Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Chai
 
Mkuu umeeelezea vizuri sana Ila tunaomba uongezee nyama kidogo
 
Post imekamilika? au ndio umejoin leo? post za aina hii ni zinajaza server bure
 
Mkuu umeeelezea vizuri sana Ila tunaomba uongezee nyama kidogo
Mambo ni mengi sana yanayotokea hapa town lakini itoshe kusema kwamba kwa vyovyote ilivyo wanaoendesha hizo operations ni watu wanajua wanachokifanya hawabahatishi

Akija mtu anayejua yaliyokuwa yanaendelea pale Agrey ukamuuliza anaona mabadiliko gani baada ya ile crew ya vijana watano kupotea utashangaa anasema yapo mambo fulani yamebadilika sawa na kwangu upande wa spare za magari kumepoa nina muda mrefu sijamsikia mtu akitafuta vitu vyake vilivyoibwa.
 
Kwa hio mkuu kumbe kupotezwa kwao ndio kunajenga unafuu kwenu?
 
Kwa hio mkuu kumbe kupotezwa kwao ndio kunajenga unafuu kwenu?
Unafuu kwetu ukimaanisha kwenye biashara zetu?

Jibu ni hapana kwa sababu uwepo wao ulichangamsha biashara,mfano wewe gari yako ikiibwa spare utaingia sokoni kutafuta gari yako itembee so kama hukukutana na watu wanaoweza kukuuzia vitu vyako vile vile ulivyoibiwa (hao waliopotea ) utakuja kwangu nikuuzie so nakuwa nimeshafanya mzunguko.
 
Huwezi kuamini lakini pale Kariakoo kuna watu wamewaachia wake zao ujane na watoto kukosa baba,yupo jamaa yangu mmoja wa Kirangi akiitwa Shafii Irenda alipotea mwanae wa mwisho akiwa na wiki moja!

Hulazimishwi kuamini hata hivyo
Achana nae huyo asi kuumize kichwa sisi tunao shinda kariakoo 24/7/365 tunajua ni wakupuuzwa
 
Duuuh kwa hio walikua na faida kwenu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…