiwa na serikaki ya Nyerere, akashinda kesi, Nyerere akataka huyo mtu akamatwe tena ashitakiwe upya, Warioba akamwambia Nyerere huyu mtu kisheria hatakiwi kushitakiwa mara mbili kwa kosa moja, hiyo ni "double jeopardy". Akamkataza Nyerere kumshitaki

Nyerere akabaki kulalama lakini alishindwa kupangua hoja ya Warioba ya kisheria.

Hivi karibuni Warioba alieleza jinsi akivyosimamia sheria akipinga matakwa ya Sokoine ya kukamata na kushitaki watu kinyume na sheria, issue mpaka ikaoelekwa kwa Nyerere.

Katika watu waliokuwa wana uwezo mkubwa wa kubushana na Nyerere mmoja wao alikuwa Jiseph Sinde Warioba.

Warioba hajaanza kuwa hivyo anasema anachoona sawa keo, tangu kwenye serikali ya Nyerere alikuwa hivyo.

Na Nyerere alimoenda kwa sababu alimjua huyu jamaa si chawa.
Una kumbukumbu nzuri
 
1733489352064.png
KWAKWELI! ...tulikuwa na Musiba mmoja, sasa tuna Misiba!🤣
 

Wanajamvi salaam
Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa,

Huyu kijana anayezeeka vibaya aliyejitambulisha kwa jina la Joseph Yona mkazi wa Chalinze anasema Jaji Warioba alikuwa Chawa ndo maana akapewa uwaziri mkuu hivyo hana haki ya kukosoa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ulikuwa huru na haki.

View attachment 3170507
This is called meandering - going off-point.
 
Pumbavu Sana huyu sio kijana tafadhari ni jitu Zima kabisa

Mmeanza kumkosea Sana baba wa Taifa

Hawa ndio wahuni badae wanakuja kupewa ukuu wa wilaya

Hapa ndio nchi ipate maendeleo??

CCM ni laana kabisa
Hapa anatafuta kupewa uteuzi wa kuimba mapambio!
 

Wanajamvi salaam
Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa,

Huyu kijana anayezeeka vibaya aliyejitambulisha kwa jina la Joseph Yona mkazi wa Chalinze anasema Jaji Warioba alikuwa Chawa ndo maana akapewa uwaziri mkuu hivyo hana haki ya kukosoa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ulikuwa huru na haki.

View attachment 3170507
Aibu yako
 
Back
Top Bottom