Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Sipendi kunihusisha na mtu mwingine, sasa unachojikomentisha kunitaja kitu gani??
Kwahiyo ikitokea id ikakumention unakuwa ni wewe?? Idiot mwenyewe

Kaa kwenye nafasi yako, pambana na adui sio mimi.
Screenshot comment yangu niliyokutaja.

Aliekutaja ni huyo ndgu yako, hii id yako sijawahi hata kuiona hapa how comes nikutag??

Acha kureply comments zangu, siongelei kuhusu wewe usijistukie mkuu.
 
Mkuu wachana nae huyo. Probably atakuwa yuleyule, sababu ame-pay much attention kwenye suala lisilo na maana yoyote.
 
Mkuu wachana nae huyo. Probably atakuwa yuleyule, sababu ame-pay much attention kwenye suala lisilo na maana yoyote.
Sio tu lisilo na maana bali pia halimuhusu kabisa.
Nilitegemea zile comments zake mbili tu za mwanzo zingemaliza mjadala( hasa kwa wanawake wa jf wasivyopenda ligi)

Jamaa kala ban naona kaja kuendeleza kwa namna nyingine.
 
Screenshot comment yangu niliyokutaja.

Aliekutaja ni huyo ndgu yako, hii id yako sijawahi hata kuiona hapa how comes nikutag??

Acha kureply comments zangu, siongelei kuhusu wewe usijistukie mkuu.

Huko juu huyo mjinga alinitag wewe ukasema mods waunganishe id yangu na yake ulikuwa unamaanisha nini??
Kwahiyo id zote alizotag hujaziona mpk yangu?? Acha ujuaji na kutafuta sifa

Wewe pambana na adui yako, na uzuri ana id nyingine atakuja muendeleze ligi msubiri.
 
Kuna wengine wanawatapeli wachina.
Wanapewa mzigo kwa mali kauli kutoka china alafu wao kazi yao ni kuwarejeshea sehemu ndogo ya faida.
Lakini hawafanyi hivyo

Sasa uliona wapi tajiri asiye na genge la wahuni?
Na ndio chanzo kikuu, wachina ni wabadi sana ni vile tunawaona wanacheka cheka hovyo.
 
😂😂😂 Huu mwandiko, kumbe pia unajua ana id nyingine na atakuja pia nimsubiri.

Anyway tufanye yameisha na nimekuelewa kamanda.
 
Hio sijaona mkuu sasa wakibanwa si warudishe Pesa za watu kwani ni mpaka wafe hivyo Mkuu Wewe umeiba Pesa ya mtu mwenyewe kashtuka basi akusamehe mrudishie yaishe kwani mpaka akuue Mkuu?
Wengine hata ukirudisha lazima akutoe mav.i for detterence, wengine wasimjaribu Imani kupitia alichokufanya wewe.
 
Imenibidi nikaichek n noma ila mzee wa demu ni Mafia zaid pamoja ya kukaa jela. Ila yule billionaire wa 2.2billion akataka nunua jumba mara 2 ya Bei tena na marupurupu millions et million 400 ya usumbufu wakumwona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…