Uchaguzi 2020 Vijana kuweni makini kwa ahadi za uongo kutoka Vyama vya Upinzani

Uchaguzi 2020 Vijana kuweni makini kwa ahadi za uongo kutoka Vyama vya Upinzani

Mgonjwa wa akili wewe,

1. Hiyo ndege ya kwake Lisu? Je ukiiuza utajenga viwanda vingapi?

2. Ndege alizonunua maguli zimechukuwa budget ya shilingi ngapi?, tungeamua kujenga viwanda vya nguo tungepata vingapi? Direct employment kiwanda kimoja 4000 workers bado madreva, mama lishe, wachuuzi nk

3. Sasa hivi hiyo midege alonunua Maguful inaingiza kiasigani? Je kunamanufaa yoyote?

Mjinga mkubwa wewe.
Hatuwezi kukubali nchi hii itawaliwe na wahuni na wavuta bangi wa aina yako.
 
Ukosefu wa ajira nchi hii haujasababishwa na corona, upo miaka yote hasa hii ya Magufuli. Kwanza corona Tanzania haipo, sasa hizo ajira zimepoteaje wakati corona haipo?

Ccm kwa miaka zaidi ya 60 imeshindwa kuleta maendeleo leo hii ndio ilete maendeleo?

Magufuli amefanya kitu gani? Kununua ndege na kujenga madaraja? Leo hii karne ya 21, miaka 60 ya uhuru unakuja kutuambia madaraja na ndege ndio mabadiliko ya maendeleo? Wakoloni walifanya haya miaka zaidi ya 60 iliyopita.

Ccm ambayo imekua ikitoa ahadi zisizotekelwzeka kwa miaka 60 unaizungumziaje? Mfano ahadi ya 50m kila kijiji?

CCM hata ipewe miaka 500 haina mbinu mpya tena ya kutuvusha kutoka sehemu moja kwenye nyingine. Hapo ilipofika imegika mwisho.
Kifupi miaka six zero inawatosha wasepe. Hii ni sawa na kutuambia eti tuendelee kutumia jembe la mkono kwenye kilimo kwani ndiyo asili yetu.
Mabadiliko ni lazima.
 
Sasa huyo anayeishi Belgium anaweza kutekeleza ahadi hizo kweli ama anataka atulete matatizo halafu asepee

Huyu anayetawala nachama chake ametulea kero na matatizo lukuki

1. Uhuru wa kutafuta na kuhabarishana kwa undani haupo tena

2. Mifuko ya kijamii wastaafu au ukiachishwa kazi hupati hela yako mpaka 60yrs

3. Vyombo vyote vya habari vinaripoti ccm pekee .... kwanini

4. Hakuna ajira

5. Mishahara hakuna nyongeza

6. Amani imefichwa kwa kuminya haki

7. Magereza yamefulika watu wasiohatia

8. Elimu, Afya, havina ubora wowote

9. Hata simu zetu sasa hivi hakuna uhuru

10. Bunge live limezimwa, pia limekuwa kibogoyo na kuadhibu wasio ccm

11. Taasisi zote za serikali zimegeuzwa nyege za ccm kuadhibu wapinzani

12. Mwangosi, ally zona, mawazo, Sanane , Azory nk wapo wapi?

Acha upumbavu, ccm nikero taifa hili zaidi ya chochote kile.
 
Mkuu sikufokei ila nimetoa mfano hai kwa nchi ambazo zimepitia njia mnayotaka kutupeleka

Mfano hai gani? Huo mfano wako ni mfu... ccm wanahadaa eti watatoa ajira million 8 kitu ambacho hii ni ahadi hewa, million 50 walizoahidi kwa vijiji ziliyeyukia wapi? Mtaani tokea 2015 kuna lundo la vijana wasio na ajira zinakuja danganya toto za ajira 13k kipindi hiki wtf is this...!?
Ccm haifai inapaswa ifutwe kabisa kwenye ulimwengu nzima ipotee!!
 
Hatuwezi kukubali nchi hii itawaliwe na wahuni na wavuta bangi wa aina yako.

Kuna wahuni zaidi ya ccm?

Zaidi ya miaka 50 baada ya uhuru
1. Hakuna ajira

2. Hakuna maji safi na salama

3. Hakuna Elimu bora

4. Watu kupotezwa

5. Kudhibiti vyombo vya habari, sasahivi kila tv ni ccm

6. Prof. Assad yu wapi?

7. Membe yu wapi ?

8. Bunge live li wapi?

9. Uchambuzi, critical thinking iko wapi?
 
Lissu sio muongo , hauwezi kupanda ndege ukiwa huna ela , Ndege sio dala dala kwamba nauli yake ni Tsh 400, au 40000 mkoa kwa mkoa.
yeye mbona anapanda tena ya kukodi ambayo ni gharama kuliko ya kawaida? sema wewe ndie huna hela wenye pesa wanapanda akiwemo Lisu
 
Baada ya kufuatilia hotuba nyingi za vyama vya upinzani ninapenda kuwasihi vijana kuwa na tahadhari kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka.

Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani watu wamepoteza kazi kwa hali mbaya ya kiuchumi pamoja na tatizo la ugonjwa huu wa COVID19 ulipojitokeza.

Suala la kusema kuwa wakishika madaraka wataruhusu wananchi wataruhusiwa kwenda kuishi kwenye hifadhi ni la upotoshaji mkubwa kwani tukiruhusu utekelezaji huo ina maana utalii utakufa.

Ninatoa mfano nchi ya Misri 2011 wananchi walimuondoa madarakani Rais Hussein Mubarak kupitia chama cha Muslim Brotherhood baada ya chama hicho kutoa ahadi nyingi zisizoweza kutekelezeka kufika mwaka 2013 wananchi hao hao waliiingia mitaani kupinga hicho chama matokeo Jeshi la nchi hiyo likatwaa madaraka tena.

Tumeona hapa majirani zetu Kenya baada ya kuiondoa KANU madarakani na kupata katiba mpya leo wakenya wanaikumbuka KANU kwani Ufisadi na ukabila umekuwa mkubwa sana kufikia kuhatarisha umoja wa nchi hiyo. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 wananchi kupitia vyama hivyo vilipigana vita vya kikabila na maelfu ya wananchi walipoteza maisha.

Kwa mustakabali wa nchi yetu Tanzania bado CCM ni chama pekee kinachoweza kuipeleka nchi katika uchumi mzuri na umoja wa kitaifa.

Tusijaribu kufanya kosa kubwa la kutoipigia kura CCM na haswa Rais Magufuli ambaye ameleta mageuzi makubwa ndani ya chama hicho na serikali kwa ujumla.
Nyinyi ndio kizazi chenye fikra mfu...
 
Sasa huyo anayeishi Belgium anaweza kutekeleza ahadi hizo kweli ama anataka atulete matatizo halafu asepee
Hizi ni hoja mfu, probaganda za ccm za kitoto za miaka yote, mara sio raia, mara ana unaia wa uholanzi, mara huyu sijui kafanyaje. Hizi stori muwape wajinga ambao ndio supporters wenu.

Ccm imeshindwa kufanya maendeleo Tanzania kwa miaka zaidi ya 60, leo wana hoja gani?

Leo tunakuja kuambiwa sijui mabeberu, kwani kwa miaka yote hiyo 60 hao mabeberu walikua wanaruhusiwa kutuibia chini ya serikali ya nani?
 
Vijana tutatumia njia ya SANDUKU LA KURA kupata tunachokitaka,hayo ya nchi nyingine usituletee kabisa.
Wwe bado mdogo, unaongea tu huijuwi Tanzania vizuri,muulize Mrema Mwaka 95 atakuambia kumbe Tz inawenyewe!!
 
Baada ya kufuatilia hotuba nyingi za vyama vya upinzani ninapenda kuwasihi vijana kuwa na tahadhari kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka.

Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani watu wamepoteza kazi kwa hali mbaya ya kiuchumi pamoja na tatizo la ugonjwa huu wa COVID19 ulipojitokeza.

Suala la kusema kuwa wakishika madaraka wataruhusu wananchi wataruhusiwa kwenda kuishi kwenye hifadhi ni la upotoshaji mkubwa kwani tukiruhusu utekelezaji huo ina maana utalii utakufa.

Ninatoa mfano nchi ya Misri 2011 wananchi walimuondoa madarakani Rais Hussein Mubarak kupitia chama cha Muslim Brotherhood baada ya chama hicho kutoa ahadi nyingi zisizoweza kutekelezeka kufika mwaka 2013 wananchi hao hao waliiingia mitaani kupinga hicho chama matokeo Jeshi la nchi hiyo likatwaa madaraka tena.

Tumeona hapa majirani zetu Kenya baada ya kuiondoa KANU madarakani na kupata katiba mpya leo wakenya wanaikumbuka KANU kwani Ufisadi na ukabila umekuwa mkubwa sana kufikia kuhatarisha umoja wa nchi hiyo. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 wananchi kupitia vyama hivyo vilipigana vita vya kikabila na maelfu ya wananchi walipoteza maisha.

Kwa mustakabali wa nchi yetu Tanzania bado CCM ni chama pekee kinachoweza kuipeleka nchi katika uchumi mzuri na umoja wa kitaifa.

