Pre GE2025 Vijana kumchukulia Fomu ya Urais Rais Samia 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Luca!

Kuna mengi yatajiri hapo mwakani kabla ya huo mwaka was uchaguzi!!

Tuombe uzima,achana na kampenii za kitoto kama hizo!
 
Jitahidi walau uwe umepata ajira hata ya mgambo wa jiji kabla bibi yako hajarudi kwao Nungwi.
 
Wapumbavu nyinyi... Tunaojitambua tunataka tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya.

Nyinyi wapumbavu mnategemea armed forces ziendelee kuwaweka IKULU.
Kwani akina mbowe na Lissu walikuwaga wanapita na kutangazwa washindi kupitia Tume ipi?
 
Lucas ndg yangu

Rais Samia Hana kipingamizi kwa maana ni mpango wa Mungu na Chaguo lake.

Uchaguzi wa mwaka ujao kwanzia serikali za mitaa mpaka wa Urais Kila kona ni CCM

Nyumbu wa Ufipani wataweka mpira kwapani soon
Nyumbu mamako msengerema mkubwa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…