Hujui kitu wewe !! . Hata mifano unayiotoa siyo. Hosni Mubarak hakutoka Muslim brotherhood. Huyo alikuwa dictator kama hawa tulio nao
Na alirithi madaraka baada kifo cha Anuwar Sadat . Kenya hata siku moja hawajawahi kuitamani Kanu !! Wako mbele yetu kwa hatua kubwa sana.
Kama ni ahadi za uongo basi ziko Ccm . Waliahidi Katiba mpya iko wapi ?!, Waliahidi viwanda viko wapi ?!, Waliahidi million 50 kila kijiji, ziko wapi ?! Waliahidi ajira kwa wasomi ziko wapi ?!.
Kuogopa kufanya mabadiliko ni ulemavu tena wa akili. Binaadamu anayeridhika na mazingira yanayomzunguka hata kama ni duni hafai na ndiyo wewe mleta mada.