Tusijaribu kufanya kosa kubwa la kutoipigia kura CCM na haswa Rais Magufuli ambaye ameleta mageuzi makubwa ndani ya chama hicho na serikali kwa ujumla.
Ccm kwa almost half decade wamefanya nini?
Kama mpka leo watu wana starve kwenye umasikini katika nchi ambayo 100% ya ardhi yake inakubali kilimo, ina madini , ina tourist attraction kibao, ina gas, ina bahari, ina Maziwa ,
Sisiem hata kama wangeamua kuwekeza kwenye kilimo wakaacha vyooote bado tungekuwa matajiri,
Hata hilo limewashinda kisha mpuuzi wewe sijui umepewa bei gani unatuletea umasikini wako wa akili
 
Sasa huyo anayeishi Belgium anaweza kutekeleza ahadi hizo kweli ama anataka atulete matatizo halafu asepee
Hana lolote, Majibu ya Kura za Uraisi atakua anayasikilizia huko Belgium, Lissu Sungura sana!!
 
Baada ya kufuatilia hotuba nyingi za vyama vya upinzani ninapenda kuwasihi vijana kuwa na tahadhari kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka.

Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani watu wamepoteza kazi kwa hali mbaya ya kiuchumi pamoja na tatizo la ugonjwa huu wa COVID19 ulipojitokeza.

Suala la kusema kuwa wakishika madaraka wataruhusu wananchi wataruhusiwa kwenda kuishi kwenye hifadhi ni la upotoshaji mkubwa kwani tukiruhusu utekelezaji huo ina maana utalii utakufa.

Ninatoa mfano nchi ya Misri 2011 wananchi walimuondoa madarakani Rais Hussein Mubarak kupitia chama cha Muslim Brotherhood baada ya chama hicho kutoa ahadi nyingi zisizoweza kutekelezeka kufika mwaka 2013 wananchi hao hao waliiingia mitaani kupinga hicho chama matokeo Jeshi la nchi hiyo likatwaa madaraka tena.

Tumeona hapa majirani zetu Kenya baada ya kuiondoa KANU madarakani na kupata katiba mpya leo wakenya wanaikumbuka KANU kwani Ufisadi na ukabila umekuwa mkubwa sana kufikia kuhatarisha umoja wa nchi hiyo. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 wananchi kupitia vyama hivyo vilipigana vita vya kikabila na maelfu ya wananchi walipoteza maisha.

Kwa mustakabali wa nchi yetu Tanzania bado CCM ni chama pekee kinachoweza kuipeleka nchi katika uchumi mzuri na umoja wa kitaifa.

Tusijaribu kufanya kosa kubwa la kutoipigia kura CCM na haswa Rais Magufuli ambaye ameleta mageuzi makubwa ndani ya chama hicho na serikali kwa ujumla.

Laptop za walimu ziko wapi ?
 
Hizi ni hoja mfu, probaganda za ccm za kitoto za miaka yote, mara sio raia, mara ana unaia wa uholanzi, mara huyu sijui kafanyaje. Hizi stori muwape wajinga ambao ndio supporters wenu.

Ccm imeshindwa kufanya maendeleo Tanzania kwa miaka zaidi ya 60, leo wana hoja gani?

Leo tunakuja kuambiwa sijui mabeberu, kwani kwa miaka yote hiyo 60 hao mabeberu walikua wanaruhusiwa kutuibia chini ya serikali ya nani?
2015 wakati wa uchaguzi mliipa CCM kila aina ya jina chafu mfano Ufisadi, Kugawa Migodi, Ukusanyaji mbovu wa Kodi, Matumizi mabaya ya kodi nk
Kwa miaka 5 serikali ya awamu ya tano imerekebisha mambo hayo yote na imeweza kuanzisha miradi mikubwa kama reli na umeme sasa tunashindwaje chini ya huyu Mheshimiwa Rais Magufuli aliyefanikisha mambo yote hayo asipewe miaka 5 mingine akamilishe kazi hiyo.
Kweli chadema na viongozi hao wahuni wanaweza kufanya hayo
 
Kijana La kuambiwa na Lisu Changanya na akili zako .Lisu ana uongo wa kufa mtu

View attachment 1560044
Hivi huwa mnamwelewa wakati akizungumza huyu jamaa?
Unajua ukisha set kichwani hali ya kumkataa mtu hata akiongea ukweli unaona uongo na ukishaset kichwani hali ya kumkubali mtu hata akiongea upupu unaona yupo sawa, vipi waliosema hawajawahi kwenda ulaya ili hali walijinadi wametembea inchi zote na mifano wakatupa nao unawazungumziaje?
Msikilize mtu vizuri anaongea nini muelewa ndipo u judge kauli zake
 
Lissu sio muongo , hauwezi kupanda ndege ukiwa huna ela , Ndege sio dala dala kwamba nauli yake ni Tsh 400, au 40000 mkoa kwa mkoa.
Hata zamani Vespa zilikua Kama Ndege,siyo kila mtu alikua na uwezo wa kuimiliki,lakini Sasa hivi kua nayo ni Kama unauchafu ndani Mwako!!
 
Back
Top Bottom